Kwa hiyo kwaya ni nyimbo mbayaile nyimbo mbaya kama kwaya vile
ya Tx moshi william
Umeona eheeee nimeipenda bure sichoki isikiliza, nimepende zaidi mavazi yao na kucheza kwaohahahahahaha! anaturudisha miaka ya 70
Wewe ndo mjinga sasa kama kiba alianza kuwa na fanbase kitambo sasa iweje useme anategemea ant wcbforumyangu miye teamkiba tangu 2007/2008 na nilianza kumshabikia,Kiba tangu anakuja kwenye show pale Lindi wakati nasoma Lindi Secondary...A-level!
Hakuna kama Kiba kwenye vocals na utulivu stejini....!
Na hata katika ile thread yenye shindano kati ya mondi na Kiba,kura yangu imeenda kwa Kiba!
Kura yangu ni ya huruma ya kujaribu kuvunja monopoly ya wcb ktk mziki wetu...ambayo,kiafya siyo nzuri.!
Kiba anapata kura nyingi za huruma toka kwa anti-wcb!
Mkuu wengine hizi bifu za uteam hatuzichukulii serious...sanasana tunazitumia kupigia pesa za wafia timu.. ili kupunguza ugumu wa maisha haya ya awamu ya tano...!
Wajinga ndiyo waliwao...!
Kiba katoa aje remix tatu, katoa Joho Tena na kajiandae.mashabiki wa kibakuli huwa mna mambo sana
Wameshapagawa.. moto wa kiba hawauwezi hawa. We piga hesabu tangu kibakuli a.k.a king atoe AJE hawa wcb wametoa nyimbo ngapi hawa wcb n waoga mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu jamaa wako vizuri mno.cha muhimu Alikiba kama anategemea mziki pekee inabidi awaombe msamaha hawa jamaa la sivyo career yake inakufa hivihivi