Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,120
- 34,080
To some of us, hao wa kabla ya 90's hatukuwasikia tumehadithiwa tu...tukielezea kanakwamba tumewasikia tutakuwa waongo.90s ishakuwa old school?
To some of us, hao wa kabla ya 90's hatukuwasikia tumehadithiwa tu...tukielezea kanakwamba tumewasikia tutakuwa waongo.90s ishakuwa old school?
Hello...is it me you're looking forNdani yake kuna hellow.....au sio..???
Shikamoo baba!!
hahaaa!!babyyy!!!Marahaba kwa niaba yake.
Najua ulikuwa Mtoto sana enzi kina Black Moses, Mc Digadiga.
Nyimbo za kina Marijani Rajabu, Mbaraka Mwishehe na Cuban Marimba
Unajua kisa cha Watu kuitwa "kilaz.a"?
Uzee raha!!!!
hahaaa!!babyyy!!!
mtoto sana tuu!
Sasa kuanzua Leo nakuamkia daily!!
naomba unipe kisa cha watu kuitwa kikaza tafadhali!!!
typing error kilaza?!Kikaza ndiyo nini?
thanks dear!!!!
Haya tupe khabari zenu tukumbuke vizuri vya zamani na hao Nwa na wimbo wa f...the police.Umenitaja mkuu nipo hapa
MARHABAAA vipi kwema? sasa wamesema tukumbuke zamani tufanyaje sasa? hizo enzi hakuna timu wala vilabu tungo zimesimama zenyewe mpaka leo wala hakuna Kiki ukitaka kutoa wimbo.Shikamoo baba!!
Duh! hiyo marhabaaa yako ya mwendokasi umeniwahi ila halija haribika jambo zinatustahili hizo heshma panakuwa pagumu vijana kujua kitu kama kanyaboya ,pongo, njagu ila kwa threads kama hizi wanapata ladha.Marahaba kwa niaba yake.
Najua ulikuwa Mtoto sana enzi za kina Black Moses, Mc Digadiga.
Nyimbo za kina Marijani Rajabu, Mbaraka Mwishehe na Cuban Marimba
Unajua kisa cha Watu kuitwa "kilaz.a"?
Uzee raha!!!!
kwema baba,nawaona wa zamani humu maana hizo tungo hapo mie za kizungu ndo utanipata!!MARHABAAA vipi kwema? sasa wamesema tukumbuke zamani tufanyaje sasa? hizo enzi hakuna timu wala vilabu tungo zimesimama zenyewe mpaka leo wala hakuna Kiki ukitaka kutoa wimbo.
Coolio na gangster paradise hiyo ni miaka ya 95 flan hivi sio siku nyingi sana ila si vibaya kukumbuka jamaa baada ya kutamba na gangster paradise alikuja toa kibao kingine nadhani ilikuwa I will c you when you get there sijui akapotelea wapi?Dah mkuu hivi hao raia wako wap especially akina coolio, wazee wa OPP wako wap aisee ...yu know opp.ye yu know meee ...hahahaah...
mi najua xzibit ana kipind chake saivi cha kutengeneza magari flan amazing hahaha
Nyumbani anakoishi ni msimbazi kotaaaaNajua mwenzangu karibuni utatoka hospitalini... utokapo tafadhali, fika mjini umtafute mpaka umuonee "mchumba wangu clara x2";....ukimuona tafadhali muulize kama kweli yuko radhi niteseke hospitali..? ...
mwambie shemeji yako kibwana anakusalimuu .....kama hajasikiaaa eeeh .....ajali iliyonipata imekuwa kilema na kilema kisiwe kisingizio cha kukosa kuja kunionaaa......Nyumbani anakoishi ni msimbazi kotaaaa
Kikwetu kwetu kwanza baadae ndo tunakwenda huko kwa kina Tina Turner na Diana ndo maana umekipenda kibao cha endless love akiwa na mtu mzima lione Richie.kwema baba,nawaona wa zamani humu maana hizo tungo hapo mie za kizungu ndo utanipata!!
hao kina mbaraka mwinshehe wanakufa sijazaliwa!!
Mpenzi wako kitwana anakusalimumwambie shemeji yako kibwana anakusalimuu .....kama hajasikiaaa eeeh .....ajali iliyonipata imekuwa kilema na kilema kisiwe kisingizio cha kukosa kuja kunionaaa......