Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

Yani ndo mjue mnaimba singeli[emoji23][emoji23]
Sudece me iko kimataifa
 
Hata kutoa hizo nyimbo nyingi wcb pia ni ushauri, sio kwamba hashauriki,

Muziq ni biashara, na katika zama hizi za soko huria biashara ni ushindani!!!

Then kilicho bora kitasonga mbele na kusimama, vile wajua kizuri chajiuza kibaya,,,,,,,

Aftaol kutoa wimbo mmoja then unasikilizia hizo ni ZILIPENDWA!!!!
 
Nadhani WCB na mashabiki wao kuna kitu hawakijui vyema kuhusu muziki na ushindani.

Wanaamini Diamond ndio mwanamuziki bora zaidi hapa Tanzania, na hapo hapo wanalazimisha bifu au ushindani wa kijinga dhidi ya wanamuziki wengine ambao wao wanaamini ni wanamuziki wadogo. Hasa wakimlenga Ali Kiba. Hiyo ni wrong stratergy in a long running. Huwezi kujiona wewe ni bora zaidi halafu unaenda kujilinganisha na wale unaowaona dhaifu.

Diamond alishakuwa maarufu sana hadi kufikia kilele cha umaarufu wake hapa Tanzania, na kwa sasa ni mwanamuziki wa kawaida machoni pa watanzania kwa sababu keshazoeleka sana hapa Tanzania. The same to Ali Kiba, na yeye alishafikia huko huko kabla ya Diamond kuibuka. Na hiyo ndio Asili ya umaarufu ilivyo.

Kwa kusonga mbele kwa yoyote kati yao kutategemea mambo haya....
1/Utulivu wa hali ya juu.
2/Umakini katika kufanya muziki.
3/Kupata mashabiki wapya.
4/Kujipanua kimataifa.
 
Nimependa pia kasehemu ka Mbote, hawa jamaa wako creative sana! Unasikiliza, unacheza na unacheka kwa vicomedi ktk video.
 
nyimbo mbaya itaangaliwa wiki moja tu hii, na bet ngoma na pato ndo itakua kareeeeee

Madaraka ya kulevya
 
Zilipendwa ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Akili za usiku
 
Back
Top Bottom