Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

WCB ni sawa na JIWE,achana na ule udongo wa kariakoo!
 
Wabongo kujifanya wanajua muziki ilhali hawajui hata ishu ya sampling,kwa taarifa yenu nyie ngumbaro nyimbo nyingi zinazotoka marekani na kwengineko wanakojua muziki huwa zina vinasaba vya nyimbo za zamani.sikiliza Bam! ya jay Z na damian marley wamesample nyimbo ya sista nancy inaitwa bam bam,mpaka jina wamekopi.ila kwakuwa baadhi yenu hamjui muziki ndo maana mnaona ajabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Diamond ni mjanja sana na wcb pia, maana wakati team kiba wanahitajika kupromote nyimbo ya mtu wao, shughuli inaishia njiapanda na kuanza kuongelea nyimbo ya WCB wakija kushtuka, tayari kiba kafunikwa
 
watu 7 kushindana na mtu 1 ni ujinga wa kiwango cha lami

jimbo baya

kiba wanyooshe
kwani ni mashindano eeh, mie naona kila 1 katoa kwa muda wake, au sie wasikilizaji ndio tunaona mashindano
 
ila tunatakiwa kuelewa kuwa msanii mwisho wa siku lazima aende kwenye show, na itakuwa vipi kama unapewa show ya usiku mzima hadi kunakucha, unajikuta unaimba nyimbo hadi unaishiwa na unabaki unapiga kelele jukwaani huna cha kuimba kwa uchache wa nyimbo ulizonazo, inapendeza ukiwa na nyimbo nyingi, unapiga show nyingi kwa kiwango ukipendacho, mbona wenzetu huko Marekani mtu anatoa albamu ina nyimbo kibao na bonus track kibao sisi tunamshangaa [HASHTAG]#MONDI[/HASHTAG] na [HASHTAG]#WCB[/HASHTAG] acheni ushamba kazi yao ni mziki waacheni waimbe
 
Nyimbo ya Diamond na wahuni wenzake haina tofauti na nyimbo ya matonya ile ZILIPENDWA
 
Ali Kiba ni jeshi la mtu mmoja *****...mpaka kawafanya WCB wawe yamoto band hahaha
 
WCB waache kupaniki...sasa king kiba akifyatua pisto ingine (maana ngoma 1 kwa mwaka ni = pisto/risasi 1) lkn imeleta madhara ahahaha
 
Back
Top Bottom