Hukumuzuku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,677
- 5,030
Alizaliwa Bergen, Norway huyu msichana. Nakumbuka baba yake alikuwa anakasukuma kwenye baby buggy enzi hizo wanaishi Fantoft baba yake anasoma NHH.
Labda kijiji kizima wamsomeshe mtu mmojaKuna chuo pale Airport kama unaenda terminal 1 nasikia ni cha mzungu mmoja, saa 1 ni USD 250. na at least mwanafunzi anatakiwa asome min 750 Hrs Max 1500 Hrs ndipo aweze kurusha ndege na hapo ni kama haja fail item yyt kwenye hiyo course.
Look here!
Rate price per Hour 250
Hrs required 750
Excahnge rate 1USD = TZS 2315
250X2315=578,750
750×578,750= TZS 434,062,500
Mtoto wa mkulima atauza korosho.kiasi gani akasome kwa milioni 434,062,500?
Vijana wengi wamejikita kusoma gani ambazo hiziko kwenye Soko la Ajira. Soko a ajira Kwa sasa ni Medicine, utalii, airways,ualimu wa Sayansi, building and Construction, na ICT.ukisomea urubani mambo ya kuzunguka na bahasha kusaka ajira hayapo,ajira zinakufata zenyewe hadi mlangoni....hii ndo faida ya kusomea vitu vya "watu wachache"
Mwambie asome Masomo ya Science Pcm,PGM, PCB, EGM. Awe Jasiri na aliyetuliza Kichwa. Pia awe anapenda hii Kazi.
Huyu ni Mchagga wa Kibosho. Baba yake Honest alikuwa Mwalimu, Mama Yao alikuwa Mhaya Mwalimu.Duu watu wema Sana Waliokutwa na Hofu ya Mungu. Ni walokole Wakatoliki kuikumbuka hii Familia ya Mwalimu Ngowi ni watu Wema mno.anafaa kuwa mkwe wangu, Nina Kijana kamaliza Chuo hana mchumba.
tena Mchaga wa Marangu, hawa ni kama wa-israeli.
Wa Old Moshi. Mmiliki wa Arusha by Night wakati Dunia ikiwa nzuriRubani wa kwanza mwanamke alikuwa Betty Olotu tulisoma naye std7 1975 Uhuru primary Arusha kwa sasa atakuwa ni mama mtu mzima naye alikuwa mchaga wa Marangu ila baba yake alikuwa na ukwasi maana alikuwa anakuja shule na gari
Urubani mkuu.Mkuu unaulizia rubani au ubani???
Acha kuzingua mzee, kwa tz marubani wapo wasio na kaziukisomea urubani mambo ya kuzunguka na bahasha kusaka ajira hayapo,ajira zinakufata zenyewe hadi mlangoni....hii ndo faida ya kusomea vitu vya "watu wachache"
hii ndege sindio iliyoanguka?Wakuu salaam
Mapema Leo binti aitwae Omega Ngowi ambaye Ni Rubani mwanafunzi amefanikiwa kurusha ndege kutoka Dar-Tanga-Zanzibar-Dar akiwa peke yake.
Binti Omega mwenye umri wa miaka 18 ni mtoto wa mhadhiri wa chuo kikuu Cha mzumbe, Prof Prosper Honest Ngowi
Tumpe hongera binti huyu
Cc
fazili
instanbul
Come27
Sky Eclat
Manelezu
jaap
Frank Wanjiru
chuma cha mjerumani
Monchengladbach
NIYOMBARE
nizakale
kinusikwetu
mliberali
View attachment 1559810
Miaka 18!..kwa mfumo wa Elimu yetu huyo bado yupo darasani Tena O'level!....Kama kweli huo ndio umri wake Basi Kuna possibility kubwa Sana hakusomea Nchini...nakama itakua ndio hivyo Kama Taifa itatubidi tuuwangalie upya mfumo wetu wa Elimu Nchini!... Otherwise hongera zake!
AbsolutelySafi sana binti kwa ujasiri mkubwa kukaa angani peke yako tena juu ya bahari ni ujasiri mkubwa sana kwa binti mdogo kama wewe. Atakuwa rubani mdogo kabisa huyu Tanzania.
Naam kiongoziluambo makiadi kwenye ubora wako
Wachunga mbuzi mna akili fupi SanaTena Kwa wenzetu, urubani ni option ya mwisho Kwa waliofeli, kama ilivyo ualimu bongo.
Yaah yupo vzr kwasasa Ni principal wa campus ya darPro Ngowi yuko vizuri, lazima atengeneze viumbe vizuri pia.
NaamBaba yake huendesha kipindi cha mahojiano ITV.
Absolutely MrHiii ni nzuri Sana uwekezaji wa kwy Elimu unalipa sana
Find his biographyNje ya mada, kwahiyo huyu ndie kitinda mimba wa prof ngowi. Natamani nimfahamu Alfa ngowi.
Amesema egm pale FEZA GIRLS ALIPIGA ONE YA 3luambo makiadi naomba umuulize Omega alisoma PGM? Maana kuna maneno ya kijima sana tulishikishwa enzi tunasoma