Oya huwezi kuongea bila kutumia lugha ya matusi au ulizaliwa guest ?Unaongea kwa huruma kama vile umeguswa Kism.
Mmeambukizwa midomo mikubwa na huyo chai jaba wenu siwezi kushangaa hata maandiko yako yanavyoropoka hapa jukwaani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzaramo umeuaKundi la watu 7 wanapoungana na kumshambulia mtu mmoja na kupigwa vibaya.....
Wimbo mbovu kama kwaya...Mwanzo nilidhani ni wimbo mpya wa Bony Mwaitege....
melody na beat ni kama Zezeta.
hawana akili hawa.Team Kiba mtaacha kua busy na nyimbo yenu mtaanza kuhangaika na WCB....
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kushikwa bila kutekenyeka au ulizaliwa kwa kutekenywa.?Oya huwezi kuongea bila kutumia lugha ya matusi au ulizaliwa guest ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umu ndani Nahisi Akukuhusu...
Kinachoshangaza sasa iyo nyimbo moja itakaa mwaka huku upande wa pili kuna albamu kabisawatu 7 kushindana na mtu 1 ni ujinga wa kiwango cha lami
jimbo baya
kiba wanyooshe
Hao dada zako wapo ki mipasho zaidi
Kaimbe taarab na ndugu zako watoto mchele mcheleHuwezi kushikwa bila kutekenyeka au ulizaliwa kwa kutekenywa.?
Kwahiyo mmeiba nyimbo ya matonyaHivi kumbe kuna nyimbo ya matonya inaitwa zilipendwa? Mweee [emoji3][emoji3][emoji3] ushabiki huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hua naona mamanguKabisa mkuu we angalia mapovu yao tu yatakavyowatoka