Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,854
Matakataka
Hzo ni mbinu zangu tu za kumfanya nae bishana nae apanikMkuu sio dhambi na sijatoa povu ila ulikokua unaelekea siko.
Wakati wewe unasema wanashindana na kiba wao wanatengeneza pesa. EndeleA kukumbatia ualikiba na udayamondiAibu kubwa sana kundi la watu zaidi ya kumi kushindana na mtu mmoja,hii inadhihirisha Kiba ni threat kwao kutwa nzima wameshinda wanawaza nini cha kufanya kweli zilipendwa..... [HASHTAG]#SeduceMe[/HASHTAG]
Note:atakayenitukana ajiandae kisaikolojia coz sitamnyamazia
Sent using Jamii Forums mobile app
Unayo Shida...Mwanaume umeandika kwa kujishaua hvyo Mara napenda kudance
Kijana kuwa makini na maana mwanaume kushabikia watoboa pua ni ushoga
Alfu mbona unaandika hovyo hvyo unaandika aina gani ya Eassy?
We **** ya nyuma nitolee shobo kila mtu na mawazo yake na ndio maana sijaqoute comment ya mtu coz sitaki shoboWakati wewe unasema wanashindana na kiba wao wanatengeneza pesa. EndeleA kukumbatia ualikiba na udayamondi
kwanza wewe hapa unafanya nini?Afya yako ya akili haiko sawa
Au na ww umetoboa pua?
Sijapenda uimbaji wao, ni ule ule. Wabadilike kidogoAise hii ngoma ni hatari sana maana ina ubunifu wa hari ya Juu sana.
Aise hii ngoma nimeicheki muda huu kwa TV ni moto wa kuotea mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekujibu SwaliHyo ni taarifa unatoa ?
Au umeniuliza swali?
Nakubali sijui muziki lakini if it was a hit song we wouldn't have this discussion
tusipangiane cha kupenda ndugu yangu,kila mtu na nafsi yake anavojisikia...wewe hata uniite shoga ilimradi sibadiliki endelea tuu kuniita......nisamehe kama essay yangu mbaya unaweza kunisahihisha ndugu yanguMwanaume umeandika kwa kujishaua hvyo Mara napenda kudance
Kijana kuwa makini na maana mwanaume kushabikia watoboa pua ni ushoga
Alfu mbona unaandika hovyo hvyo unaandika aina gani ya Eassy?
kiba hana mashabikiyaani ukiona watu wanaiongelea zaidi nyimbo ya wcb nakuacha nyimbo ya alikiba unaweza kuona jinsi gani wcb wanakiki zaidi..na hapa ndipo utagundua kumbe mashabiki wengi wa diamond ni wa alikiba viewers wengi wa diamond ni mashabiki wa alikiba....
Akili za kukalili hzokwanza wewe hapa unafanya nini?
Embu rudi ukajadiliane na watoto wenzako kuhusu mambo yenu ya mikopo na vyuo.