Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

ee2db65db6b371949ff2de3b29d655f3.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo Kenya Nairobi club sevens DJ amecheza Seduce me kila MTU kelele yaani wanaomba ichezwe TENA..Ghalfa akaweka zilipendwa a see umati umemzushia sana..Hawataki spoti spoti

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nimepanga kwa mama matokeo hapa kila chumba cha mpangaji mwenzangu nasikia seduce me yani roho inaniuma kasubwoofer changu kimeharibika la sivyo mbona wangeomba tanesco wakate umeme
 
Matonya anawapelekea mahakamani.

Kwanini mmetumia wimbo wake Zilipendwa bila ridhaa yake?!
Duh,

Unajidhaliisha,

Hilo neno tu ndilo linalofanana ila kila kitu ni tofauti.


Ni sawa nani kama mama ya Christian Bella, na ile ya mzee yusuph au ile ya yamoto band.
 
Eti wadau embu tuambizane kidogo iyo nyimbo inatofauti gani na ile aliyoimba matonya, au kisa wao wameimba wengi???? yani wamekosa ubunifu wamekopi hadi jina la wimbo.

nadhani wasafi wameishiwa sio bure.
 
Eti wadau embu tuambizane kidogo iyo nyimbo inatofauti gani na ile aliyoimba matonya, au kisa wao wameimba wengi???? yani wamekosa ubunifu wamekopi hadi jina la wimbo.

nadhani wasafi wameishiwa sio bure.
Utofauti ni kwamba matonya aliamba peke yake, ila hawa wameimba watu 7.

Idea ni ile ile inayozungumzia mastaa wa zamani ukifananisha na mastaa wa wakati huu.

Sio mastaa tu, Bali life style pia.

Ahsante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaaani tembo mmoja simba 5 pumbavu watu wote wameingia studio washindane na mtu mmoja
Alafu awawezagi kuimba bila kumtaja wema yaani wema sepetu kawakaaa kichwani kuliko mkewenu kila wimbo wema
Kwamba wameingia studio leo kutoa huo wimbo na video juu plus kuunga au walikua nao wameona leo ndo wautoe na wao pia ebu funguka vzr mh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aisee nipo hapa kigali ... zilipendwa inapigwa kila kona usiku huu... huyu diamond wa sayati nyingine
 
Back
Top Bottom