Moo Click
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,496
- 3,233
Mzee lazima aingie kwenye lawama maana hajakuza vizuri ile spirit ya uchapaji kazi hakuiingiza ndani ya mwanae uyo ndio maana ana lilia mali.Kabisa Mkuu ila mimi sidhani kama mzazi ananafasi ya kulaumiwa hapa labda tulaumu chuo alikopata hiyo degree.
Mzazi kacheza part yake kumsomesha ni wachache wanapata fursa hiyo,
Imagine kwa umri huo bado jamaa linamshitaki baba ake likidai mgao eti ni haki yake.
Na watoto yatima wako mitaani waseme aje, asipoangalia tamaa na ujinga utamjaa kisha atamtoa kafara mzee wake.
Trust me Malezi yanachangia big time kumshape mtoto. Kama asifiwavyo mzazi pale mwanae afanyapo mazuri basi vice versa is true lawama ziende kwao kokote waliko