Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,987
uzalendo Kwanzaa!!.safi baba!Kikwetu kwetu kwanza baadae ndo tunakwenda huko kwa kina Tina Turner na Diana ndo maana umekipenda kibao cha endless love akiwa na mtu mzima lione Richie.
uzalendo Kwanzaa!!.safi baba!Kikwetu kwetu kwanza baadae ndo tunakwenda huko kwa kina Tina Turner na Diana ndo maana umekipenda kibao cha endless love akiwa na mtu mzima lione Richie.
Naamuzalendo Kwanzaa!!.safi baba!
safi sana!!Naam
Mwenyekiti mwalimu Nyerere baba
Imarisha ukombozI wa afrika
Uhuru wetu hauwezi kuwa sawa
Mpaka afrika yote imekuwa huru
Nimekukubali kiongozi...Mpenzi wako kitwana anakusalimu
hiyo kama atasikiaaa eeh hasan rehani bitchuka alipanda kwa kupanda basi burdaaaaan.
Almarhumu juma mrisho (ngulimba wa ngulimba )lakini ukiwa wapenda miziki basi mziki wowote mzuri utapenda kuanzia vyombo mpaka mpangilio wa sauti kuna kipindi Charles hilary alifanya mambo na watu wakavutiwa na charanga bila kujua maneno yana maana gani ila midundo ilivutia watu so kuna mambo kemkem mtu anaguswa katika muzikisafi sana!!
wazee enzini taifa sie bado kwanza!
Tupo pamoja ndugu yangu wacha mleta uzi katukumbusha vya kale.Nimekukubali kiongozi...
Umenikumbusha mbali saanaEh bwana mi nakumbuka mengi sana ila kuna club moja mjini L.A marekan ..miaka ya 90's wakat ndo beef la pac na big limepamba moto...watu tunaingia club, jamaa flan alikua mmoja wa wamilik wa hio club walikua wanakaaa upand wa dj....sasa jamaa anashika mic anaanza...."now i want all mthfk east side stay that side and all mthfk west side stay that side" ..and if u aint got any side u better fkn going home" baas bwana tukishakaa pande mbili katikati panaachwa uwazi flani ...dj anaanza kushusha trak za tupac na big ..ikifika trac ya upande wenu basi mnawa face wenzenu mnakua kama mnawachana....hahahaa ilikua balaaa ...hasa ilipofika trak ya hit em up ya pac ....haswa kwenye chorus "grab tupac when u see 2pac ..call the cops when u see 2pac".....hahahah aiseee
Shikamoo baba tena na tena!!Almarhumu juma mrisho (ngulimba wa ngulimba )lakini ukiwa wapenda miziki basi mziki wowote mzuri utapenda kuanzia vyombo mpaka mpangilio wa sauti kuna kipindi Charles hilary alifanya mambo na watu wakavutiwa na charanga bila kujua maneno yana maana gani ila midundo ilivutia watu so kuna mambo kemkem mtu anaguswa katika muziki
Km bado unapendelea kusikiliza ngoma kali za hao jamaa, ni PM nina mzigo wa kutosha...90s hip hop ndio burdani yangOi oi oi....
Mob deep
Outcast team
Naughty by Nature
Thug life
BadBoy
Coolio
X-zibit
Lost Boys
Mase
Puff Daddy
Nas Escober
Snoop Dog
Dr.Dre
Ice Cube
Master P
Nate Dogg
Mi nilianza kuwasikia hao wa 90's though wapo wakali waliowatangulia.
Old school = Gold school
Haha aisee that.is interestingNimekumbuka maneno ya baba yangu wakati nimetoka kutahiriwa....
Kabisa mkuuNdani yake kuna hellow.....au sio..???
Or someone's loving youuu....Hello...it's me you looking for
I wonder where you are & I wonder what you do...
Are you still lonely or...
Huu wimbo naupenda sana.
Wadada wanaopenda old school hits hua wananivutia sana really..halafu wagumu kupatikana..hit gan nyingine unaikumbuka nifahHello...it's me you looking for
I wonder where you are & I wonder what you do...
Are you still lonely or...
Huu wimbo naupenda sana.
yap mkuu tupia tupia memory unakumbuka.nini mkuu wanguUmenikumbusha mbali saana
Nlikua nazo kuna washkaj nao wa kitambo walikuja kuchukua hawajanirudishiaga sjapata mda kwenda kuzitafuta cd mpya na kuna nyingine hamna nyimbo zote yan ntaku pm mkuuKm bado unapendelea kusikiliza ngoma kali za hao jamaa, ni PM nina mzigo wa kutosha...90s hip hop ndio burdani yang
Kwa hiyo unatuona Wazee sana sio?Shikamoo baba tena na tena!!
noo Ila mikato yenu no exceptional!!Kwa hiyo unatuona Wazee sana sio?