Omega Ngowi: Rubani mdogo mwenye ujasiri

Omega Ngowi: Rubani mdogo mwenye ujasiri

ukisomea urubani mambo ya kuzunguka na bahasha kusaka ajira hayapo,ajira zinakufata zenyewe hadi mlangoni....hii ndo faida ya kusomea vitu vya "watu wachache"
Ata ukimaliza urubani basi ushatumia mamilioni mia mia ivi ndio uwe na uwezo wa kurusha ndege na kupakia abiria. Hatua ya kwanza tu, unakata kama milioni 40 ivi, unapewa private license huwezi kurusha ndege kwa malipo yoyote na tena hapo unarusha cessna 152/172 ambayo umesomeshwa nayo. Hatua ya pili ya kukupatia leseni ya kurusha ndege na kulipwa tena ukate mamilioni kadhaa, na hapo bado hupati kazi, ukienda kama precision kuomba kazi, ambao wana operate ATR planes, unatakiwa ukasomee kitu inaitwa type rating, yaani ukaisomee hio ndege ambayo unataka kurusha sasa, hapa ndio unakwenda kuchoma tena pesa nyingi tu. Yaani mpaka unamaliza walau milioni 150 ivi umewekeza.

Sasa baada ya kuchoma izo kabla ya kupata kazi, makampuni yanataka uwe na minimum hours hii inategemeana na kampuni matakwa yao. Lakini kwa mtu mjanja, ambae hajafikia hayo masaa, anashinda airport, kwa vile anakuwa anajulikana kama mhitimu, huwa zinatokea fursa unapewa upeleke abiria sehemu, hulipwi mshahara unapewa posho tu. Sio noma, kwa sababu wewe unapata kurikodi masaa yako mpaka yakifikia yale yanayohitajika, inakuwa rahisi kupata ajira (ikiwa nafasi zipo). Ukipata ajira, zile hela ulizochoma zote, utaona kuwa it was worth it. Maana mshahara huwa mnono na benefits zinategemeana na kampuni.

Tatizo vijana wanataka wakimaliza kusoma na kuwa na masaa kadhaa wanataka ajira direct, wakati kumbe angekubali kufanya kazi bure tu na kujipatia posho uku anajenga masaa yake ambayo later on yatamuwezesha kupata kazi kirahisi.
 
Wakuu salaam
Mapema Leo binti aitwae Omega Ngowi ambaye Ni Rubani mwanafunzi amefanikiwa kurusha ndege kutoka Dar-Tanga-Zanzibar-Dar akiwa peke yake.

Binti Omega mwenye umri wa miaka 18 ni mtoto wa mhadhiri wa chuo kikuu Cha mzumbe, Prof Prosper Honest Ngowi

Tumpe hongera binti huyu

Cc
fazili
instanbul
Come27
Sky Eclat
Manelezu
jaap
Frank Wanjiru
chuma cha mjerumani
Monchengladbach
NIYOMBARE
nizakale
kinusikwetu
mliberali
View attachment 1559810
Rubani mwanfunzi? Miaka 18?Karusha ndege peke yake? Aliitorosha kwa wakufunzi? Sheria za mafunzo vyuo vya maruhani zinaruhusu? Hakika hii ni hot news kama uliosema ni kweli.
 
Akili zinafuata mkondo!! Ni genetic... unaweza kukuta binti at age ya 15 alimaliza PGM na point 4 ama 5.

Hongera binti.. kaza buti at 25 yrs usukume Boeing 737 !!

Watoto wa sisi wenye IQ ndogo unakuta binti wa miaka 18 yeye anafikiria kuvaa nguo fupi kuzurura na kushinda anachat chat na wasanii... matokeo ya form four ni Four ya point 29... Mzigo kwa familia.
 
Ata ukimaliza urubani basi ushatumia mamilioni mia mia ivi ndio uwe na uwezo wa kurusha ndege na kupakia abiria. Hatua ya kwanza tu, unakata kama milioni 40 ivi, unapewa private license huwezi kurusha ndege kwa malipo yoyote na tena hapo unarusha cessna 152/172 ambayo umesomeshwa nayo. Hatua ya pili ya kukupatia leseni ya kurusha ndege na kulipwa tena ukate mamilioni kadhaa, na hapo bado hupati kazi, ukienda kama precision kuomba kazi, ambao wana operate ATR planes, unatakiwa ukasomee kitu inaitwa type rating, yaani ukaisomee hio ndege ambayo unataka kurusha sasa, hapa ndio unakwenda kuchoma tena pesa nyingi tu. Yaani mpaka unamaliza walau milioni 150 ivi umewekeza.

Sasa baada ya kuchoma izo kabla ya kupata kazi, makampuni yanataka uwe na minimum hours hii inategemeana na kampuni matakwa yao. Lakini kwa mtu mjanja, ambae hajafikia hayo masaa, anashinda airport, kwa vile anakuwa anajulikana kama mhitimu, huwa zinatokea fursa unapewa upeleke abiria sehemu, hulipwi mshahara unapewa posho tu. Sio noma, kwa sababu wewe unapata kurikodi masaa yako mpaka yakifikia yale yanayohitajika, inakuwa rahisi kupata ajira (ikiwa nafasi zipo). Ukipata ajira, zile hela ulizochoma zote, utaona kuwa it was worth it. Maana mshahara huwa mnono na benefits zinategemeana na kampuni.

Tatizo vijana wanataka wakimaliza kusoma na kuwa na masaa kadhaa wanataka ajira direct, wakati kumbe angekubali kufanya kazi bure tu na kujipatia posho uku anajenga masaa yake ambayo later on yatamuwezesha kupata kazi kirahisi.
Root
 
Kuna chuo pale Airport kama unaenda terminal 1 nasikia ni cha mzungu mmoja, saa 1 ni USD 250. na at least mwanafunzi anatakiwa asome min 750 Hrs Max 1500 Hrs ndipo aweze kurusha ndege na hapo ni kama haja fail item yyt kwenye hiyo course.

Look here!
Rate price per Hour 250
Hrs required 750
Excahnge rate 1USD = TZS 2315
250X2315=578,750
750×578,750= TZS 434,062,500

Mtoto wa mkulima atauza korosho.kiasi gani akasome kwa milioni 434,062,500?
Wacha kututisha wewe penye nia pana njia, kwanza Raisi amenunua mandege Mengi na mengine yatapelekwa kule NIT tukasomee urubani kwa elimu bora
 
Inawezekana hata kama kasoma hapa,maana kwa kawaida form IV kijana ana maliza akiwa na miaka 17 na inaonekana alivyo maliza tu O level akaenda kwenye urubani na kozi ya urubani ni miezi 6 kwa leseni ya PPL

Kua rubani ni kama kua tu dereva wa bus sema gharama tu za mafunzo ni kubwa mno elimu ya kidato cha nne tu inaweza kukufanya uwe rubani
Hiyo point ya mwisho ndio nilitaka kuchangia.
Watu wanashindwa kutofautisha hiyo course na uhalisia.
Kwamba mtu aliyesoma urubani huonekana ni msomi sana kumbe ni issue tu ya gharama.
 
Uongo urubani sio kama shule ya msingi. Uelewa wako ndio unakufanya umalize mapema
Kama ni uongo sio wangu, ni kilichooneshwa mitandaoni, sina chuo.
 
Akili zinafuata mkondo!! Ni genetic...

Hongera binti.. kaza buti at 25 yrs usukume Boeing 737 !!

Watoto wa sisi wenye IQ ndogo unakuta binti wa miaka 18 yeye anafikiria kuvaa nguo fupi kuzurura na kushinda anachat chat na wasanii... matokeo Four ya point 29.
Daa! nimejikuta nacheka huo mstari wa mwisho 😂😂😂😂
 
Wakuu salaam
Mapema Leo binti aitwae Omega Ngowi ambaye Ni Rubani mwanafunzi amefanikiwa kurusha ndege kutoka Dar-Tanga-Zanzibar-Dar akiwa peke yake.

Binti Omega mwenye umri wa miaka 18 ni mtoto wa mhadhiri wa chuo kikuu Cha mzumbe, Prof Prosper Honest Ngowi

Tumpe hongera binti huyu

Cc
fazili
instanbul
Come27
Sky Eclat
Manelezu
jaap
Frank Wanjiru
chuma cha mjerumani
Monchengladbach
NIYOMBARE
nizakale
kinusikwetu
mliberali
View attachment 1559810
At the age of 28, anaweza kuwa anarusha Boeing kwenda Heathrow! Mungu ambariki mtoto huyu anafurahisha sana !
 
Wakuu salaam
Mapema Leo binti aitwae Omega Ngowi ambaye Ni Rubani mwanafunzi amefanikiwa kurusha ndege kutoka Dar-Tanga-Zanzibar-Dar akiwa peke yake.

Binti Omega mwenye umri wa miaka 18 ni mtoto wa mhadhiri wa chuo kikuu Cha mzumbe, Prof Prosper Honest Ngowi

Tumpe hongera binti huyu

Cc
fazili
instanbul
Come27
Sky Eclat
Manelezu
jaap
Frank Wanjiru
chuma cha mjerumani
Monchengladbach
NIYOMBARE
nizakale
kinusikwetu
mliberali
View attachment 1559810
anafaa kuwa mkwe wangu, Nina Kijana kamaliza Chuo hana mchumba.

tena Mchaga wa Marangu, hawa ni kama wa-israeli.
 
Wakuu salaam
Mapema Leo binti aitwae Omega Ngowi ambaye Ni Rubani mwanafunzi amefanikiwa kurusha ndege kutoka Dar-Tanga-Zanzibar-Dar akiwa peke yake.

Binti Omega mwenye umri wa miaka 18 ni mtoto wa mhadhiri wa chuo kikuu Cha mzumbe, Prof Prosper Honest Ngowi

Tumpe hongera binti huyu

Cc
fazili
instanbul
Come27
Sky Eclat
Manelezu
jaap
Frank Wanjiru
chuma cha mjerumani
Monchengladbach
NIYOMBARE
nizakale
kinusikwetu
mliberali
View attachment 1559810
blessed
 
Kurusha ndege ni rahisi sana. Kama "BOB SAMBEKE" alikuwa na uwezo wa kurusha ndege sisi ni nani tushindwe? Time will tell. Ngoja tuzisake hela.

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Ata ukimaliza urubani basi ushatumia mamilioni mia mia ivi ndio uwe na uwezo wa kurusha ndege na kupakia abiria. Hatua ya kwanza tu, unakata kama milioni 40 ivi, unapewa private license huwezi kurusha ndege kwa malipo yoyote na tena hapo unarusha cessna 152/172 ambayo umesomeshwa nayo. Hatua ya pili ya kukupatia leseni ya kurusha ndege na kulipwa tena ukate mamilioni kadhaa, na hapo bado hupati kazi, ukienda kama precision kuomba kazi, ambao wana operate ATR planes, unatakiwa ukasomee kitu inaitwa type rating, yaani ukaisomee hio ndege ambayo unataka kurusha sasa, hapa ndio unakwenda kuchoma tena pesa nyingi tu. Yaani mpaka unamaliza walau milioni 150 ivi umewekeza.

Sasa baada ya kuchoma izo kabla ya kupata kazi, makampuni yanataka uwe na minimum hours hii inategemeana na kampuni matakwa yao. Lakini kwa mtu mjanja, ambae hajafikia hayo masaa, anashinda airport, kwa vile anakuwa anajulikana kama mhitimu, huwa zinatokea fursa unapewa upeleke abiria sehemu, hulipwi mshahara unapewa posho tu. Sio noma, kwa sababu wewe unapata kurikodi masaa yako mpaka yakifikia yale yanayohitajika, inakuwa rahisi kupata ajira (ikiwa nafasi zipo). Ukipata ajira, zile hela ulizochoma zote, utaona kuwa it was worth it. Maana mshahara huwa mnono na benefits zinategemeana na kampuni.

Tatizo vijana wanataka wakimaliza kusoma na kuwa na masaa kadhaa wanataka ajira direct, wakati kumbe angekubali kufanya kazi bure tu na kujipatia posho uku anajenga masaa yake ambayo later on yatamuwezesha kupata kazi kirahisi.
Mkuu umeeleza kitaalam sana. Kumbe hadi marubani na wao huwa wanapiga deiwaka?

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Pale wazazi wanapowaandalia watoto wao mazingira mazuri huku wengine wakibaki na lawama lukuki kwa serikali.badala ya kuwalaumu wazazi wao walishindwa kuwatengenezea mazingira bora ya kutoboa.
 
Kazi ya urubani inataka uwe jasiri sana,kama abiria mwanaume baunsa na misuli kibao akishafika huko juu anapanic miguu inamtetemeka,sembuse mtoto wa miaka 18 tena mwanamke! hongera zake sana...
 
Back
Top Bottom