Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,576
- 12,371
King Kiba An-atrend Tanzania na Kenya 2 millions views in 3 days
Yooooooooooo
Yooooooooooo
Umenifanya nimecheka mpaka watu wananishangaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Habari za huko Madale WCB wanasema King kawaibia nyimbo [emoji3][emoji3][emoji3]
Hili povu unalomwaga hapa bila faida sabuni ni yako au umeazima kwa jiraniHuo naona ni ushabiki tu... tuwe real,tuache chuki dhidi ya Diamond,anamuacha mbali sana Ali Kiba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safari hii BROO amearibu video yake,nyimbo nzuri. Mashabiki mpeni ukweli ili safari ijayo afanye kitu kizuri zaidi kitingishe TZ.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15] [emoji15] [emoji15] whaaat?!!!…
SawaaSafari hii BROO amearibu video yake,nyimbo nzuri. Mashabiki mpeni ukweli ili safari ijayo afanye kitu kizuri zaidi kitingishe TZ.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Wapiiiii mshachelewa[emoji23][emoji23]... nenda kaangalie zilipendwa uwongeze viewers [emoji12]
Usipenda kuandika kitu usichokijua. Youtube views zinahesabiwa per device not persons.Mtu mmoja anaweza kuangalia video youtube zaidi ya mara moja, kupiga kura ya uchaguzi mtu anapiga mara moja kuchagua mgombea mmoja. Waliorusha video kujifunza mwimbo wengi wameuangalia mara hata 1000 au zaidi..
Uongozi wa JPM ni habari nyingine... Magufuli 2020
Usisahau pia kuangalia namba ya walioangalia hizo videos ikiwa na waliorudia rudia wakiwemo.. nimechungulia baadhi naona average ni kama 21k eeh. Kuna za elfu kumi na pia.. sasa hao followers zaidi ya millioni kwanini hapati angalau views hata 500k... eeeeh na wale walipiga kampeni waangalie kideo mchana usiku kwa kurudia.. eeeh na mitaani haisikiki.. sasa uoni umepotea ha ha haa
Mngeshangilia kwamba Kiba angalau anapata pesa zaidi kwa masaa mafupi.. yaani mmemsaidia kama kampeni ya msaada wa kuingiza pesa.. uchaguzi ni habari ingine kabisaaa
lete lingine.. naishia hapo mengine nikiandika mtadakua ha ha haaa
Usisahau pia kuwa Mange bila kumuongelea RC Makonda anabuma.. ndio maan lazima amrushe kwani ndie alimpatia followers wengi kwasababu wanapenda kupata habari za kiongozi jembe.. ingawa bibie anazipindishaga... eeeeh.. nimechoka kuandika sitamalizaaaa..
Usisahau Mange anafuta comments zisizoendana na anayotaka yasomwe kumpa kiki kuwa posts zake zinakubalika anapopingwa.. na pia kujiumia ujumbe na kuuchambua akitaka kujipaisha..
Makonda oyeeeeee
Usipenda kuandika kitu usichokijua. Youtube views zinahesabiwa per device not persons.
[emoji124]♂️naenda zimbobo.
Mimi sitegemei katika nchi zetu hizi Rais au chama kilichopo madarakani kushindwa kirahisi. Kweli zipo vyama vilivyopigania uhuru wa nchi zao havipo madarakani lkn hapa kwetu naona bado tupo mbali sana. Sioni ni kwa vipi mteule wangu atasema nimeshindwa labda siku hiyo itakuwa maajabu ya dunia. Natamani siku moja tufikie hata robo ya Kenya. Leo mahakama ya kupinga matokeo iko live n vyama vimeruhusiwa kuangalia server ya IEBC kuhakiki kura.Mtu mmoja anaweza kuangalia video youtube zaidi ya mara moja, kupiga kura ya uchaguzi mtu anapiga mara moja kuchagua mgombea mmoja. Waliorusha video kujifunza mwimbo wengi wameuangalia mara hata 1000 au zaidi..
Uongozi wa JPM ni habari nyingine... Magufuli 2020
Usisahau pia kuangalia namba ya walioangalia hizo videos ikiwa na waliorudia rudia wakiwemo.. nimechungulia baadhi naona average ni kama 21k eeh. Kuna za elfu kumi na pia.. sasa hao followers zaidi ya millioni kwanini hapati angalau views hata 500k... eeeeh na wale walipiga kampeni waangalie kideo mchana usiku kwa kurudia.. eeeh na mitaani haisikiki.. sasa uoni umepotea ha ha haa
Mngeshangilia kwamba Kiba angalau anapata pesa zaidi kwa masaa mafupi.. yaani mmemsaidia kama kampeni ya msaada wa kuingiza pesa.. uchaguzi ni habari ingine kabisaaa
lete lingine.. naishia hapo mengine nikiandika mtadakua ha ha haaa
Usisahau pia kuwa Mange bila kumuongelea RC Makonda anabuma.. ndio maan lazima amrushe kwani ndie alimpatia followers wengi kwasababu wanapenda kupata habari za kiongozi jembe.. ingawa bibie anazipindishaga... eeeeh.. nimechoka kuandika sitamalizaaaa..
Usisahau Mange anafuta comments zisizoendana na anayotaka yasomwe kumpa kiki kuwa posts zake zinakubalika anapopingwa.. na pia kujiumia ujumbe na kuuchambua akitaka kujipaisha..
Makonda oyeeeeee