Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Hatudharau mitandao ya kijamii ila kwa Tanzania hapa sehem ambayo inamanufaa kidogo na inaweza kuwajenga watu ni jf pekee..
Ukizungumzia instagram huko ni umbea na ujingaujinga tu hivi kama mange kimambi ni lini aliwahi kuongea point zaidi ya umbea Wa kike?
Mamnge anahoja gani ya kuweza kubadili mind za watu?

We nawe ndo bureeeee kabisa, hivi watanzania wanaangalia hoja kweli kumchagua kiongozi au ushabiki wa vyama tu ? Mange anaelezea yale mabaya ya serikali tu na kuamsha hasira za watu dhidi ya serikali kitu ambacho upara kawakataza wapinzani na kuwafunga kuongea ....
 
Hata arushe na picha za uchi kuwa-campaign wapinzani ccm haiwezi kuondoka madarakani...ccm wanacheza na tume ya uchaguzi hawaangalii wingi wa karatasi za wapiga kura.mabadiliko ya katiba ndiyo yatakayoitoa ccm madarakani sio kingine.

sent from my Infinix S2 Pro using JamiiForums mobile app
 
Mtu mmoja anaweza kuangalia video youtube zaidi ya mara moja, kupiga kura ya uchaguzi mtu anapiga mara moja kuchagua mgombea mmoja. Waliorusha video kujifunza mwimbo wengi wameuangalia mara hata 1000 au zaidi..

Uongozi wa JPM ni habari nyingine... Magufuli 2020
Usisahau pia kuangalia namba ya walioangalia hizo videos ikiwa na waliorudia rudia wakiwemo.. nimechungulia baadhi naona average ni kama 21k eeh. Kuna za elfu kumi na pia.. sasa hao followers zaidi ya millioni kwanini hapati angalau views hata 500k... eeeeh na wale walipiga kampeni waangalie kideo mchana usiku kwa kurudia.. eeeh na mitaani haisikiki.. sasa uoni umepotea ha ha haa
Mngeshangilia kwamba Kiba angalau anapata pesa zaidi kwa masaa mafupi.. yaani mmemsaidia kama kampeni ya msaada wa kuingiza pesa.. uchaguzi ni habari ingine kabisaaa
lete lingine.. naishia hapo mengine nikiandika mtadakua ha ha haaa
Usisahau pia kuwa Mange bila kumuongelea RC Makonda anabuma.. ndio maan lazima amrushe kwani ndie alimpatia followers wengi kwasababu wanapenda kupata habari za kiongozi jembe.. ingawa bibie anazipindishaga... eeeeh.. nimechoka kuandika sitamalizaaaa..

Usisahau Mange anafuta comments zisizoendana na anayotaka yasomwe kumpa kiki kuwa posts zake zinakubalika anapopingwa.. na pia kujiumia ujumbe na kuuchambua akitaka kujipaisha..

Makonda oyeeeeee
Dada una akili mzito Sana na kama kitu aukijui nymaza usijiaibishe.... Wewe ukitumia simu yako hata uingie kuuchek wimbo Mara 100 inacount 1 Imelewa Wewe unayo IP adress yako ni uniqe...... Akili za kibashite cocochal
 
Sikuamini wimbo wa Ali Kiba kuweza fikisha views million mbili ndani ya masaa 70. This is hilarious kwakweli!

Lakini inabidi tuelewe kuwa hizi views zimeboostiwa na huyu Malkia wa mtandao wa kijamii, Mange Kimambi.

Campaign aliyoifanya sio ya kawaida. Naimani bila yeye angeishia kupata views wasiozidi 1m ndani ya masaa 70.

Kitu nilichogundua ni kuwa huyu dada si wa kumpuuza. Watu wengi wanamfatilia na kucheza ngoma anayowapigia.

Hii kampain aliyomfanyia Kiba ikitokea 2020 akawafanyia wapinzani, CCM tutapotezana.

Ushauri. Everybody has his price. CCM Fanyeni usajiri mapema. Mange si wa kupuuza. 2020 atakuwa na followers zaidi ya 3m.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.

Kura hazipigwi mitandaoni
 
Mtu mmoja anaweza kuangalia video youtube zaidi ya mara moja, kupiga kura ya uchaguzi mtu anapiga mara moja kuchagua mgombea mmoja. Waliorusha video kujifunza mwimbo wengi wameuangalia mara hata 1000 au zaidi..

Uongozi wa JPM ni habari nyingine... Magufuli 2020
Usisahau pia kuangalia namba ya walioangalia hizo videos ikiwa na waliorudia rudia wakiwemo.. nimechungulia baadhi naona average ni kama 21k eeh. Kuna za elfu kumi na pia.. sasa hao followers zaidi ya millioni kwanini hapati angalau views hata 500k... eeeeh na wale walipiga kampeni waangalie kideo mchana usiku kwa kurudia.. eeeh na mitaani haisikiki.. sasa uoni umepotea ha ha haa
Mngeshangilia kwamba Kiba angalau anapata pesa zaidi kwa masaa mafupi.. yaani mmemsaidia kama kampeni ya msaada wa kuingiza pesa.. uchaguzi ni habari ingine kabisaaa
lete lingine.. naishia hapo mengine nikiandika mtadakua ha ha haaa
Usisahau pia kuwa Mange bila kumuongelea RC Makonda anabuma.. ndio maan lazima amrushe kwani ndie alimpatia followers wengi kwasababu wanapenda kupata habari za kiongozi jembe.. ingawa bibie anazipindishaga... eeeeh.. nimechoka kuandika sitamalizaaaa..

Usisahau Mange anafuta comments zisizoendana na anayotaka yasomwe kumpa kiki kuwa posts zake zinakubalika anapopingwa.. na pia kujiumia ujumbe na kuuchambua akitaka kujipaisha..

Makonda oyeeeeee
kifupi sema simpendi kiba ila kumoyo inkuuma
 
Hajielewi uyu kilaza....eti mange anafuta comments za wanaomcrash...hv unafutaje comment ya mtu insta ispokuwa yy aliyepost ndo mwenye access ya kufuta...hawa jamaa akili zao sjui zkoje
Nimegundua kuwa huyu ni limbukeni wa mitandao. Kaanza kutumia hii mitandao mwaka jana.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
 
Mtu mmoja anaweza kuangalia video youtube zaidi ya mara moja, kupiga kura ya uchaguzi mtu anapiga mara moja kuchagua mgombea mmoja. Waliorusha video kujifunza mwimbo wengi wameuangalia mara hata 1000 au zaidi..

Uongozi wa JPM ni habari nyingine... Magufuli 2020
Usisahau pia kuangalia namba ya walioangalia hizo videos ikiwa na waliorudia rudia wakiwemo.. nimechungulia baadhi naona average ni kama 21k eeh. Kuna za elfu kumi na pia.. sasa hao followers zaidi ya millioni kwanini hapati angalau views hata 500k... eeeeh na wale walipiga kampeni waangalie kideo mchana usiku kwa kurudia.. eeeh na mitaani haisikiki.. sasa uoni umepotea ha ha haa
Mngeshangilia kwamba Kiba angalau anapata pesa zaidi kwa masaa mafupi.. yaani mmemsaidia kama kampeni ya msaada wa kuingiza pesa.. uchaguzi ni habari ingine kabisaaa
lete lingine.. naishia hapo mengine nikiandika mtadakua ha ha haaa
Usisahau pia kuwa Mange bila kumuongelea RC Makonda anabuma.. ndio maan lazima amrushe kwani ndie alimpatia followers wengi kwasababu wanapenda kupata habari za kiongozi jembe.. ingawa bibie anazipindishaga... eeeeh.. nimechoka kuandika sitamalizaaaa..

Usisahau Mange anafuta comments zisizoendana na anayotaka yasomwe kumpa kiki kuwa posts zake zinakubalika anapopingwa.. na pia kujiumia ujumbe na kuuchambua akitaka kujipaisha..

Makonda oyeeeeee
mwenye unajiona umeandika point ya "mahaaaana". smh.
 
Sorry wakuu, naomba kueleweshwa,
Hizi Views zinamsaidia nini Ally Kiba??
Hao Youtube wanamlipa vipi Ally Kiba based on these views??
 
Wewe ata kesho yako unajua kama utakua mzima???....iweje uzungumzie 2020 kwan uyo Mange kaingia mkataba na Mungu atakuepo....mambo mengine ni beyond our reach tumuachie Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry wakuu, naomba kueleweshwa,
Hizi Views zinamsaidia nini Ally Kiba??
Hao Youtube wanamlipa vipi Ally Kiba based on these views??
Ebana eehh.usituchoshe. fanya kugoogle.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
 
Back
Top Bottom