Omega Ngowi: Rubani mdogo mwenye ujasiri

Omega Ngowi: Rubani mdogo mwenye ujasiri

luambo makiadi

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2017
Posts
10,709
Reaction score
8,918
Wakuu salaam
Mapema Leo binti aitwae Omega Ngowi ambaye Ni Rubani mwanafunzi amefanikiwa kurusha ndege kutoka Dar-Tanga-Zanzibar-Dar akiwa peke yake.

Binti Omega mwenye umri wa miaka 18 ni mtoto wa mhadhiri wa chuo kikuu Cha mzumbe, Prof Prosper Honest Ngowi

Tumpe hongera binti huyu

Cc
fazili
instanbul
Come27
Sky Eclat
Manelezu
jaap
Frank Wanjiru
chuma cha mjerumani
Monchengladbach
NIYOMBARE
nizakale
kinusikwetu
mliberali
FB_IMG_15993259414460789.jpeg
 
Wale wa Elimu bure hizi level watazisikia kwa majirani.

Hakuna namna mtu utaifurahia hii dunia pasipo kutoa jasho. Ukiwa mvivu kapuku huwez peleka mtoto wako mafunzo ya urubani akiwa na miaka 16

Huyu mtoto bila shaka anakula matunda ya jasho la wazazi wake.
 
Wale wa Elimu bure hizi level watazisikia kwa majirani.

Hakuna namna mtu utaifurahia hii dunia pasipo kutoa jasho. Ukiwa mvivu kapuku huwez peleka mtoto wako mafunzo ya urubani akiwa na miaka 16

Huyu mtoto bila shaka anakula matunda ya jasho la wazazi wake.
Naam,nafarijika kuona matokeo ya uwekezaji wetu (klm) ktk elimu
 
Wale wa Elimu bure hizi level watazisikia kwa majirani.

Hakuna namna mtu utaifurahia hii dunia pasipo kutoa jasho. Ukiwa mvivu kapuku huwez peleka mtoto wako mafunzo ya urubani akiwa na miaka 16

Huyu mtoto bila shaka anakula matunda ya jasho la wazazi wake.
ukisomea urubani mambo ya kuzunguka na bahasha kusaka ajira hayapo,ajira zinakufata zenyewe hadi mlangoni....hii ndo faida ya kusomea vitu vya "watu wachache"
 
Wakuu salaam
Mapema Leo binti aitwae Omega Ngowi ambaye Ni Rubani mwanafunz amefanikiwa kurusha ndege kutoka dar-tanga-zanzibar-dar akiwa peke yake
Binti Omega mwenye umri wa miaka 18 Ni mtoto wa mhadhiri wa chuo kikuu Cha mzumbe Prof Prosper Honest Ngowi
Tumpe hongera binti huyu
Cc
fazili
instanbul
Come27
Sky Eclat
Manelezu
jaap
Frank Wanjiru
chuma cha mjerumani
Monchengladbach
NIYOMBARE
nizakale
kinusikwetu
mliberali
View attachment 1559810
Safi sana binti kwa ujasiri mkubwa kukaa angani peke yako tena juu ya bahari ni ujasiri mkubwa sana kwa binti mdogo kama wewe. Atakuwa rubani mdogo kabisa huyu Tanzania.
 
Hii elimu ya urubani imewekezwa tz?
Kuna chuo pale Airport kama unaenda terminal 1 nasikia ni cha mzungu mmoja, saa 1 ni USD 250 na at least mwanafunzi anatakiwa asome min. 750 Hrs Max 1500 Hrs ndipo aweze kurusha ndege (Airline Transport) na hapo ni kama haja fail module yyt kwenye hiyo course.

Look here!
Rate price per Hour-250
Required Hrs750 (Min.)
Excahnge rate 1USD = TZS 2315
250X2315=578,750
750×578,750= TZS 434,062,500

Mtoto wa mkulima atauza korosho kiasi gani akasome kwa milioni 434,062,500?
 
Kuna chuo pale Airpor kama unaenda terminal 1 nasikia ni cha mzungu mmoja, saa 1 ni USD 250. na at least mwanafunzi anatakiwa asome 750 Hrs ndipo aweze kurusha ndege na hapo ni kama haja fail item yyt kwenye hiyo course.

Look here!
Rate price per Hour 250
Excahnge rate 1USD = USD 2315
250X 2315=578,750
750×578,750= 434,062,500

Mtoto wa mkulima atauza korosho.kiasi gani akasome kwa milioni 434,062,500?
Afrika kusini unatakiwa masaa 200 ya mafunzo, ambayo inachukua kama miezi 18, na gharama ni $ 50,000.
 
Wakuu salaam
Mapema Leo binti aitwae Omega Ngowi ambaye Ni Rubani mwanafunz amefanikiwa kurusha ndege kutoka dar-tanga-zanzibar-dar akiwa peke yake
Binti Omega mwenye umri wa miaka 18 Ni mtoto wa mhadhiri wa chuo kikuu Cha mzumbe Prof Prosper Honest Ngowi
Tumpe hongera binti huyu
Cc
fazili
instanbul
Come27
Sky Eclat
Manelezu
jaap
Frank Wanjiru
chuma cha mjerumani
Monchengladbach
NIYOMBARE
nizakale
kinusikwetu
mliberali
View attachment 1559810
Miaka 18!..kwa mfumo wa Elimu yetu huyo bado yupo darasani Tena O'level!....Kama kweli huo ndio umri wake Basi Kuna possibility kubwa Sana hakusomea Nchini...nakama itakua ndio hivyo Kama Taifa itatubidi tuuwangalie upya mfumo wetu wa Elimu Nchini!... Otherwise hongera zake!
 
Miaka 18!..kwa mfumo wa Elimu yetu huyo bado yupo darasani Tena O'level!....Kama kweli huo ndio umri wake Basi Kuna possibility kubwa Sana hakusomea Nchini...nakama itakua ndio hivyo Kama Taifa itatubidi tuuwangalie upya mfumo wetu wa Elimu Nchini!... Otherwise hongera zake!

Inawezekana hata kama kasoma hapa,maana kwa kawaida form IV kijana ana maliza akiwa na miaka 17 na inaonekana alivyo maliza tu O level akaenda kwenye urubani na kozi ya urubani ni miezi 6 kwa leseni ya PPL

Kua rubani ni kama kua tu dereva wa bus sema gharama tu za mafunzo ni kubwa mno elimu ya kidato cha nne tu inaweza kukufanya uwe rubani
 
Uongo mkubwa hiyo 250$ ni kwa kurusha solo na watakiwa masaa 40 hadi 50 angani

Total cost huwa ni 17000$
Kuna chuo pale Airpor kama unaenda terminal 1 nasikia ni cha mzungu mmoja, saa 1 ni USD 250. na at least mwanafunzi anatakiwa asome 750 Hrs ndipo aweze kurusha ndege na hapo ni kama haja fail item yyt kwenye hiyo course.

Look here!
Rate price per Hour 250
Excahnge rate 1USD = USD 2315
250X 2315=578,750
750×578,750= 434,062,500

Mtoto wa mkulima atauza korosho.kiasi gani akasome kwa milioni 434,062,500?
 
Back
Top Bottom