Nzuri Miss Natafuta endelea tu kuisikiliza utaielewa tuile nyimbo mbaya kama kwaya vile
Njoo pm baby kesho nipo free nataka nijitume kwako tuile nyimbo mbaya kama kwaya vile
Wameimba KwayaWCB bana kiba akiachia ngoma lazima na wao waachie sijui ndio nini
Wenye team zao hawatakuelewa kabisaMbona wimbo wa kawaida tu?
naona zari hajawapa hela ya kutengeneza video maskini wameishia kupiga tu ngoma zao hapo madaleYaan inaonyesha ni jinsi gani wcb wanamuogopa kiba
Nyimbo mbayaaaaa yote hii kutaka kumzima kibanaona zari hajawapa hela ya kutengeneza video maskini wameishia kupiga tu ngoma zao hapo madale
Wenye team zao hawatakuelewa kabisa
Kuna mtu ananiambia eti watu 7 wanashindana na mmoja nimecheka [emoji23][emoji23][emoji23] jamani team hizi looh!!Yaan inaonyesha ni jinsi gani wcb wanamuogopa kiba