Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

Jamani jamani jamani..... Me nateseka tangu asubuhi sim yangu haipumziki AliKiba kwanini wanifanyia hivi mwenzio jamaniii chaaaaiii hii song ni [emoji91] [emoji91] nitaku seduce baba hakuna namna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mond Tatizo anatoa nyimbo mbovu ila huu wa kiba utafanya vizur kwenye audio na atauza Sana na atafanya vyema kwenye video
kuna nyimbo za nyumbani na za kimataifa hiyo ya WCB ni ya nyumbani Alikiba hajawahi tofautisha ipi ya nyumbani ipi ya kimataifa kuna nyimbo nyingine hazichezeki mbele zaidi ya hapahapa tuu nyumbani,muziki biashara bwana
 
Ni upuuzi mtupu.
Ni upupu kwa kwenda mbele.
Wasanii wa bongo flavour wameacha kuimba nyimbo nzuri na sasa wameishia kuimbana, kuchambana, kuigana, kutukanana, kufitiniana nk.

Nini mantiki ya wimbo huu wa Wasafi?
Lengo ni kumjibu Ali Kiba?
 
Usiombe undugu na mm sinaga undugu na watu wa ajabu kama we

Sijakupangia cha kupenda ila punguza kihere here na mahaba ya kijinga

heheheheheh mimi shabiki wa muziki bwana nina mahaba na muziki ilimradi roho na nafsi yangu inaridhika wewe sema utakavyo tuu mkuu.....
kupangiana kitu cha kuhabatika nacho nayo ni [HASHTAG]#zilipendwa[/HASHTAG] kukataa undugu na matanzania mwenzako nayo ni [HASHTAG]#zilipendwa[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom