Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Pia usisahau kuwa waangaliaji wa video hizi wengi ni mahausigelo na vijana wadogo wa shule na wengi ni wale ambao wala hawana umri wa kupiga kura na wenye huo umri wala hawajui kura nini? watu ambao wanashinda siku nzima kuangalia music video na headphone masikioni wakisikiliza muziki, wasiojua hata dunia inakwenda wapi kwenye siasa. Asilimia tisini ya washabiki wa aina hii hawana thani katika mchango wa uongozi wala siasa za nchi.
Kufika 2020 watakuwa wamefikisha 18+

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
 
Kufika 2020 watakuwa wamefikisha 18+

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
Labda kiba na diamond wagombee urais ndo hao watoto na mahausigelo watakuelewa, Zaidi ya hapo hakuna kitu. Asilimia 80 ya kura za Watanzania zinatoka kwa watu ambao wala hawanahabari na kiba wala diamond, wala hawamjui Mange ni nani, kwanza ukiwaletea habari za mange wanaweza wakajua ni Mangi mwenye duka la mikate mtaa wa tatu. Au mangi muuza mafuta taa. Au manka mkaanga miguu ya kuku.
 
Labda kiba na diamond wagombee urais ndo hao watoto na mahausigelo watakuelewa, Zaidi ya hapo hakuna kitu. Asilimia 80 ya kura za Watanzania zinatoka kwa watu ambao wala hawanahabari na kiba wala diamond, wala hawamjui Mange ni nani, kwanza ukiwaletea habari za mange wanaweza wakajua ni Mangi mwenye duka la mikate mtaa wa tatu. Au mangi muuza mafuta taa. Au manka mkaanga miguu ya kuku.
Muongo, wewe humjui mange nani
 
Ao watoto wa vyuo ndyo wapiga kura wa kesho. Ao ambao hawajui mambo ya mtandao ndyo wale twaweza walisema hawana elimu ( ni mazuzu) ndyo waliobaki kushabikia CCM.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
Mimi ni msomi na ninajitambua sana tu sipelekeshwi na mtu yoyote awe Tundu au chadomo yoyote!!
 
Muongo, wewe humjui mange nani
Sawa mimi Muongo wewe mkweli, wewe unamjua Mange mimi simjui, wewe unawajua watanzania mimi siwajui. Wewe endelea kufananisha siasa na hayo mambo yenu ya team za kitoto. na logoff
 
Alikua ana share 1% (LoL) wamemtia hasara jamaa wakati wanaanzisha na TV kwa Dar na Radio Morogoro (Ipo na inafanya kazi jengo la Nssf) Mosha akawa anataka kuona mambo yakisonga siku hadi siku akawachukua washkaj flani hivi akawaweka kama wakurugenzi (Jina kapuni ni wana sana) na huyo bwn Le bilionea akawa kama "Ceremonial figure" ..jamaa kuja kutahamaki Mil.400/= wamelamba halaf mambo hayasongi...akaona isiwe kesi...fukuza wote! kwahiyo le bilionea akawa hana ujanja na alisha jisifu ana tv ndio kuja na online kama kuzuga kuondoa nishai! utafute uzi wa MSAGA SUMU uone vifaa vya studio ya kisasa! kuna vifaa vya kukalia maarufu kama kiti! haha nafwaaa!!

- Ni kawaida ya Masikini kutabiri tabiri ujinga kulingana na njaa walizonazo, SIJAFUKUWA POPOTE mpaka nipo Africa Swahili Media Inc. na nafasi yangu ni ile na ninahusika na kazi zinazonihusu kule kama Mkurugenzi kama kawaida. Kuhusika kule hakunizuii kufanya mambo yangu ndio maana hata Mosha kila wakati anakuwepo hapa Studio zangu mpya cause hatuna ugomvi wala tatizo na kuna kazi nyingi zitafanykia hapa na kutumika kule Africa Swahili,

- Poleni sana masikini wenzangu piganeni na hali zenu cause mimi napigana na yangu na haya ndio matokeo, mmeitukana Studio yangu sasa mmebadilika tena na majungu mapya hahahahahahahahha duh!
21150377_809363425912724_8727585862642872888_n.jpg

- I mean tumia akili kidogo Mosha kanifukuza halafu majuzi nikampeleka RC hapo hapo nilipofukuzwa kama mbwa does it make any sense kwa uliyeandika huu upuuzi? Mume mnatafiiti kidogo kabla ya kuandika ujinga ujinga!

le Mutuz
 
Du W. J. Malecela si anashare African Swahili? Hiyo taarifa kama ina ukweli flani hivi,sijajua kwanini Le Mutuz wakianzisha kitu na wenzake baada ya mda anajitoa (mgogoro au kaona fursa zaidi) na yeye anaenda kuanzisha kama hicho, rejea walivyoanzisha JF na Sasa Africa TV/Radio, Kwasasa yupo mbioni kuanzisha na yeye redio yake! Kuna kitu hapa ebu jazia nyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
upload_2017-8-29_13-2-41.jpeg


- Hiyo ni last week nilimpeleka RC kutembelea kituo chetu cha Africa Swahili, so poleni sana na maneno maneno mengi ya ujinga ujinga na majungu, hahahahahahahahah U know

le Mutuz
 
Pia usisahau kuwa waangaliaji wa video hizi wengi ni mahausigelo na vijana wadogo wa shule na wengi ni wale ambao wala hawana umri wa kupiga kura na wenye huo umri wala hawajui kura nini? watu ambao wanashinda siku nzima kuangalia music video na headphone masikioni wakisikiliza muziki, wasiojua hata dunia inakwenda wapi kwenye siasa. Asilimia tisini ya washabiki wa aina hii hawana thani katika mchango wa uongozi wala siasa za nchi.
Kumbe na ww Elimu yako haijakukomboa
 


HIVI NDIVYO warembo wanavyomsapoti Alikiba, kweli mahaba niueeeeee...​
 
Hivi nyie mashabiki wa kibakuli mnaelewa maana ya seduce me au mnaongea tu... Achani ufala nyie manyangau utakuta dume zima zipo seduce me...asalaleee. kwa hyo nani unataka akuseduce..hafu msiniletee ujinga huu.
NB: Hatanipigwe ban sijali

Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzako ushoga huwa wanaanza ivi ivi
 
Back
Top Bottom