Omega Ngowi: Rubani mdogo mwenye ujasiri

Duuu kweli jf kuna wazee??? shikamoo babu!! mnaonaje kwa screen??? nilidhani ni watotot tu! labda mimi ndo mkubwa kuuumbe!! najidanganya!!! sema ukweli enzi zenu 1975 hamkujifunza computer uongo babu?

tuelezee kwa kirefu wewe ulianzaje kujua!! ukiweka picha ya huyo mchaga mdada ni nzuri pia

halafu nambie mbona hawa marubani wa kike wadogo ni wachaga tuuuuu!!!
Wazee hawapo humu kushindana na vijana, kwamba kile unachotaka ukipate.
 
Kuna chuo pale Airport kama unaenda terminal 1 nasikia ni cha mzungu mmoja, saa 1 ni USD 250 na at least mwanafunzi anatakiwa asome min. 750 Hrs Max 1500 Hrs ndipo aweze kurusha ndege (Airline Transport) na hapo ni kama haja fail module yyt kwenye hiyo course.

Look here!
Rate price per Hour-250
Required Hrs750 (Min.)
Excahnge rate 1USD = TZS 2315
250X2315=578,750
750×578,750= TZS 434,062,500

Mtoto wa mkulima atauza korosho kiasi gani akasome kwa milioni 434,062,500?
sidhani kama kwa hapa bongo kusomea hiyo kitu tunaweza kufikia hizo gharama mkuu
kwani kwa nje ya nchi tu inaweza kuwa around 50 million hivi au isifike kwa kutegemea chuo na chuo ada yake imekaaje.
Angalia usije vunja moyo watu wengine wanaohitaji kusomea hiyo fani maana hata tukipiga mahesabu ya kiinua mgongo cha mzazi wake na huyo binti tu anaweza hasifikishe milioni 400 uliyoitaja wewe
 
Wale wa Elimu bure hizi level watazisikia kwa majirani.

Hakuna namna mtu utaifurahia hii dunia pasipo kutoa jasho. Ukiwa mvivu kapuku huwez peleka mtoto wako mafunzo ya urubani akiwa na miaka 16

Huyu mtoto bila shaka anakula matunda ya jasho la wazazi wake.
ni kweli haina jinsi wacha tukubaliane na hali
 
hivi kandege km hako kanauzwa sh ngapi,, hakatanishinda haka kwa viruti vya hapa na pale
 
Miaka 18!..kwa mfumo wa Elimu yetu huyo bado yupo darasani Tena O'level!....Kama kweli huo ndio umri wake Basi Kuna possibility kubwa Sana hakusomea Nchini...nakama itakua ndio hivyo Kama Taifa itatubidi tuuwangalie upya mfumo wetu wa Elimu Nchini!... Otherwise hongera zake!
Naam
 
Back
Top Bottom