Tunarandana mkuume ubahili wangu ndo huwa unanisaidia jamani, we ongea yooooote shawishi uwezavyo, ila ikifikia sehemu ukataja nitoe hela hapo ndo kwa heri ya mimi na wewe, hela yangu ngumu mno kutoka yaaani saaana hv hv tu aisee Big No





Dah!..




Yani kiulainiiii na hawana huruma kabisaPole, ulilizwa na wewe pale jagid
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa mganga fulani ni kiboko. Kuna madalali mpaka kwenye ulozi.
Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa kapiga pesa ndefu kwenye kamari. Huyu kaumizwa naye anataka akuumize.
Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa biashara GLND, FOREVER LIVING nk zinalipa sana. Huyu keshapigwa na ana mzigo mkubwa wa bidhaa na hana wa kumuuzia, Ukikubali unalo lake.
Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa biashara fulani inalipa na faida yake ni chap chap. Huyu hajui ni mropokaji tu naye kasimuliwa.
Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa fulani kafanikiwa kupitia njia fulani lakini yeye yuko hapo hapo akiwa hohehahe hana mbele wala nyuma. Hizi ni story za vijiweni,
Hii dunia haina shortcut, hakuna pesa za bure. Kila sent lazima uitolee jasho.
Marafiki wa mitandaoni wanaojifanya wako njema na wanataka mshirikiane kufanya ishu ya pesa. Hawa ni matapeli tu, wezi waganga njaa kama wengine tu.
Mtu anayekushuhudia fursa kwa bashasha na lugha za kuvutia jua ya kwamba tayari aneshakuona wewe ni fursa..
Bahati mbaya sana hata baada ya kusoma hii post bado kuna watu watapigwa na watakuja hapa kulalama.. Na wengine watapigwa hapa hapa na wana JF wenzao
Ishu za madini
Ishu za mali ya Mjerumani
Ishu za pesa za majini
Ishu za Freemason
Ishu za utajiri wa kafara
Ishu ya dola za kusafisha
Ishu za madawa, vipuri, vivyago, magari, vyakula na zabuni mbalimbali kupitia UN kwenda kambi za wakimbizi zote hizi ni wizi na utapeli
MAKINIKA, MAKINIKENI, WAJINGA HAWAISHI ILA KUKUMBUSHANA NI ADA.
Jr![]()
you're genius 
Niko Kyela huku kuna mahali panaitwa Ipyana darajani karibu na Kambi ya jeshi la JWTZ kuna jamaa anaitwa Chaurembo mkinga mmoja kapigwa 2 million kwa kuamini uganga uganga na jamaa anaduka lenye vitu full, siku nne hajafungua duka stress za kupigwa...
Sent using Jamii Forums mobile app








Muogope zaidi anayeaminisha watu kwa kutumia madhabahu kwamba nchi yetu haitaguswa aslani na COVID 19. Na watu, kama mazuzu, wanashangilia kwa nguvu na kuwazomea wale ambao walikuwa wanawahimiza kufuata masharti ili kuepukana na gonjwa hili.Ogopa sana mtu anayekwambia eti Mungu anaponya / anasaidia!
Niko Kyela huku kuna mahali panaitwa Ipyana darajani karibu na Kambi ya jeshi la JWTZ kuna jamaa anaitwa Chaurembo mkinga mmoja kapigwa 2 million kwa kuamini uganga uganga na jamaa anaduka lenye vitu full, siku nne hajafungua duka stress za kupigwa...
Sent using Jamii Forums mobile app


nilikaa sana hapo darajani...njia kuu ya kuelekea NGONGA BEACH..hv bdo ipo ile?Naomba story zaid please,,,,,,Bro mmoja kariakoo alipigwa 124m
Aiseee walimpeleka LINDI PANGONI ETI AKASHIKE MKONO WA MALAIKA WA ULINZ WA PESA.ANASEMA WA BARIDI
HALAFU WALIMPELEKEA SANDUKU TATU ZA DOLA ETI AWEKE NA HELA ZAKE ZA KIBONGO.AISEEEEE
Ndio mbogo yenyewe huwa inakamilikaSisi wabongo hatuamini mpaka tuone
Tusipotapeliwa sisi hua hatuamini kama utapeli upo
Mpaka yatukute ndo tuelewe
Haha tuna hatar
Hao wa kushuhudia biashara fulani inalipa ni wengi sana,hao ni wahujumu uchumi wa vijana wenye uchungu wa maisha.Maana wengine ni wazee wanaoonekana kuwa na hekima kumbe maboya tu na wanaishia kuumiza watu wanaowaaminiMtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa mganga fulani ni kiboko. Kuna madalali mpaka kwenye ulozi.
Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa kapiga pesa ndefu kwenye kamari. Huyu kaumizwa naye anataka akuumize.
Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa biashara GLND, FOREVER LIVING nk zinalipa sana. Huyu keshapigwa na ana mzigo mkubwa wa bidhaa na hana wa kumuuzia, Ukikubali unalo lake.
Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa biashara fulani inalipa na faida yake ni chap chap. Huyu hajui ni mropokaji tu naye kasimuliwa.
Mtu anayekushuhudia kwa hakika kuwa fulani kafanikiwa kupitia njia fulani lakini yeye yuko hapo hapo akiwa hohehahe hana mbele wala nyuma. Hizi ni story za vijiweni,
Hii dunia haina shortcut, hakuna pesa za bure. Kila sent lazima uitolee jasho.
Marafiki wa mitandaoni wanaojifanya wako njema na wanataka mshirikiane kufanya ishu ya pesa. Hawa ni matapeli tu, wezi waganga njaa kama wengine tu.
Mtu anayekushuhudia fursa kwa bashasha na lugha za kuvutia jua ya kwamba tayari aneshakuona wewe ni fursa..
Bahati mbaya sana hata baada ya kusoma hii post bado kuna watu watapigwa na watakuja hapa kulalama.. Na wengine watapigwa hapa hapa na wana JF wenzao
Ishu za madini
Ishu za mali ya Mjerumani
Ishu za pesa za majini
Ishu za Freemason
Ishu za utajiri wa kafara
Ishu ya dola za kusafisha
Ishu za madawa, vipuri, vivyago, magari, vyakula na zabuni mbalimbali kupitia UN kwenda kambi za wakimbizi zote hizi ni wizi na utapeli
MAKINIKA, MAKINIKENI, WAJINGA HAWAISHI ILA KUKUMBUSHANA NI ADA.
Jr™️
Hahaha nikitulia nitaiandika MWANZO mwisho..mana waliompiga alwaamini baada ya kuaminishwa,akawakabidhi mpaka gari yake artezer masela wakawa wanapiga nayo misele..