siwapendi nyny mpaka kufaWanapambana Na Kiba, Kweli Ali Mtu Mbaya Pasua Kichwa Heart Breaker Kipusa
Sijutii kuwa TEAM WCB 300 yangu inaenda kihalali
[emoji445][emoji445][emoji445] diamond na wema zilipendwa[emoji445]
[emoji444]nywele za kichina zilipendwa[emoji445]
[emoji445]sikinde msondo zilipendwa [emoji445]
[emoji445]iddy amini dada zilipendwa[emoji445]
Shikamoo mond [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
https://www.google.com/url?sa=t&sou...CCAwAA&usg=AFQjCNEi7t96358lyuSMHA01zXyrZPTxQATukiwa tunasubiri ujio wa ngoma ya Diamond Platnumz na Patoranking itakayo tolewa rasmi wiki ijayo, WCB leo wameangusha ngoma mpya kali saaaaaaaaaaaaaana ijulikanayo kama Zilipendwa.
Humu wapo wasanii wote wa WCB kuanzia Mondi, Mavoko, Rayvan, Harmonize na mwanadada queen darlin
Kwa uhondo zaidi ingia wasafi dotcom uweze kujinunulia wimbo wako kwa sh mia tatu tu,za kitanzania.
Diamond Platnumz, Rayvanny, Harmonize,Mbosso, Lavalava, Queen Darleen, R.mavoko
Wamepasua au Wamezingua?.
https://www.google.com/url?sa=t&sou...CCAwAA&usg=AFQjCNEi7t96358lyuSMHA01zXyrZPTxQAAhsante WCB, kuna mpuuzi mmoja katuchafua masikioni na machoni na uchafu wake jana.
Wewe usiponipenda inanipunguzia nini kwa mfano? watu mnachekesha kweli!!
Mbona wana bidhaa kibaooo kama karanga, pafyumu, studio, bila kusahau casino la warembo watamu watamu hadi wale wa zilipendwa!Ni kweli mkuu, mziki biashara pia wcb wanalo duka la kuuzia mziki ambalo ni wasafi.com. sio mbaya kama wanaongeza bidhaa katika duka Lao.
Sent using Jamii Forums mobile app
no mkuu..Bila shaka baada ya kupost hiyo kitu nafsi yako imetulia. Hata shughuli zako utazifanys kwa amani kabisa.
acha roho mbaya na akili za kipuuzi.Itakuingizia sh ngapi hiyo WCB ikifa aibu yako kushabikia wanaume wenzako kazini kwako hakuna kitu ptuuuu.