Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

kwa maana hiyo unakubaliana na mm wamekosa ubunifu
Ungeuliza pia na zile nyimbo zooooote za malaika..
Then uka compare na hii ya wcb..
Usianzishe tu uzi kwa chuki zako binafsi .. by the way hakuna jipya kwa sasa..
 
Bonge ya nyimbo. Kipusa tulia
[HASHTAG]#zilipendwa[/HASHTAG]
 
Ni fireeeee
[HASHTAG]#zilipendwa[/HASHTAG]
 
Diamond Platnumz, Rayvanny, Harmonize,Mbosso, Lavalava, Queen Darleen, R.mavoko
Wamepasua au Wamezingua?.



Yaani hapa nilipo nashindwa kuelewa watu wanapendea nini bongo fleva......mziki bongo upo ila bongo fleva ndiyo imekuja kuua muziki. Very useless.
 
Hivi unaijua karne wewe.
Nyie watoto wadogo hebu acheni mihemko ya kipumbavu.
 
Alikiba-Seduce ME

Matonya-zilipendwa.(Origina)
wcb-watu 7-zilipendwa.(copy). by the way Seduce ni international na hizo ni nymbo za zilipendwa. Mashairi yameisha. Na hii nymb yao wamekurupuka, hawakupanga kuitoa muda huu.
Aisee..!
Hayo mashairi ya kwenye seduce me ni kama kaimba mtoto mdogo..!
MTU anakaa kimya mwaka mzima alafu anakuja kutunga utumbo kama ule..!
Nasema hivi,huu wimbo wa Ali Kiba ni wimbo mbayaaaa haijapata kutokea..!
 
Wcb wameonyesha rangi yao ambayo wamejitahidi kuificha kwa kipindi kirefu yaani siamini kama kundi zima linashindana na mtu mmoja nia aibu.Na hii nyimbo yao ita prove failure yao

great thinker
Ahahaaaah...
Watu bhana...!
Hivi mnafikiria kwa kutumia kitu gani..!?
Yaani watu wasitoe nyimbo kwasababu Ali Kiba ametoa wimbo..!?
Kila MTU apambane na hali yake aisee.!
 
Life span ya song la Ali ni 8 hours basi daaah simba vibaya hivyo halafu nasikia anatoa nyingine Nigeria
 
Ali Kiba ametoa nyimbo chini ya kiwango...ila najua kura za huruma za anti-wcb haters zitambeba!
Halafu Diamonda angejua...dah!
Nyota za Diamond inambeba Kiba na Diamond kupaniki kwake mpaka kukurupuka kutoa Zilipendwa kunambeba zaidi Kiba na kwa mlango wa nyuma kumjengea Kiba mazingira ya kuonekana ndiye anayelidrive gemu la Bongo...wakati ni kinyume chake!
Diamond ajitambue kuwa yeye ndiye king wa Bongofleva na aache kumpa kiki za bure Kiba...!
Kutokujiamini kwa Dai kunamkosti sana kwani kunamjenga Kiba bure bila hata ya Kiba kutumia nguvu...!
Siyo kama Kiba hajui kuimba..la hasha!
Ila hana fanbase,marketbase na endorsement ya kumzidi Chibu!
Diamond apunguze dharau,kwa fans wake ambao ndiyo wanapelekea kuongeza kura za huruma,kwa Kiba!
TO BE HONEST KIBA ANAPATA 50% YA KURA ZAKE KWA SABABU YA UKONGWE WAKE KWENYE GEMU...ILA 50% ZILIZOBAKI NI KURA ZA HURUMA KUTOJA KWA WALIOCHOSHWA NA MONOPOLY YA WCB YA,MUZIKI WA BONGO FLEVA NA WALE WANAOCHUKIA MAFANIKIO BINAFSI YA WANA WCB...!
 
Aisee..!
Hayo mashairi ya kwenye seduce me ni kama kaimba mtoto mdogo..!
MTU anakaa kimya mwaka mzima alafu anakuja kutunga utumbo kama ule..!
Nasema hivi,huu wimbo wa Ali Kiba ni wimbo mbayaaaa haijapata kutokea..!


Ukisoma vizuri maneno yako inaonesha akili yako ilikuwa inatetemeka muda unaandika, na sio vidole.
 
Back
Top Bottom