Ni kweli mkuu, mziki biashara pia wcb wanalo duka la kuuzia mziki ambalo ni wasafi.com. sio mbaya kama wanaongeza bidhaa katika duka Lao.Hata kutoa hizo nyimbo nyingi wcb pia ni ushauri, sio kwamba hashauriki,
Muziq ni biashara, na katika zama hizi za soko huria biashara ni ushindani!!!
Then kilicho bora kitasonga mbele na kusimama, vile wajua kizuri chajiuza kibaya,,,,,,,
Aftaol kutoa wimbo mmoja then unasikilizia hizo ni ZILIPENDWA!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app