Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

kunyanyua vyuma uku huna marinda Zilipendwa
 
Isiwe shida kijana.

Endelea kubisha hivyo hivyo ila kwa taarifa yako diamond ana nyimbo nyingi tangu mwaka 2009 mpaka leo amezifadhi tu, nyingine akitaka kuzitoa huwa anaziongezea vionjo kidogo ili kuendana na soko lililopo au anatafuta msanii wa kumshirikisha ili kupata ladha tofauti halafu ndio anaziachia.
Diamond kuna siku ameomba ladha yako maana inaonekana ni mtaalamu wa kutoa ladha kwa wanaume.
 
Hyo nyimbo mbovu

Hata gospel za atosha kisava hamzifikii
kila mtu na nafsi yake jinsi anavoisikia anavoifeel kwahiyo isilazimishe wote tuseme mbaya kisa tuu wewe umeona mbaya...kwangu mimi ni nzuri....na kaa ukijua sio kisa naisifia nyimbo ya wcb basi nipo timu wcb mimi napenda muziki bwana nyimbo ya seduce me sijaipenda ipo slow sana mimi napenda kudance zaidi hii kwangu ndo imenifikisha kwenyewe..
 
Sasa kwani amezuiliwa kuachia wimbo?

Na yeye kama vipi atoe wimbo mwingine hajakatazwa.

Hapa ni mwendo wa ngoma juu ya ngoma tu.

Halafu kama ulikuwa hujui Kiba anavizia siku akisikia Diamond anataka kuachia ngoma na yeye anatoa mapema ili mondi akitoa ionekane anataka kushindana na Kiba.


Mfano alijua fika Diamond anataka kuachia wimbo kwenye tarehe za hivi karibuni akaona awahi kutoa ili diamond akitoa ijulikane katoa kwa ajili ya kiba.
Kwa uliyoandika utakuwa umezaliwa miaka ya 2000
 
Asanteee WCB, Roho yangu sasa imekuwa nyeupe, baada kuchafuliwa na takataka fulani sijui wananiita kipusa, yoooooo wananiita heartbreaker, yoooooo wananiita mzee misifa, yoooooo wananiita mzee wa kugawa madinga, yoooooooo wananita pasua kichwa, sijui ni nani aliyemtungia huu wimbo mbovu kiasi hiki.

Siasa basi
 
Aibu kubwa sana kundi la watu zaidi ya kumi kushindana na mtu mmoja,hii inadhihirisha Kiba ni threat kwao kutwa nzima wameshinda wanawaza nini cha kufanya kweli zilipendwa..... [HASHTAG]#SeduceMe[/HASHTAG]
Note:atakayenitukana ajiandae kisaikolojia coz sitamnyamazia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoma seduce me bwana hiyo remix ya matonya zilipendwaga mtu mmoja kwa watu saba hii aibu ya mwaka
 
kila mtu na nafsi yake jinsi anavoisikia anavoifeel kwahiyo isilazimishe wote tuseme mbaya kisa tuu wewe umeona mbaya...kwangu mimi ni nzuri....na kaa ukijua sio kisa naisifia nyimbo ya wcb basi nipo timu wcb mimi napenda muziki bwana nyimbo ya seduce me sijaipenda ipo slow sana mimi napenda kudance zaidi hii kwangu ndo imenifikisha kwenyewe..
Mwanaume umeandika kwa kujishaua hvyo Mara napenda kudance

Kijana kuwa makini na maana mwanaume kushabikia watoboa pua ni ushoga

Alfu mbona unaandika hovyo hvyo unaandika aina gani ya Eassy?
 
Asanteee WCB, Roho yangu sasa imekuwa nyeupe, baada kuchafuliwa na takataka fulani sijui wananiita kipusa, yoooooo wananiita heartbreaker, yoooooo wananiita mzee misifa, yoooooo wananiita mzee wa kugawa madinga, yoooooooo wananita pasua kichwa, sijui ni nani aliyemtungia huu wimbo mbovu kiasi hiki.

Siasa basi
Hi ya kulalia
Dah watu Wachokozi.....
 
Back
Top Bottom