BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Oii ...back in tiiiimee...mko poa ma-old school wenzangu nineamua kuanzisha thread hii mahususi kwa ajili ya vijana wa zamaani tuongelee kuhusu maisha ya zamani especially miziki ya nje "old school" rnb, hiphop, blues, zilizobamba sana na vijana ambao tulikua states enzi hizo maisha yalikuwaje huko na zile beef za east coast na west coast, beef za tupac na big, club za zamani za nje hata bongo pia, gangs zilizokua na beef enzi hizo states,matukio ya zamani ya huko states, vijana tulioruka majoka club za hapa bongo miziki gan ilikua inapigwa sana na matukio ambayo unayakumbuka ambayo hutayasahau. Na mengine mengi. Karibuni sana. Lets go waaaay baack in timee!!