mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 46,394
- 57,252
Acha niwaache wenye timu zao.nilishawahi tukanwa huko insta kisha kumkosoa msanii wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko bias sana mkuu Pro wcb hivi kati ya timu ya wcb na alikiba nani anaanzisha chokochoko.Kama alikiba anamtegemea Diamond ili afanye vzr nadhani wakati Mondi anatoa nyimbo 4 na vijana wake kuachia nyimbo zaidi ya 10 ulisikia alikiba hata akisema neno.Je vipi alikiba alipoanza kupost captain ya nyimbo mpya Mondi alivumilia?Yeye alianza kutoa vijembe na madongo kwa alikiba alafu wewe unasema alikiba anamtegemea Mondi.Mziki umeanza kufuatilia mwaka gani labda au kipindi Mondi anatoka.Alikiba katoa wimbo nao haijapita hata siku wametowa nyimbo tena kundi zima alafu wewe unasema alikiba anategemea upepo wa Mondi,kwa hali nani anamtegemea mwenzake.Kama ungekuwa moja ya member wa wcb basi ungejuwa wanavyomwogopa jamaaa.Hivi Diamond na vijana wake wametowa jumla ya nyimbo kwa mwaka huu na alikiba katoa ngapi vileAli Kiba ametoa nyimbo chini ya kiwango...ila najua kura za huruma za anti-wcb haters zitambeba!
Halafu Diamonda angejua...dah!
Nyota za Diamond inambeba Kiba na Diamond kupaniki kwake mpaka kukurupuka kutoa Zilipendwa kunambeba zaidi Kiba na kwa mlango wa nyuma kumjengea Kiba mazingira ya kuonekana ndiye anayelidrive gemu la Bongo...wakati ni kinyume chake!
Diamond ajitambue kuwa yeye ndiye king wa Bongofleva na aache kumpa kiki za bure Kiba...!
Kutokujiamini kwa Dai kunamkosti sana kwani kunamjenga Kiba bure bila hata ya Kiba kutumia nguvu...!
Siyo kama Kiba hajui kuimba..la hasha!
Ila hana fanbase,marketbase na endorsement ya kumzidi Chibu!
Diamond apunguze dharau,kwa fans wake ambao ndiyo wanapelekea kuongeza kura za huruma,kwa Kiba!
TO BE HONEST KIBA ANAPATA 50% YA KURA ZAKE KWA SABABU YA UKONGWE WAKE KWENYE GEMU...ILA 50% ZILIZOBAKI NI KURA ZA HURUMA KUTOJA KWA WALIOCHOSHWA NA MONOPOLY YA WCB YA,MUZIKI WA BONGO FLEVA NA WALE WANAOCHUKIA MAFANIKIO BINAFSI YA WANA WCB...!
tuingie tukanunue nini? umechanganyikiwaTukiwa tunasubiri ujio wa ngoma ya Diamond Platnumz na Patoranking itakayo tolewa rasmi wiki ijayo, WCB leo wameangusha ngoma mpya kali saaaaaaaaaaaaaana ijulikanayo kama Zilipendwa.
Humu wapo wasanii wote wa WCB kuanzia Mondi, Mavoko, Rayvan, Harmonize na mwanadada queen darlin
Kwa uhondo zaidi ingia wasafi dotcom uweze kujinunulia wimbo wako kwa sh mia tatu tu,za kitanzania.
wanavyomuogopa unajua?WCB bana kiba akiachia ngoma lazima na wao waachie sijui ndio nini
kwa kweli ALI NI PASUA KICHWA....akitoa nyimbo nyingine usishangae akawachukua had watoto wa marehemu semwenga waimbe ili apambane na king.Wanapambana Na Kiba, Kweli Ali Mtu Mbaya Pasua Kichwa Heart Breaker Kipusa
huwaga hawaz Mara mbili mboga na kamtaja tena dimpoz kwamba tupogo zilipendwa.Kumuimba Kanumba na Ivan sidhani kama ni sawa
Tukana uwezavyo ukweli utabaki kuwa huo we simba jike a.K.a kipusa cha simba dumeWe **** ya nyuma nitolee shobo kila mtu na mawazo yake na ndio maana sijaqoute comment ya mtu coz sitaki shobo
Sent using Jamii Forums mobile app
bifu ya kuchangia watu 7 kwa mtu mmoja nazo ZILIPENDWA.watu 7 kushindana na mtu 1 ni ujinga wa kiwango cha lami
jimbo baya
kiba wanyooshe
haijawah kutokea na haipo.Team Kiba mtaacha kua busy na nyimbo yenu mtaanza kuhangaika na WCB....
Sent using Jamii Forums mobile app
watu gan bro? kama hiyo avatar ndo ww na unachoandika bro mhhhh bora uweke picha ya majani ya mpunga.hiyo seduce mbona watu wameshaichoka hata wiki haijamaliza.
nyimbo elfu tatu za kubembelezea watoto walale au?kwa mtazamo wako labda.
Diamond ana nyimbo karibia elfu tatu zipo tayari muda wowote akijiskia kuachia wimbo anaachia tu.
akaanza kumkosesha raha domo malizia ukweli basiiikazi yao ni matusi na kufosi muimba taarabu arudi juu.Hakuna njia ya mkato kupata mafanikio.Apambane kiume na sio kutumia jina la mwenzie kurudi juu.
Huwezi fananisha almasi ilojaa tuzo kwa mzee wa kale aliekimbia game akarud tena
Hata wakiachia hawawezi kumfunika kamweWCB bana kiba akiachia ngoma lazima na wao waachie sijui ndio nini
Kwel mashabiki wa mond mmelaaniwa.. kwa hiyo kwaya (nyimbo zinazomsifu Muumba) n mbaya? Eeeh Mwenyezi Mungu tunaomba utusamehe sanaile nyimbo mbaya kama kwaya vile