mkuu mbona unang'ang'ania nchi ya europe yeye kasema aliishi europe sasa hapo huelewi nini? kwani haiwezekani kuishi europe au afrika au asia?Nasisitiza hakuna nchi inaitwa europe, kutaja kama ulikuwa UK. Holand, German, Spain, France n.k hakuwezi kukutambulisha ki namna yeyote ile sababu ni Watanzania wengi sana wameishi na wanaendelea kuishi kwenye nchi hizo. na kama unataka mawazo ya watanzania waliopo U.S,A labda ungeomba tukupe blogu zao, humu JF hawaingii watu wajingajinga.
Nasisitiza hakuna nchi inaitwa europe, kutaja kama ulikuwa UK. Holand, German, Spain, France n.k hakuwezi kukutambulisha ki namna yeyote ile sababu ni Watanzania wengi sana wameishi na wanaendelea kuishi kwenye nchi hizo. na kama unataka mawazo ya watanzania waliopo U.S,A labda ungeomba tukupe blogu zao, humu JF hawaingii watu wajingajinga.
Njoo huku likizo! Kamwe usiache kazi ya 3mil,huku hamna kitu unless you are in your teens and early twenties,otherwise ni utumwa tu!nipo huku miaka 15,maziwa na keki kila asubuhi,mayai ubwete!..misosi mvua na easy tu! bali umeme,cable and other bills ndio kazi.ni vigumu ku save! kama una mke poa,ila hiyo kazi nimeimind,usiiache!.....mpeleleze sana mkeo,huku misosi na winter watu tunalambana sana! but that depend on a person.Wanajf mnaoishi USA naomba maoni yenu.
Mie nipo TZ ila mke wangu anaishi US na nimefanikiwa viza ili nije nimjoin . Tatizo ni kuwa nimepata kazi ya prof bongo na nategemea mshahara wa kama 3million, sasa nipeni maoni yenu kama ni ww ungechagua kazi au kwenda US.
Nmeishi Euro kama miaka sita hivi nimerudi recently baada ya kuchoka, hivyo najua nn kitatokea nkienda US. Wife kazi zake ni hizo hizo wanazofanya wageni na mara nyingi analalamika kuchoka kwani analala hm nights 3 tu siku zingine ni kazi 24 hrs.
Naomba maono yenu esp kutoka kwa watu waliotoka bongo miaka au siku za karibuni.
Halafu kama umezoea kupewa ujiko,huku utajisikia vibaya kwani elimu ya Africa japo ni kali,huku wanaona kama shule ya kata tu!.tunapiga box na wanaubalozi wetu,mainjinia wa UDA,watu wa masters kibao lakini wanabeba boksi kama hawana akili nzuri,ila kama wewe ni mhindi na umeelimika,umewini.
Other than that,ni kama europe tu but with a lot of Gangstaz!
Mkuu.
Wife akiiona hii msg basi atakupiga red card au atauwasha moto. Au una uhakika sio member hapa JF?
Vizuri ungeshauriana na yeye na mukakubaliana. Wife anaweza kuwa mshauri mzuri tu.
Priority yako au yenu wewe na wife ni nini?
Halafu, long distance relationship ni mtihani mkuu.
Kazi ni mpaka nifike ndio nitafute na priority kwangu ni kazi kwani bila job hata familia inasambaratika.
basi funga motormouth yako, hujui!sijui marekani kukoje,ila sikushauri...
thanx people, mke wangu ni US citizen na amekuwa huko over 10yrs.
Nasisitiza hakuna nchi inaitwa europe, kutaja kama ulikuwa UK. Holand, German, Spain, France n.k hakuwezi kukutambulisha ki namna yeyote ile sababu ni Watanzania wengi sana wameishi na wanaendelea kuishi kwenye nchi hizo. na kama unataka mawazo ya watanzania waliopo U.S,A labda ungeomba tukupe blogu zao, humu JF hawaingii watu wajingajinga.
thanx people, mke wangu ni US citizen na amekuwa huko over 10yrs.
kwa sababu hajasema hajajenga familia, na anataka familia iliyojengewa Bongo.... kwanini asije bongo mjenge familia
wewe unatafuta hiyo kazi ya mil 3, mwenzio ana ambitions kubwa zaidi, usishauri based on your own vision-less outlook.ingawa me ni wa mwanza ... hiyo kaz ya mil3 wenzio tunaitafuta hatuipati