Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 25,342
- 34,737
kwa mtazamo wako labda.Wameimba ujinga ujinga kwa kukurupuka kisa wamfunike ally
Diamond ana nyimbo karibia elfu tatu zipo tayari muda wowote akijiskia kuachia wimbo anaachia tu.
kwa mtazamo wako labda.Wameimba ujinga ujinga kwa kukurupuka kisa wamfunike ally
Wenye mapenzi yao na team zao
Nimekuelewa sana mkuuWenye mapenzi yao na team zao
Mkuu dimpozi ni mzima ni shemeji yangu wa zamani kwa shostee muache tu, siamini sababu ni team WCB ni lazima niwakashfu Wakina kiba noo....kibakuli na yule anaye pumuliwa Miss Dimpozi wana henya kwa sasa, kawimbo kao tumekaweka kapuni.
YAN WANATUMIA NGUVU KUUUBWA KUPANDISHA JUU.CLOUDS WALIMBEBA SANA KIPINDI KILE KARUDI KWENYE GAME ILA NAONA KWA SASA WAMEMBWAGA MAANA WANABEBA MTU ASIEJIELEWA...
Kabisa mkuu we angalia mapovu yao tu yatakavyowatoka
Unapumliwa na wanaume wenzako.Usipende kufatilia vidume utatiwa mimba chini uvimbe juuWewe unayejua mziki mzuri umefanya nini cha maana kama sio kubong'oa kidomo chako kama kipini cha tako.
pengine labda haujui mziki.
Kuna watu wana mahaba si mchezo hata aimbe kuku wakisikia tu anatoka WCB watasema kaimba vizuri.Wenye mapenzi yao na team zao
kazi yao ni matusi na kufosi muimba taarabu arudi juu.Hakuna njia ya mkato kupata mafanikio.Apambane kiume na sio kutumia jina la mwenzie kurudi juu.Wewe unayejua mziki mzuri umefanya nini cha maana kama sio kubong'oa kidomo chako kama kipini cha tako.
Unajua maana ya kipusa?Wananiiita kipusaaa [emoji445][emoji445]oooh mr misifaaa[emoji445][emoji449][emoji449][emoji449]
Sent using Jamii Forums mobile app
We una utani MkuuUshauri Kiba jiunge WCB la sivyo ndio unapotea hivyo....hawa jamaa sio watu wazuri kwako.....eidha achana nao salimu amri au ungana nao.
Akili za.kijinga sana hzUnapumliwa na wanaume wenzako.Usipende kufatilia vidume utatiwa mimba chini uvimbe juu
Sent using Jamii Forums mobile app