Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,547
- 10,273
Weye huutaki ukongwe? najaribu kuwaza baada ya miaka 30 utafunguliwa uzi kisha wazee wa wakati huo ujao watakapoanza kufunguka kuhusu mwamba na man fongo huku vijana wa wakati huo wakiwa wadadisi kutaka kujua man fongo alikuwa mahiri kiasi gani! najikuta nauheshimu wakati na zama zake.Kwa hiyo unatuona Wazee sana sio?