Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,270
kila siku nyerere wanaimbwa kwenye manyimbo na hakuna aliyeshangaa sembuse hao jamani??fact. mwenyew nimeshangaa sana
kila siku nyerere wanaimbwa kwenye manyimbo na hakuna aliyeshangaa sembuse hao jamani??fact. mwenyew nimeshangaa sana
Matonya anawapelekea mahakamani.yaani ukiona watu wanaiongelea zaidi nyimbo ya wcb nakuacha nyimbo ya alikiba unaweza kuona jinsi gani wcb wanakiki zaidi..na hapa ndipo utagundua kumbe mashabiki wengi wa diamond ni wa alikiba viewers wengi wa diamond ni mashabiki wa alikiba....
Kwa hiyo ndio mkaamua muungane watu 7 kumshambulia mtu mmoja?!kiba hana mashabiki
Bali kuna maadui wa diamond wanaomsapoti mtu yoyote anayekwenda kinyume na diamond.
Hujakosea jamaa kweli anadiserve kuitwa pasua wale wahenga hawatopata usingizi Leo wamezidi kujifefhehesha kwa kweliAisee seduce me ni balaaa
warudi upya studio
tatizo nini hapo jina au nyimbo nzima kacopy kwa matonya pamoja na beat??Matonya anawapelekea mahakamani.
Kwanini mmetumia wimbo wake Zilipendwa bila ridhaa yake?!
hahahahaMwanaume umeandika kwa kujishaua hvyo Mara napenda kudance
Kijana kuwa makini na maana mwanaume kushabikia watoboa pua ni ushoga
Alfu mbona unaandika hovyo hvyo unaandika aina gani ya Eassy?
Tupo pamojaAisee seduce me ni balaaa
warudi upya studio
unataka wamtaje nan sasa ? kwny zilipendwa anafitYaaani tembo mmoja simba 5 pumbavu watu wote wameingia studio washindane na mtu mmoja
Alafu awawezagi kuimba bila kumtaja wema yaani wema sepetu kawakaaa kichwani kuliko mkewenu kila wimbo wema
Mi nimekaa hapa diamond,kona ya bwiru nyimbo inapigwa balAaaNimeenda Club 4, Nyimbo ya Kiba Seduce.Me inarudiwa rudiwa hatariiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitakuwa kigodoroo, sisi tunaongelea Club kama ClubMi nimekaa hapa diamond,kona ya bwiru nyimbo inapigwa balAaa