Ombi kwa waishio marekani

Ombi kwa waishio marekani

wewe unatafuta hiyo kazi ya mil 3, mwenzio ana ambitions kubwa zaidi
Kama yeye ni go getter basi namshauri aanzishe biashara, kwasababu inalipa sana US. Na kama ni mambo ya technology ni rahisi sana kwasababu haitaji hata kuwa na ofisi. Yeye anaweza tuu ku-incorporate kampuni yake Nevada lakini address yake ikawa popote pale US. Akatengeneza ka website uchwara halafu akaanza kutake order kutoka craigslist. Yeye anacho fanya ni ku-send job India halafu wakisha mfanyia kazi anawapeleke wateja wake kazi iliyo kamilika. Analipwa $$$ then ana rinse na ku-repeat, mambo yakiwa mazuri ana scale up.
 
Nasisitiza hakuna nchi inaitwa europe, kutaja kama ulikuwa UK. Holand, German, Spain, France n.k hakuwezi kukutambulisha ki namna yeyote ile sababu ni Watanzania wengi sana wameishi na wanaendelea kuishi kwenye nchi hizo. na kama unataka mawazo ya watanzania waliopo U.S,A labda ungeomba tukupe blogu zao, humu JF hawaingii watu wajingajinga.

Personally sielewi kwa nini umekomalia hakuna nchi ya Euro kwa nini huulizi kua ni bara,bloc,mkoa,wilaya au kijiji? maana mie sijaona mtoa maada kwenye post yake aliposema kwamba aliishi nchi inayoitwa Euro but amesema ameishi Euro....Euro ni kifupi cha Europe ambacho kinatumiwa sana kwa maongezi ya kawaida sawa na tunapotumia Tz or Bongo badala ya Tanzania na kumbuka European Union ni free zone kwa member states wote na wana visa/pesa moja except U.k
so watu wengi waliko ndani ya European union hususani wageni utakuta yuko Italy,Sweden,France,Poland etc kwa ajili ya kupiga box..so akisema kaishi Euro which means Europe mie namwelewa vizuri sana kwa sababu mwenyewe nimeishi na bado naendelea ishi kwenye nchi tofauti za Europe....

Kwa mtoa maada kaka mie nakuomba ufanye kazi ya prof yako huko nyumbani (Tz) jijenge ukiwa hapo hapo nyumbani bt nenda ka-spend time na wife kila unapopata nafasi au yeye aje Tz...na kumbuka mara nyingi 'base' nzuri ya kujijenga na kuimarisha maisha waga ni homeland huku kwingine ni kutafuta tu.....
 
Personally sielewi kwa nini umekomalia hakuna nchi ya Euro kwa nini huulizi kua ni bara,bloc,mkoa,wilaya au kijiji? maana mie sijaona mtoa maada kwenye post yake aliposema kwamba aliishi nchi inayoitwa Euro but amesema ameishi Euro....Euro ni kifupi cha Europe ambacho kinatumiwa sana kwa maongezi ya kawaida sawa na tunapotumia Tz or Bongo badala ya Tanzania na kumbuka European Union ni free zone kwa member states wote na wana visa/pesa moja except U.k
so watu wengi waliko ndani ya European union hususani wageni utakuta yuko Italy,Sweden,France,Poland etc kwa ajili ya kupiga box..so akisema kaishi Euro which means Europe mie namwelewa vizuri sana kwa sababu mwenyewe nimeishi na bado naendelea ishi kwenye nchi tofauti za Europe....

Kwa mtoa maada kaka mie nakuomba ufanye kazi ya prof yako huko nyumbani (Tz) jijenge ukiwa hapo hapo nyumbani bt nenda ka-spend time na wife kila unapopata nafasi au yeye aje Tz...na kumbuka mara nyingi 'base' nzuri ya kujijenga na kuimarisha maisha waga ni homeland huku kwingine ni kutafuta tu.....

Nadhani umetumia muda mwingi sana kunielimisha mimi kuhusu europe, bahati mbaya usichokijuwa mimi katika shenghen countries sijafika Norway, Belgium, luxernborg na France tu. na sikuwahi kupiga box mtoni, all was vacasion trips. na hapa ninapotambaa na keybord nina mailage za kutosha za kusafiri bure kwenye kadi yangu ya swiss air.
 
Nadhani umetumia muda mwingi sana kunielimisha mimi kuhusu europe, bahati mbaya usichokijuwa mimi katika shenghen countries sijafika Norway, Belgium, luxernborg na France tu. na sikuwahi kupiga box mtoni, all was vacasion trips. na hapa ninapotambaa na keybord nina mailage za kutosha za kusafiri bure kwenye kadi yangu ya swiss air.

masifa mafuta:hand:
 
Unamshambuli kwa vile kasema Euro, mbona humshambulii hajataja sehemu anayokwenda marekani? Zote Europe na Marekani ni general names za mkusanyiko wa nchi mbalimbali (nadhani Marekani ni muungano wa federal states).

Samahani kama nitakuwa nimekosea.

Kwa upande mwingine, unamaanisha watanzania wanaoishi marekani wenye blogu ni wajingawajinga?

Hapo kwenye RED Ni busara ukaanza kugoogle kwa kitu usichokijuwa then ndio uandike, mtu ambae upo kwenye internet una access ya kusema am sure.
 
Wanajf mnaoishi USA naomba maoni yenu.
Mie nipo TZ ila mke wangu anaishi US na nimefanikiwa viza ili nije nimjoin . Tatizo ni kuwa nimepata kazi ya prof bongo na nategemea mshahara wa kama 3million, sasa nipeni maoni yenu kama ni ww ungechagua kazi au kwenda US.
Nmeishi Euro kama miaka sita hivi nimerudi recently baada ya kuchoka, hivyo najua nn kitatokea nkienda US. Wife kazi zake ni hizo hizo wanazofanya wageni na mara nyingi analalamika kuchoka kwani analala hm nights 3 tu siku zingine ni kazi 24 hrs.
Naomba maono yenu esp kutoka kwa watu waliotoka bongo miaka au siku za karibuni.
Ahsante
haupo serious kijana, piga chini US wtf with US? i hate usa
 
kuuliza ni kosa siku hizi? kwa majibu yako ya kijinga nahisi na wewe ni mjinga uliyekosea njia uko JF!!!!

ingekuwa ni wewe ndio umeuliza, ningekwambia nenda haraka kule strip show zinalipa.
 
kwa ushauri wangu nadhani ungefanya tour kwanza kuja kujionea hali halisi mwenyewe usiache kazi mara moja mbali na vishawishi visivyokuwa na ukweli ndani yake kwa sababu kubwa zifuatazo, kuhusu huo mshahara wako unaopata hapo siyo kiasi kikubwa sana cha kukufunga ubaki bongo, lakini kulingana na life ya bongo vilevile unaweza kusukuma siku kadhaa tofauti na life ya hapa, lakini inategemea na matumizi yako vilevile, kwani kwa hapa hiyo pesa unayolipwa ni kima cha chini ambacho mtu yeyote anaweza kupata bila prof yoyote ambayo itaishia kulipa bills labda na pesa kidogo za chakula, kwani kwa mahesabu ya haraka haraka hizo mill 3 ni sawa na $2000 kwa exchange rate ya sasa hivi, sasa $2000 kwa mwezi ni sawa paycheck mbili yaani $1000 kwa wiki mbili kwani sehemu nyingi malipo ni baada ya wiki mbili, kwa hiyo ni sawa na $12.5 kwa saa. Lakini basi hata kama unakuja na prof yako usitegemee utakuja kuanza kuifanyia kazi mara moja kuna vipengele kadha wa kadha inabidi kupitia kwani jamaa wana ukiritimba sana, mpaka uje uanze kufanyia kazi prof yako unatakiwa uwe mvumilivu laa sivyo utajutia hata hicho kibarua chako utakachokiacha huko, lakini ukivumilia na mitulinga ya hapa mpaka uweze kufanyia kazi prof yako hapo ndiyo utaona raha ya kuishi huku.
 
thanx people, mke wangu ni US citizen na amekuwa huko over 10yrs.

Mkuu uwe citizen usiwe citizen life ni same. Hakuna kazi hilo ndilo uliwekee maanani. Usiache kazi yako hiyo itakufaa baadae. Kama una uwezo uwe unakwenda kutembea lakini kimaisha hesabu kama miaka 10 hivi ndio angalau utakuwa umesave pesa kidogo ya downpayment ya nyumba. Kila kitu ni mkopo sasa riba yake bana shughuli kweli kweli. Ni vizuri ukaungana na mkeo lakini fikiria kwa makini maamuzi ni yako.
 
mhh nnavyotamani kwenda majuu,sina tu wa kunialika japo nkatembee wiki ntagharamia mwenyewe kila kitu:rain:

Shosti ni pm nitakualika teh teh teh uje kusaidia kubeba box usilie halafu ukimbie fumilia tuuuuuuuuuuuuu mpaka miaka 20 iishe.
 
Wanajf mnaoishi USA naomba maoni yenu.
Mie nipo TZ ila mke wangu anaishi US na nimefanikiwa viza ili nije nimjoin . Tatizo ni kuwa nimepata kazi ya prof bongo na nategemea mshahara wa kama 3million, sasa nipeni maoni yenu kama ni ww ungechagua kazi au kwenda US.
Nmeishi Euro kama miaka sita hivi nimerudi recently baada ya kuchoka, hivyo najua nn kitatokea nkienda US. Wife kazi zake ni hizo hizo wanazofanya wageni na mara nyingi analalamika kuchoka kwani analala hm nights 3 tu siku zingine ni kazi 24 hrs.
Naomba maono yenu esp kutoka kwa watu waliotoka bongo miaka au siku za karibuni.
Ahsante

Wacha kamba wewe maneno mengi kama pilipili manga unaleta maswali ya kizandiki hapa.
 
We majibu unayo. Umechoka kukaa euro. Usa unaenda kubangaiza. Unalipwa 3m. Una ufaham ni wabongo wangapi wanalipwa hivyo? Mwambie mkeo aachane na bright light theory na kubeba mabox arudi bongo mle maisha.
 
Matola bana muwie radhi mwenzio hajasema nchi ya Euro rudi usome vizuri bana acha kumsumbua ni vizuri ukamwelimisha. Mimi nimemwelewa hakutaka kuwa specific kutaja jina la nchi ndio maana amesema ameishi Europe. It could be any country in Europe ni sawa na kusema North America sio kwamba ni Marekani tu ni pamoja na Canada sasa kipi ambacho hujaelewa hapo mkuu.

Kweli Pakawa, ni kama wadhungu 'wanavyosemaga' am goin' to Africa this winter, duuh jamaa kamshikia bango kinoma mwenzake kumbe anachemka mwenyewe ha ha ha ha teh teh tehe hi hi hih ih !!!!!:decision::decision:
 
Kweli Pakawa, ni kama wadhungu 'wanavyosemaga' am goin' to Africa this winter, duuh jamaa kamshikia bango kinoma mwenzake kumbe anachemka mwenyewe ha ha ha ha teh teh tehe hi hi hih ih !!!!!:decision::decision:


Back to topic wewe umechangia nini? au umemsaidiaje mtoa mada? zaidi ya kuja kucheza sindimba kufurahia mawazo ya wenzako? watu wengine bwana kituko kwelikweli.
 
Bwana Massaiboi,
Nashukuru sana kwa swali lako. Wako watanzania wengi sana wenye maswali kama yako. Nimekutana nao wengi tu zaidi ya mia wakiniuliza maswali kama yako. Binafsi naona fursa kwako ila uwe na malengo yako na mipangilio mzuri. Kama hapo Tanzania umeshaweka nyumba ya kufikia au kukuweka wakati wa shida / mauti n.k basi uangalie tena suala la ardhi kama umeshajiwekea ardhi ya kutosha hapo Tanzania. Baada ya hapo ninaamini kuwa unaweza kuja kubangaiza huku ughaibuni ila zingatia sana maoni ya waliopita. Maoni yao ni ya maana sana mfano mtu aliyekushauri uende kuona kwanza ndo uamue n.k ..... sasa soma ushauri huo na changanya na zako kisha uamue
 
kama vpi mkeo yeye aje bongo-kuliko wewe kwenda huko
 
Bwana Massaiboi,

Bwana Massaiboi,

Nakushauri baki bongo......Hiyo pesa inatosha sana kufanya maajabu tanzania tena ukiwa na malengo na mkeo yuko USA...Kwamba akirudi nyumbani mje mmalizie muda ulio baki.USA Sioni mwanga kabisa..Miaka 10 iliyopita nilipata Visa ya shule kwenda kusoma uko uko marekani Jimbo la texas was 2001.

Wakati nahangaika kuwa na afidavidi na mengine mengi wakabadilisha rules etc.
Nikabaki bongo niakenda chuo...baada kumaliza nikapata kazi ya dola 600 kwe mwezi back 2005.Mpaka naacha kazi kuja nje kikdogo ya ya tanzani was 3m take home.Na nakwambia bado ilikuwa nzuri sana..nimetoka juuu ya exposure tu lakini.Unawaeza miliki nyumba gari na miladi kadhaa within 5yrs kwa mshahara huo. Kwa maelezo yako naaweza sema u have a push toka kwa mkeo ndio anakusukuma uende USA..Kwa kuwa na mapenzi labda.Lakini kama unaweza chukua muda wako mweleze kwa lugha ambayo ataelewa kuwa bado mnaweza ku make hata tanzania.Kwa kuwa kama amesoma vyema USA..Akijata tanznaia kupta kazi haita mchukua 3month kupata kazi tena unaweza kuwa na mshahara kama wako...then mnafanya maisha bwerere...marekani mnaenda kuuza sura.Ni hayo tu.
 
Shosti ni pm nitakualika teh teh teh uje kusaidia kubeba box usilie halafu ukimbie fumilia tuuuuuuuuuuuuu mpaka miaka 20 iishe.

du yaani utakuwa umefanya la mbolea kweli,nshachoka kuhadithiwa usijali sintokuangusha niko ngangari zaidi ya C.U.F:wink2:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom