Maxmizer
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 4,799
- 4,231
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mamaaminamashairi ya hyo nyimbo itakuwaje nzuri?
Hyo ni kwaya tena AIC CHANG'OMBE
Madaraka ya kulevya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mamaaminamashairi ya hyo nyimbo itakuwaje nzuri?
Hyo ni kwaya tena AIC CHANG'OMBE
Kumbe kiba kaachia ngomaWCB bana kiba akiachia ngoma lazima na wao waachie sijui ndio nini
Kiba Hana maajabu ya kumzidi mondi....kiba ana mda gani tokea aanze mziki kachukua tuzo ngapi za kimataifa na mond anatuzo ngapi? Hata ulaya ubora wa timu unaonekana kwa kuchukua vikombe...nahisi ww umekula bangi za Jamaica....Wanapambana Na Kiba, Kweli Ali Mtu Mbaya Pasua Kichwa Heart Breaker Kipusa
Kitu kinachomuangusha Alikiba kwenye mziki wake ni Ubunifu. Bado anaimba kama enzi za Cinderella.Nimependa pia kasehemu ka Mbote, hawa jamaa wako creative sana! Unasikiliza, unacheza na unacheka kwa vicomedi ktk video.
Tena hawana tofauti na wale ma DJ wa vigodoro na zile nyimbo za kuunga za taarabu.kwa maana hiyo unakubaliana na mm wamekosa ubunifu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mi nimekaa hapa diamond,kona ya bwiru nyimbo inapigwa balAaa
Huu ni wimbo wa rika zote, haubagui. Na hapa ndo Diamond anapowashinda wenzake. Wakati wengine wanalenga burudani yeye analenga burudani na biashara.Duu kwel zilipendwa, atakaeuchukia huu wimbo atakuwa na matatizo yake binafsi..hata darasan nna waswas alikuwa hamuelew mwalimu wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mashabiki sidhani kama wananafasi ya kumshauri Mond ajirekebishe. Ila hao managers wake ndio wenye hiyo kazi..Nadhani WCB na mashabiki wao kuna kitu hawakijui vyema kuhusu muziki na ushindani.
Wanaamini Diamond ndio mwanamuziki bora zaidi hapa Tanzania, na hapo hapo wanalazimisha bifu au ushindani wa kijinga dhidi ya wanamuziki wengine ambao wao wanaamini ni wanamuziki wadogo. Hasa wakimlenga Ali Kiba. Hiyo ni wrong stratergy in a long running. Huwezi kujiona wewe ni bora zaidi halafu unaenda kujilinganisha na wale unaowaona dhaifu.
Diamond alishakuwa maarufu sana hadi kufikia kilele cha umaarufu wake hapa Tanzania, na kwa sasa ni mwanamuziki wa kawaida machoni pa watanzania kwa sababu keshazoeleka sana hapa Tanzania. The same to Ali Kiba, na yeye alishafikia huko huko kabla ya Diamond kuibuka. Na hiyo ndio Asili ya umaarufu ilivyo.
Kwa kusonga mbele kwa yoyote kati yao kutategemea mambo haya....
1/Utulivu wa hali ya juu.
2/Umakini katika kufanya muziki.
3/Kupata mashabiki wapya.
4/Kujipanua kimataifa.
Wanadumisha asili yao, UBISHI!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yooooooAsanteee WCB, Roho yangu sasa imekuwa nyeupe, baada kuchafuliwa na takataka fulani sijui wananiita kipusa, yoooooo wananiita heartbreaker, yoooooo wananiita mzee misifa, yoooooo wananiita mzee wa kugawa madinga, yoooooooo wananita pasua kichwa, sijui ni nani aliyemtungia huu wimbo mbovu kiasi hiki.
Siasa basi
Sio dhambi nikiwa team kiba. Ila Mimi ni mshabiki wa mtu yeyote anaepambana na hali yake katika kujikwamua ili awe huru kiuchumi.