Jana wazir kairuki alisema kua, katika mchakato wa maombi ya ajira kuna watu waliwasilisha vyeti ambavyo vilibainika kuwa vimeshatumiwa na watu wengine, wapo kwenye ajira hivyo maombi yao yalifutwa automatic
Namuomba waziri kairuki aweke bayana vyeti hivyo ambavyo vimetumika zaidi ya mara moja ili watu tujue,
Isije ikawa mtu unaomba unakosa kila mwaka kumbe cheti chako kuna mtu anakitumia sehemu nyingine pasipo wewe kujua,
nawasilisha
Namuomba waziri kairuki aweke bayana vyeti hivyo ambavyo vimetumika zaidi ya mara moja ili watu tujue,
Isije ikawa mtu unaomba unakosa kila mwaka kumbe cheti chako kuna mtu anakitumia sehemu nyingine pasipo wewe kujua,
nawasilisha