Ogopa hizi shuhuda

Ogopa hizi shuhuda

Unapigiwa simu na rafiki wa kitambo lakini usiyemkumbuka Ila yeye anakujua (kiuhalisia kakudukua tuu) yeye anakupa siri ya dili la kupeleka vitu huko na mlipaji ni UN kisha anakuunganisha na boss wake mzungu anayeongea kiingereza safi kabisa.. Utachanganyiwa habari mpaka utapigwa kama ukiwa na tamaa ya kupata haraka

Jr
Shukrani mkuu,kumbee!Nilipiwa simu kama wiki mbili zimepita na mtu nisiyemfahamu (akidai ameagizwa na jamaa flani tulofanya naye kazi sehem,,kamtaja jina,lkn pia naye simkumbuki,kwamba kuna dili anataka kunipa), maswali yake tu nikashtuka, majibu nilompa nadhani yalimkatisha tamaa hakurudi tena.Inaweza kuwa ni hawa hawa matapeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chapchap ipo kwa kufanya ushetani ! Jamaa mmoja alipata box la pesa kitandani baada ya kufanya mambo yake . Pesa ya haraka ipo ni wewe tu kuthubutu . Kumbuka nabii Isa aliambiwa nini na shetani alipopandishwa mlimani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Who saw forex by ontario coming...

Mind you.. Forex sio uongo na wala si scam, ila kuna wajanja huitumia hyo kuwapiga wengne
 
Shukrani mkuu,kumbee!Nilipiwa simu kama wiki mbili zimepita na mtu nisiyemfahamu (akidai ameagizwa na jamaa flani tulofanya naye kazi sehem,,kamtaja jina,lkn pia naye simkumbuki,kwamba kuna dili anataka kunipa), maswali yake tu nikashtuka, majibu nilompa nadhani yalimkatisha tamaa hakurudi tena.Inaweza kuwa ni hawa hawa matapeli.

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
Gd
Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa mganga fulani ni kiboko. Kuna madalali mpaka kwenye ulozi.

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa kapiga pesa ndefu kwenye kamari. Huyu kaumizwa naye anataka akuumize.

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa biashara GLND, FOREVER LIVING QNet nk zinalipa sana. Huyu keshapigwa na ana mzigo mkubwa wa bidhaa na hana wa kumuuzia, Ukikubali unalo lake.

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa biashara fulani inalipa na faida yake ni chap chap. Huyu hajui ni mropokaji tu naye kasimuliwa.

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa fulani kafanikiwa kupitia njia fulani lakini yeye yuko hapo hapo akiwa hohehahe hana mbele wala nyuma. Hizi ni story za vijiweni,

Hii dunia haina shortcut, hakuna pesa za bure. Kila sent lazima uitolee jasho.

Marafiki wa mitandaoni wanaojifanya wako njema na wanataka mshirikiane kufanya ishu ya pesa. Hawa ni matapeli tu, wezi waganga njaa kama wengine tu.

Mtu anayekushuhudia fursa kwa bashasha na lugha za kuvutia jua ya kwamba tayari aneshakuona wewe ni fursa..

Bahati mbaya sana hata baada ya kusoma hii post bado kuna watu watapigwa na watakuja hapa kulalama.. Na wengine watapigwa hapa hapa na wana JF wenzao

Ishu za madini
Ishu za mali ya Mjerumani
Ishu za pesa za majini
Ishu za Freemason
Ishu za utajiri wa kafara
Ishu ya dola za kusafisha
Ishu za madawa, vipuri, vivyago, magari, vyakula na zabuni mbalimbali kupitia UN kwenda kambi za wakimbizi zote hizi ni wizi na utapeli

MAKINIKA, MAKINIKENI, WAJINGA HAWAISHI ILA KUKUMBUSHANA NI ADA.

Jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikoje hii biashara

Jr

Unaambia Kuna mzungu anataka unapewa namba za muhindi mwenye duka la jumla bei 8500 wewe unauza 30000 unatuma hela ya mzigo.biashara yako inakua imeisha. Mdogo wangu alipigwa m 3.6, kunikopa namuuliza ya Nini kujieleza nikamwambia polee . Alikua apigwe m5.

Hawa walikuwa na data zake walikuwa wanajua ata ratiba zake.
 
Doooh! Rafiki yangu fulani alinihakikishia kuwa kilimo cha viazi ulaya kinalipa ile mbaya.Basi bwana, tukaandaa mpango mzima na nikamwaga million kadhaa. Kweli tulilima but mvua zimenyesha hadi kero, viazi full kuugua ugonjwa wa mnyauko.Mwisho wa siku mavuno yamekuwa negative na millions zimepotea hivi hivi.

Next time mtu asiniambie sijui upuuzi gani gani unalipa. Kama unalipa dump pesa zako mwenyewe kwenye huo upuuzi ili zikulipe.
Usikate tamaa hiyo imekuwa bahati mbaya mvua zimezidi mwaka huu, lakini ukweli KILIMO kinalipa. Nakuhakikishia hapo umepata uzoefu Siku nyingine ukiulizwa do you have experience in farming? Sema yes!! Nakuomba urudi tena na tena!
 
Hawatapeli kiboya wanahakikisha wana full details zako ndio wakuweke kati
Unaambia Kuna mzungu anataka unapewa namba za muhindi mwenye duka la jumla bei 8500 wewe unauza 30000 unatuma hela ya mzigo.biashara yako inakua imeisha. Mdogo wangu alipigwa m 3.6, kunikopa namuuliza ya Nini kujieleza nikamwambia polee . Alikua apigwe m5.

Hawa walikuwa na data zake walikuwa wanajua ata ratiba zake.

Jr
 
Vipi Kuhusu Mr. Kuku je ni genuine au tusubiri vilio
Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa mganga fulani ni kiboko. Kuna madalali mpaka kwenye ulozi.

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa kapiga pesa ndefu kwenye kamari. Huyu kaumizwa naye anataka akuumize.

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa biashara GLND, FOREVER LIVING QNet nk zinalipa sana. Huyu keshapigwa na ana mzigo mkubwa wa bidhaa na hana wa kumuuzia, Ukikubali unalo lake.

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa biashara fulani inalipa na faida yake ni chap chap. Huyu hajui ni mropokaji tu naye kasimuliwa.

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa fulani kafanikiwa kupitia njia fulani lakini yeye yuko hapo hapo akiwa hohehahe hana mbele wala nyuma. Hizi ni story za vijiweni,

Hii dunia haina shortcut, hakuna pesa za bure. Kila sent lazima uitolee jasho.

Marafiki wa mitandaoni wanaojifanya wako njema na wanataka mshirikiane kufanya ishu ya pesa. Hawa ni matapeli tu, wezi waganga njaa kama wengine tu.

Mtu anayekushuhudia fursa kwa bashasha na lugha za kuvutia jua ya kwamba tayari aneshakuona wewe ni fursa..

Bahati mbaya sana hata baada ya kusoma hii post bado kuna watu watapigwa na watakuja hapa kulalama.. Na wengine watapigwa hapa hapa na wana JF wenzao

Ishu za madini
Ishu za mali ya Mjerumani
Ishu za pesa za majini
Ishu za Freemason
Ishu za utajiri wa kafara
Ishu ya dola za kusafisha
Ishu za madawa, vipuri, vivyago, magari, vyakula na zabuni mbalimbali kupitia UN kwenda kambi za wakimbizi zote hizi ni wizi na utapeli

MAKINIKA, MAKINIKENI, WAJINGA HAWAISHI ILA KUKUMBUSHANA NI ADA.

Jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom