Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Usipenda kuandika kitu usichokijua. Youtube views zinahesabiwa per device not persons.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
Wewe kwa akili yako unadhani wakulima zaidi ya milioni 20 wapiga kura waafahamu kama Mange Kimambi ni nani na wala hata hawajui kwamba kuna sisi wajinga member wa JF kutwa tunalumbana kijinga ktk social media
 
Wewe kwa akili yako unadhani wakulima zaidi ya milioni 20 wapiga kura waafahamu kama Mange Kimambi ni nani na wala hata hawajui kwamba kuna sisi wajinga member wa JF kutwa tunalumbana kijinga ktk social media
Yani werwe ni mfano wa ile mizee mi senior bachelor yenye vitambi vikubwa akili ndogo kama kucha ya le mutuz..tangu lini wapiga kura wakafika mil20? mzee sukari yako inapanda vibaya sana! hapo umezaliwa tu 1970..nonsense!
 
Nikiwa kama miongoni mwa watu wanaofuatilia mziki wa kizazi kipya nimeona itakuwa sio mzuka kutotia tia neno katika wimbo ambao ni homa ya majiji makubwa yote duniani wanaojua mziki mzuri..kwa tafiti yangu ya siku chache nimegundua wimbo huu wa Ally una maajabu kumi kama ifuatavyo:-

1.Kautoa bila interview wala kuipeleka redioni lakini ndani ya dakika chache maDJ wote wa redio wanayo

2.Imegonga view million ndani ya masaa 38

3.Kafunika pengo la NEYO katika verse ya mwisho kwa verse kali inayofanya ajisifie NEYO kutakuwepo kwani angemharibia wimbo

4.Ni wimbo uliosababisha mpinzani wake kimziki apanic na kutoa wimbo si wimbo comedy si comedy akiwa na mawigi usiku wa manane...for the first time ukiona huo wimbo unaweza ukajua Eric Omond katoa kichekesho kumbe ni wimbo

5.wimbo huu umefanya kipigo cha arsenal,draw ya yanga na ushindi mnono wa Simba S.C isiwe habari ya kuzungumziwa kwa wanamichezo

6.Wimbo huu umefanya tukio la mlipuko ofisi za IMMA ADVOCATES iwe ni habari ya kawaida wakati ni tukio kubwa

7.Imeunganisha maadui wengi katika mitandao ya kijamii

8.imezima story za hamisa mobeto kuzalishwa na Nasib

9.huu wimbo imefanya WCB waingie jikoni kutengeneza booster iizime (soon mtasikia diamond kamuoa zari au diamond kamkubali mtoto aliyezaa na hamisa mobeto)...

10.huu wimbo umefanya niikumbuke password yangu ya kuingilia humu JAMII FORUMS


11. Huu wimbo umeifanya wiki nzima kuwa weekend

12. Huu wimbo umezifanya cmu nyingi zipige muziki

13. Huu wimbo umepelekea watu wengi wajiunge Instagram

14. Huu wimbo umemtoa mange kimambi kuanzia followers 2.2 milion mpk 2.3 milion

15. Huu wimbo umedhihirisha kuwa kweli diamond ni malkia wa nguvu mara baada ya kujivalisha wigi na kumsubiri mfalme wa nguvu (mara zote malkia huwa wanajiremba kabla ya kukutana na mfalme)

16. Huu wimbo umeongeza ununuaji wa MBs kwenye simu

17. Huu wimbo umenipa demu(aliomba nimrushie kwa whatsapp nikapata chance ya kurusha ndoano, jana tu nimemgonga kiulaini)

18. Huu wimbo umeongeza kasi ya uadui kati ya team malkia wa nguvu na team mfalme wa nguvu

19. Hii nyimbo imetupa taswira ya nani atabeba tunzo nyingi katika msimu wa 2017/2018

20. Hii nyimbo inatufunza kuwa kutoa nyimbo nyingi sio kukubalika, kumlala mkeo kila cku si kumridhisha, mpe kalikizo ili akumiss siku ukitaka mchezo akumanulie km mwana wa kimakonde, yani akupe kwa hamu na tashtiti
 
Yani werwe ni mfano wa ile mizee mi senior bachelor yenye vitambi vikubwa akili ndogo kama kucha ya le mutuz..tangu lini wapiga kura wakafika mil20? mzee sukari yako inapanda vibaya sana! hapo umezaliwa tu 1970..nonsense!
Magufuli alipata zaidi mil 8 na baba yako lowasa alipata zaidi ya mil 6 huo ni mwaka 2015 na kwa akili yako uliyoitoa rehani kwa wanasiasa unadhani mwaka 2020 kutakua na wangapi. Wewe mwenye elimu ya kihiyo kwa takwimu waliojiandikisha mwaka 2015 walikua 23,782,558. Kabla hujakashifu mtu fanya research kwanza otherwise hata huyo le mutz atakua kakuzidi kiakili. BVR 31 August 2015
 
Sikuamini wimbo wa Alikiba kuweza fikisha views million mbili ndani ya masaa 70. This is hilarious kwakweli!

Lakini inabidi tuelewe kuwa hizi views zimeboostiwa na huyu Malikia wa mtandao wa kijamii, Mange Kimambi.

Campaign aliyoifanya sio ya kawaida. Naimani bila yeye angeishia kupata views wasiozidi 1m ndani ya masaa 70.

Kitu nilichogundua ni kuwa huyu Dada si wa kumpuuza. Watu wengi wanamfatilia na kucheza ngoma anayowapigia.

Hii kampain aliyomfanyia kiba ikitokea 2020 akawafanyia wapinzani, CCM tutapotezana.

Ushauri. Everybody has his price. CCM Fanyeni usajiri mapema. Mange si wa kupuuza. 2020 atakuwa na followers zaidi ya 3m.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.

acha dharau

kwa hiyo wimbo ni mbaya?
 
Habarini za asubuhi wanajamvi... masaa sita ya nyongeza ya Mange kupromote nyimbo mbovu kabisa kuwahi kutolewa na KingKiba na kujikusanyia viewers wa kutosha yamekwisha; ningeomba wazee wa katuni watutengenezee katuni la KingKiba kupata hiyo habari.
Ubovu wa nyimbo hii ulihojiwa hata JF ni nyimbo haieleweki lkn Mange ameifanya ivunje rekod kwa kuangaliwa zaidi! Lkn tujiulize ni akina nan walioiangalia nyimbo husika?
Yes, binafsi najutia view yangu ivoongezea umaarufu nyimbo ya hovyo kama nnavojutia kura yangu ya mwaka 2015.... I wish withdraw my view.
Mange Mungu anakuona, hayo yanaitwa matumizi mabaya ya umaarufu, ni kweli ww ni maarufu sana hapa Tz, umewafanya hata wanasiasa wajifanye kupost iyo video ili uwasifie au hata wapate followers IG.
Mwisho lkn sio kwa umuhimu, hao viewer ni followers wa Mange na sio shabiki wa Kingkiba, kuprove hili ngoja baada ya promo ya huyu mdada je itaendelea ku_increase number followers at increasing rate? Apa tuelewane AT INCREASING RATE.
Mwisho kabisa sister unatuharibia Bongofleva, bora ungeacha kazi zipate fair competition; team zikompete fairly. Kama kisingizio ni WCB kuungana na kutoa nyimbo pia Kiba anateam yake wangetoa nyimbo. Nmechowapendea WCB wanajibu kwa kaz sio maneno IG km wanavofanya team ya kiba kama akina OmmyD. Sasa kusitishwa promo yako ndo mwisho wa hiyo nyimbo.
Viewers wa Diamond alisema hababaiki kwani ni robot; wa kununua. naomba nimuulize Kiba na team yake je na nyie mmenunua viewers?[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu mmoja anaweza kuangalia video youtube zaidi ya mara moja, kupiga kura ya uchaguzi mtu anapiga mara moja kuchagua mgombea mmoja. Waliorusha video kujifunza mwimbo wengi wameuangalia mara hata 1000 au zaidi..

Uongozi wa JPM ni habari nyingine... Magufuli 2020
Usisahau pia kuangalia namba ya walioangalia hizo videos ikiwa na waliorudia rudia wakiwemo.. nimechungulia baadhi naona average ni kama 21k eeh. Kuna za elfu kumi na pia.. sasa hao followers zaidi ya millioni kwanini hapati angalau views hata 500k... eeeeh na wale walipiga kampeni waangalie kideo mchana usiku kwa kurudia.. eeeh na mitaani haisikiki.. sasa uoni umepotea ha ha haa
Mngeshangilia kwamba Kiba angalau anapata pesa zaidi kwa masaa mafupi.. yaani mmemsaidia kama kampeni ya msaada wa kuingiza pesa.. uchaguzi ni habari ingine kabisaaa
lete lingine.. naishia hapo mengine nikiandika mtadakua ha ha haaa
Usisahau pia kuwa Mange bila kumuongelea RC Makonda anabuma.. ndio maan lazima amrushe kwani ndie alimpatia followers wengi kwasababu wanapenda kupata habari za kiongozi jembe.. ingawa bibie anazipindishaga... eeeeh.. nimechoka kuandika sitamalizaaaa..

Usisahau Mange anafuta comments zisizoendana na anayotaka yasomwe kumpa kiki kuwa posts zake zinakubalika anapopingwa.. na pia kujiumia ujumbe na kuuchambua akitaka kujipaisha..

Makonda oyeeeeee
Sawa Le Mutuz ukiwa katika jinsia nyingine.
 
Sikuamini wimbo wa Alikiba kuweza fikisha views million mbili ndani ya masaa 70. This is hilarious kwakweli!

Lakini inabidi tuelewe kuwa hizi views zimeboostiwa na huyu Malikia wa mtandao wa kijamii, Mange Kimambi.

Campaign aliyoifanya sio ya kawaida. Naimani bila yeye angeishia kupata views wasiozidi 1m ndani ya masaa 70.

Kitu nilichogundua ni kuwa huyu Dada si wa kumpuuza. Watu wengi wanamfatilia na kucheza ngoma anayowapigia.

Hii kampain aliyomfanyia kiba ikitokea 2020 akawafanyia wapinzani, CCM tutapotezana.

Ushauri. Everybody has his price. CCM Fanyeni usajiri mapema. Mange si wa kupuuza. 2020 atakuwa na followers zaidi ya 3m.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
Mkuu na Lowassa alikuwa na followers wangapi 2015 tuanzie hapo!! Unafikiri uchaguzi wa TZ ni sawa na kuimba bongo flavor? Wapiga kura wa tz hata hawajui maswala ya mitandano wako busy na kazi. Flowers wa Mange wengi ni watoto wa vyuo wanaojifunza kutumia mitandao... hiyo ndo research yangu mkuu!
 
Sikuamini wimbo wa Alikiba kuweza fikisha views million mbili ndani ya masaa 70. This is hilarious kwakweli!

Lakini inabidi tuelewe kuwa hizi views zimeboostiwa na huyu Malikia wa mtandao wa kijamii, Mange Kimambi.

Campaign aliyoifanya sio ya kawaida. Naimani bila yeye angeishia kupata views wasiozidi 1m ndani ya masaa 70.

Kitu nilichogundua ni kuwa huyu Dada si wa kumpuuza. Watu wengi wanamfatilia na kucheza ngoma anayowapigia.

Hii kampain aliyomfanyia kiba ikitokea 2020 akawafanyia wapinzani, CCM tutapotezana.

Ushauri. Everybody has his price. CCM Fanyeni usajiri mapema. Mange si wa kupuuza. 2020 atakuwa na followers zaidi ya 3m.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
Mkuu na Lowassa alikuwa na followers wangapi 2015 tuanzie hapo!! Unafikiri uchaguzi wa TZ ni sawa na kuimba bongo flavor? Wapiga kura wa tz hata hawajui maswala ya mitandano wako busy na kazi. Flowers wa Mange wengi ni watoto wa vyuo wanaojifunza kutumia mitandao... hiyo ndo research yangu mkuu!
 
Magufuli alipata zaidi mil 8 na baba yako lowasa alipata zaidi ya mil 6 huo ni mwaka 2015 na kwa akili yako uliyoitoa rehani kwa wanasiasa unadhani mwaka 2020 kutakua na wangapi. Wewe mwenye elimu ya kihiyo kwa takwimu waliojiandikisha mwaka 2015 walikua 23,782,558. Kabla hujakashifu mtu fanya research kwanza otherwise hata huyo le mutz atakua kakuzidi kiakili. BVR 31 August 2015
Kwahiyo na wewe akiliyako inakudanganya kua ataongeza zaidi wapiga kura?walio fukuzwa kazi bila kupewa kiinua mgongo wale waliompgia kura 2015 bado watampigia tu?wanyonge ndio watotowao wanasoma shule za kata, baada ya kufukuza watoto wao na kuzima ndoto zao sababu ya ujauzito pia bado watampigia tu?wanao lala nje barabarani na kung'atwa na mbu kisa kuvunjiwa nyumba zao hata mahakama kustop kwa ajili ya kufanya uchunguzi na kubomoa kwa kejeli hao pia bado watampigia tu?2020 ndio kura zake zitaongezeka sana unatuaminisha ety?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mange ni mpinzani TU kwa sababu kanyimwa ukuu wa Wilaya.Full StOP!
 
Wewe kwa akili yako unadhani wakulima zaidi ya milioni 20 wapiga kura waafahamu kama Mange Kimambi ni nani na wala hata hawajui kwamba kuna sisi wajinga member wa JF kutwa tunalumbana kijinga ktk social media
Wewe ni kichaa ni mwaka gani walipiga kura watu zaidi ya milioni 20... Hujui Mshindi Wa uchaguzi ule alipata kura milioni 8




Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Sikuamini wimbo wa Alikiba kuweza fikisha views million mbili ndani ya masaa 70. This is hilarious kwakweli!

Lakini inabidi tuelewe kuwa hizi views zimeboostiwa na huyu Malikia wa mtandao wa kijamii, Mange Kimambi.

Campaign aliyoifanya sio ya kawaida. Naimani bila yeye angeishia kupata views wasiozidi 1m ndani ya masaa 70.

Kitu nilichogundua ni kuwa huyu Dada si wa kumpuuza. Watu wengi wanamfatilia na kucheza ngoma anayowapigia.

Hii kampain aliyomfanyia kiba ikitokea 2020 akawafanyia wapinzani, CCM tutapotezana.

Ushauri. Everybody has his price. CCM Fanyeni usajiri mapema. Mange si wa kupuuza. 2020 atakuwa na followers zaidi ya 3m.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
Ktk hizo views 2M kuna likes na dislikes ngapi?
Mimi mmoja wapo wa hizo views ila ni thumb down!
Alafu wapiga kura wengi wako vijijini, sio ktk instagram. Tambua hilo, hata lowassa wakati akiwa hot 2015 kura za 'bushi' ndo zilimuangusha! Huko mnaweza waita ni 'wajinga' ila ndo waelewa!
 
Back
Top Bottom