Ogopa hizi shuhuda

Ogopa hizi shuhuda

Mshana nadhan sio mtu mmoja. Ni icon flan. Ni ngum ujue kila kitu hiv. Watu weng wanawazia kupata bila kujihoji proccess ya kupata kwenyewe. Lakin kuna wanaopiga kupitia uhalisia hasa hawa wa kuleta fursa mkauziwa mbegu flan kama chia na mlonge au sungura alaf una mzigo soko hulioni.

Mengine ni ukosef tu wa watu kutumia mr google kwa faida. Vipigo vingi vilishachanwa humo. Na vingi ni kazamani. Watu weng wana pesa lakin wako mal-informed. Kweli kuwa na pesa na kuwa na akili kuna wakat vinapishana! Ila ndg Mshana umeacha orodha ndef sana ya vipindi. Atakayejihis anaelekea kupigwa anitafte nimchane vizur.
 
Mshana nadhan sio mtu mmoja. Ni icon flan. Ni ngum ujue kila kitu hiv. Watu weng wanawazia kupata bila kujihoji proccess ya kupata kwenyewe. Lakin kuna wanaopiga kupitia uhalisia hasa hawa wa kuleta fursa mkauziwa mbegu flan kama chia na mlonge au sungura alaf una mzigo soko hulioni. Mengine ni ukosef tu wa watu kutumia mr google kwa faida. Vipigo vingi vilishachanwa humo. Na vingi ni kazamani. Watu weng wana pesa lakin wako mal-informed. Kweli kuwa na pesa na kuwa na akili kuna wakat vinapishana!

Jr
 
Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa mganga fulani ni kiboko. Kuna madalali mpaka kwenye ulozi

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa kapiga pesa ndefu kwenye kamari... Huyu kaumizwa naye anataka akuumize

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa biashara GLND, FOREVER LIVING nk zinalipa sana.. Huyu keshapigwa na ana mzigo mkubwa wa bidhaa na hana wa kumuuzia.. Ukikubali unalo lake

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa biashara fulani inalipa na faida yake ni chap chap.. Huyu hajui ni mropokaji tu naye kasimuliwa

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa fulani kafanikiwa kupitia njia fulani lakini yeye yuko hapo hapo akiwa hohehahe hana mbele wala nyuma... Hizi ni story za vijiweni

Hii dunia haina shortcut, hakuna pesa za bure.. Kila sent lazima uitolee jasho..

Marafiki wa mitandaoni wanaojifanya wako njema na wanataka mshirikiane kufanya ishu ya pesa.. Hawa ni matapeli tu, wezi waganga njaa kama wengine tuu

Mtu anayekushuhudia fursa kwa bashasha na lugha za kuvutia jua ya kwamba tayari aneshakuona wewe ni fursa..

Bahati mbaya sana hata baada ya kusoma hii post bado kuna watu watapigwa na watakuja hapa kulalama.. Na wengine watapigwa hapa hapa na wana JF wenzao

Ishu za madini
Ishu za mali ya mjerumani
Ishu za pesa za majini
Ishu za Freemason
Ishu za utajiri wa kafara
Ishu ya dola za kusafisha
Ishu za madawa, vipuri, vivyago, magari, vyakula na zabuni mbalimbali kupitia UN kwenda kambi za wakimbizi zote hizi ni wizi na utapeli

MAKINIKA..MAKINIKENI... WAJINGA HAWAISHI ILA KUKUMBUSHANA NI ADA..

Jr
Vipi kuhusu corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hao forever ndo hatar Sana!

Wakishindwa kukushawishi wanakuomba uwape namba za rafiki zako.

Kwa jinsi wanavyoendesha biashara zao Kuna aina fulan ya utapel.


Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa mganga fulani ni kiboko. Kuna madalali mpaka kwenye ulozi

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa kapiga pesa ndefu kwenye kamari... Huyu kaumizwa naye anataka akuumize

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa biashara GLND, FOREVER LIVING nk zinalipa sana.. Huyu keshapigwa na ana mzigo mkubwa wa bidhaa na hana wa kumuuzia.. Ukikubali unalo lake

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa biashara fulani inalipa na faida yake ni chap chap.. Huyu hajui ni mropokaji tu naye kasimuliwa

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa fulani kafanikiwa kupitia njia fulani lakini yeye yuko hapo hapo akiwa hohehahe hana mbele wala nyuma... Hizi ni story za vijiweni

Hii dunia haina shortcut, hakuna pesa za bure.. Kila sent lazima uitolee jasho..

Marafiki wa mitandaoni wanaojifanya wako njema na wanataka mshirikiane kufanya ishu ya pesa.. Hawa ni matapeli tu, wezi waganga njaa kama wengine tuu

Mtu anayekushuhudia fursa kwa bashasha na lugha za kuvutia jua ya kwamba tayari aneshakuona wewe ni fursa..

Bahati mbaya sana hata baada ya kusoma hii post bado kuna watu watapigwa na watakuja hapa kulalama.. Na wengine watapigwa hapa hapa na wana JF wenzao

Ishu za madini
Ishu za mali ya mjerumani
Ishu za pesa za majini
Ishu za Freemason
Ishu za utajiri wa kafara
Ishu ya dola za kusafisha
Ishu za madawa, vipuri, vivyago, magari, vyakula na zabuni mbalimbali kupitia UN kwenda kambi za wakimbizi zote hizi ni wizi na utapeli

MAKINIKA..MAKINIKENI... WAJINGA HAWAISHI ILA KUKUMBUSHANA NI ADA..

Jr™️
 
Dunia ingekuwa na maisha rahisi kama wanavyotuaminisha... Sijui ingekuwaje
Kama hao forever ndo hatar Sana!

Wakishindwa kukushawishi wanakuomba uwape namba za rafiki zako.

Kwa jinsi wanavyoendesha biashara zao Kuna aina fulan ya utapel.
na bei halisi ya bidhaa moja hukuzwa zaidi ya mara 20 kulingana na mikono ya mawakala ilimopitia

Jr
 
Mshana vp kuhusu hawa jamaa wanaojiita Jamalife umewahi kuwasikia? Kuna rafiki yangu alinishawishi sn kujiunga lakn roho ikagoma kabsa
Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa mganga fulani ni kiboko. Kuna madalali mpaka kwenye ulozi

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa kapiga pesa ndefu kwenye kamari... Huyu kaumizwa naye anataka akuumize

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa biashara GLND, FOREVER LIVING nk zinalipa sana.. Huyu keshapigwa na ana mzigo mkubwa wa bidhaa na hana wa kumuuzia.. Ukikubali unalo lake

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa biashara fulani inalipa na faida yake ni chap chap.. Huyu hajui ni mropokaji tu naye kasimuliwa

Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa fulani kafanikiwa kupitia njia fulani lakini yeye yuko hapo hapo akiwa hohehahe hana mbele wala nyuma... Hizi ni story za vijiweni

Hii dunia haina shortcut, hakuna pesa za bure.. Kila sent lazima uitolee jasho..

Marafiki wa mitandaoni wanaojifanya wako njema na wanataka mshirikiane kufanya ishu ya pesa.. Hawa ni matapeli tu, wezi waganga njaa kama wengine tuu

Mtu anayekushuhudia fursa kwa bashasha na lugha za kuvutia jua ya kwamba tayari aneshakuona wewe ni fursa..

Bahati mbaya sana hata baada ya kusoma hii post bado kuna watu watapigwa na watakuja hapa kulalama.. Na wengine watapigwa hapa hapa na wana JF wenzao

Ishu za madini
Ishu za mali ya mjerumani
Ishu za pesa za majini
Ishu za Freemason
Ishu za utajiri wa kafara
Ishu ya dola za kusafisha
Ishu za madawa, vipuri, vivyago, magari, vyakula na zabuni mbalimbali kupitia UN kwenda kambi za wakimbizi zote hizi ni wizi na utapeli

MAKINIKA..MAKINIKENI... WAJINGA HAWAISHI ILA KUKUMBUSHANA NI ADA..

Jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Link imegoma ku upload.. Pengine imepigwa pini hapa...
Mshana vp kuhusu hawa jamaa wanaojiita Jamalife umewahi kuwasikia? Kuna rafiki yangu alinishawishi sn kujiunga lakn roho ikagoma kabsa

Sent using Jamii Forums mobile app
downloadfile.jpeg


Jr
 
Maelezo yao yanakinzana na hiki walichoweka hapa.. Hawa ni wapigaji Ka wengine kina PYRAMID DECI, billionaire club nknk..
CEO wake ni Mnaija
Mshana vp kuhusu hawa jamaa wanaojiita Jamalife umewahi kuwasikia? Kuna rafiki yangu alinishawishi sn kujiunga lakn roho ikagoma kabsa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiingilio dola 5.. Akipata watu 20 kila siku hajaishi huyo?
img_20191225_151000.jpeg
Screenshot_20200316-222813~2.jpeg


Jamalife is a humanitarian and philanthropic organisation. ... Jamalife is sponsored by renowned multinational organisations like Hyundai Motors, GAC Motors, Hewlett Packard, Diamond Bank, LG etc. JAMALIFE works through the pool of resources donated by partners like all registered members here who share its vision



Jr
 
Yupo mtu mmoja ananivuta tangu mwaka jana, uzuri nishawajua hua nampotezea.


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Unachosema ni sahihi,kuna rafiki yangu kapigwa kule QNET ananiganda na mimi nijiunge,nimemkatalia.
Kanibadilikia kabisa hataki hata salamu
 
Back
Top Bottom