Vuu vuu badaye itapasuka nimeamua kumalizia mkuu[emoji4] [emoji4]Hivi Wale mameneja waliojazana pale wasafi hicho ndicho wanachomshauri Simba, au hashauriki. Mtu kashatoa nyimbo 4, Fire, miss you, Eneka, na fresh remix. Ambazo nyingi bado zinafanya vizuri kitaa na sehemu mbalimbali. Ali kiba katoa nyimbo moja tu tayari wcb nao wametoa sijui zilipendwa. Hiyo maana yake Nini? Au managers wamefeli kumsimamia huyu kijana. Note Siko upande wowote ila muwe Fair sio kila siku unataka kusikika wewe tu. Ila pia wahenga walisema ngoma ikivuma sana ......
Sent using Jamii Forums mobile app
- Shetta katoa ngomaHivi Wale mameneja waliojazana pale wasafi hicho ndicho wanachomshauri Simba, au hashauriki. Mtu kashatoa nyimbo 4, Fire, miss you, Eneka, na fresh remix. Ambazo nyingi bado zinafanya vizuri kitaa na sehemu mbalimbali. Ali kiba katoa nyimbo moja tu tayari wcb nao wametoa sijui zilipendwa. Hiyo maana yake Nini? Au managers wamefeli kumsimamia huyu kijana. Note Siko upande wowote ila muwe Fair sio kila siku unataka kusikika wewe tu. Ila pia wahenga walisema ngoma ikivuma sana ......
Sent using Jamii Forums mobile app
ZilipendwaMmezoea kupumuliwa hadi vibibi vyenu vinapumuliwa na Dimpozi inaonesha mbele hamwendi mnaenda nyuma tu.
Uwe makini imesimama tayari kalio lako liwe makini.
Alishaimba matonyaSijutii kuwa TEAM WCB 300 yangu inaenda kihalali
[emoji445][emoji445][emoji445] diamond na wema zilipendwa[emoji445]
[emoji444]nywele za kichina zilipendwa[emoji445]
[emoji445]sikinde msondo zilipendwa [emoji445]
[emoji445]iddy amini dada zilipendwa[emoji445]
Shikamoo mond [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli bongo kuwekwe tuzo za wachukiaji, maana kuna watu wana vipaji.Aisee..!
Hayo mashairi ya kwenye seduce me ni kama kaimba mtoto mdogo..!
MTU anakaa kimya mwaka mzima alafu anakuja kutunga utumbo kama ule..!
Nasema hivi,huu wimbo wa Ali Kiba ni wimbo mbayaaaa haijapata kutokea..!
Wimbo wa mawigi?? [emoji23][emoji23][emoji23] [HASHTAG]#POVU[/HASHTAG] ushasahau yule ni malkia wa nguvu??Masikio ta watanzania wengi yamezoea kelele za siasa hili limewafanya wengi kuwa na ugonjwa wa kutosikia vyema, sasa huyo wimbo wa mawigi utaufananisha vipi na Huu ambao hata Supersport wanaweza kuutumia.
Ukisema kiba hajui umedanganya kwa kiwango cha lami
Ivi kuna limit ya idadi ya watu kuimba kwenye nyimbo moja!? Au mi ndio Sielewi....Kwa hiyo ndio mkaamua muungane watu 7 kumshambulia mtu mmoja?!