Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Hivi mwanaume mzima kabisa na pumbu zako unajisikia fahari kujiita mnyonge?

Kwahiyo na wewe ni miongoni mwa wale wapuuzi wanaoamini kuwafilisi matajili maskini ndio watarithi ule utajili?

Poor you.

Sent using Jamii Forums mobile app
We ni mpuuzi. Hujawahi ona tajiri mnyonge??? Watu walkua matajiri lakini wanaonewa, rushwa ilitamalaki. Fanya uchunguzi we mpuuzi. Tajiri yeyote ambae amefkishwa mahakamani au anachunguzwa ni kwamba alkua fisadi, Ama halipi Kodi. Matajiri wenye fedha safi wanaishi Kwa raha mustarehe. Hapo nyuma walkua wanyonge. But above all wewe unatafsiri vipi neno "unyonge"? Acha ufala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani werwe ni mfano wa ile mizee mi senior bachelor yenye vitambi vikubwa akili ndogo kama kucha ya le mutuz..tangu lini wapiga kura wakafika mil20? mzee sukari yako inapanda vibaya sana! hapo umezaliwa tu 1970..nonsense!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mizee kama hii ndo inatuharibia nchi yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenda zako huko, wala hakuna mtz mwenye akili timamu anaweza akamfuatilia yule mtukanaji
 
Mtu mmoja anaweza kuangalia video youtube zaidi ya mara moja, kupiga kura ya uchaguzi mtu anapiga mara moja kuchagua mgombea mmoja. Waliorusha video kujifunza mwimbo wengi wameuangalia mara hata 1000 au zaidi..

Uongozi wa JPM ni habari nyingine... Magufuli 2020
Usisahau pia kuangalia namba ya walioangalia hizo videos ikiwa na waliorudia rudia wakiwemo.. nimechungulia baadhi naona average ni kama 21k eeh. Kuna za elfu kumi na pia.. sasa hao followers zaidi ya millioni kwanini hapati angalau views hata 500k... eeeeh na wale walipiga kampeni waangalie kideo mchana usiku kwa kurudia.. eeeh na mitaani haisikiki.. sasa uoni umepotea ha ha haa
Mngeshangilia kwamba Kiba angalau anapata pesa zaidi kwa masaa mafupi.. yaani mmemsaidia kama kampeni ya msaada wa kuingiza pesa.. uchaguzi ni habari ingine kabisaaa
lete lingine.. naishia hapo mengine nikiandika mtadakua ha ha haaa
Usisahau pia kuwa Mange bila kumuongelea RC Makonda anabuma.. ndio maan lazima amrushe kwani ndie alimpatia followers wengi kwasababu wanapenda kupata habari za kiongozi jembe.. ingawa bibie anazipindishaga... eeeeh.. nimechoka kuandika sitamalizaaaa..

Usisahau Mange anafuta comments zisizoendana na anayotaka yasomwe kumpa kiki kuwa posts zake zinakubalika anapopingwa.. na pia kujiumia ujumbe na kuuchambua akitaka kujipaisha..

Makonda oyeeeeee

Weee babyboy katika ubora wako! Haya, huyu makonda wako kafikaje hapa? Au na hii post inakuwa counted ili unywe chai ya maziwa?
Leo ndio nimeamini kuwa akili zako ni chache kuliko za kiroboto. Na shida yenu ninyi mnaoishi kwa siasa za hadaa hamfanyi tafiti na kujua idadi ya wapiga kura wenu. Hao wazee huko vijijini hawafiki milioni kumi na kwa hali mnayowapeleka sidhani kama mtapata kura milioni moja jumlisha na za makinikia uchakachuzi.
Unahitaji kupumzika kuja humu jukwaani kama mzee wako alivyopumzika siasa!
 
Mange huwa anapendwa na watu kama ww wasio na maana,,
Huku kwetu hata hatumjui kabisa.

Yeye anafahamika na watu wasio na shughuli maalum ambao kazi yao ni kulandalanda mitandaon kufuatilia umbea, lakn wale wenye shughuli maalum na wanaojielewa na walio kijijin hata hawawezi kumwelewa kwanza yeye ni hear say wakat magufuli tuko naye physically na tunaona matendo yake..
Kwani watu wenye kazi maalum niwale wakulima kule maporin ambao hawana hata umeme??DPP ,makonda,sirro ,nawengine wanamjua mange .je hawa hawana kazi maalum ???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikuamini wimbo wa Alikiba kuweza fikisha views million mbili ndani ya masaa 70. This is hilarious kwakweli!

Lakini inabidi tuelewe kuwa hizi views zimeboostiwa na huyu Malikia wa mtandao wa kijamii, Mange Kimambi.

Campaign aliyoifanya sio ya kawaida. Naimani bila yeye angeishia kupata views wasiozidi 1m ndani ya masaa 70.

Kitu nilichogundua ni kuwa huyu Dada si wa kumpuuza. Watu wengi wanamfatilia na kucheza ngoma anayowapigia.

Hii kampain aliyomfanyia kiba ikitokea 2020 akawafanyia wapinzani, CCM tutapotezana.

Ushauri. Everybody has his price. CCM Fanyeni usajiri mapema. Mange si wa kupuuza. 2020 atakuwa na followers zaidi ya 3m.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
Hana ubavu huo ayo atayaweza huko huko kwenye mizaha mizaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni kichaa hebu nenda milembe kaendelee na dozi , kwahiyo kura Million 6 + Milioni 8 unapata kura milioni 20+!!!!!!

Ni Heri taifa liwe na miti inapendezesha nchi na kuleta upepo mwanana kuliko kuwa na mizee mitaahila kama .......


Kwa taarifa yako tangu uchaguzi Wa mwaka 2015 idadi ya wapiga kura imekuwa ikididimia mwaka hadi mwaka

Sent From My Nokia Ya Tochi
Yeye anajua huwa inaongezeka .kwanza hiyo ml 20 anasema niwakulima pekeyao bado wafanya biashara bado wafanyakazi.mizee kama hii ndo umetufikisha hapa tulipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja tungoje mondi adanje ndo tutajua,maana ki-gosi alituaminisha yeye ni the greatest ila baada k-numba kudanja nae chaaali,ila sio mbaya kusafiria nyota ya mtu, ki-ba sio mkali ki viiiiile,sema watu bwana wana chuki na domo fullstop.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu mmoja anaweza kuangalia video youtube zaidi ya mara moja, kupiga kura ya uchaguzi mtu anapiga mara moja kuchagua mgombea mmoja. Waliorusha video kujifunza mwimbo wengi wameuangalia mara hata 1000 au zaidi..

Uongozi wa JPM ni habari nyingine... Magufuli 2020
Usisahau pia kuangalia namba ya walioangalia hizo videos ikiwa na waliorudia rudia wakiwemo.. nimechungulia baadhi naona average ni kama 21k eeh. Kuna za elfu kumi na pia.. sasa hao followers zaidi ya millioni kwanini hapati angalau views hata 500k... eeeeh na wale walipiga kampeni waangalie kideo mchana usiku kwa kurudia.. eeeh na mitaani haisikiki.. sasa uoni umepotea ha ha haa
Mngeshangilia kwamba Kiba angalau anapata pesa zaidi kwa masaa mafupi.. yaani mmemsaidia kama kampeni ya msaada wa kuingiza pesa.. uchaguzi ni habari ingine kabisaaa
lete lingine.. naishia hapo mengine nikiandika mtadakua ha ha haaa
Usisahau pia kuwa Mange bila kumuongelea RC Makonda anabuma.. ndio maan lazima amrushe kwani ndie alimpatia followers wengi kwasababu wanapenda kupata habari za kiongozi jembe.. ingawa bibie anazipindishaga... eeeeh.. nimechoka kuandika sitamalizaaaa..

Usisahau Mange anafuta comments zisizoendana na anayotaka yasomwe kumpa kiki kuwa posts zake zinakubalika anapopingwa.. na pia kujiumia ujumbe na kuuchambua akitaka kujipaisha..

Makonda oyeeeeee
We utakuwa dishi lako linadance na kushake...channel haisomi..
YouTube ukiangalia video kwa device yako ukiangalia kwa kurudiarudia haiongezi # of viewers..ccm hamna anaewaelewa sku hizi mzee...ngoja 2020 will tell...na hiii I'd imeshtukiwa kuwa yavBashite maliyamungu....shame kwako akilimaji
 
Usipenda kuandika kitu usichokijua. Youtube views zinahesabiwa per device not persons.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
Hajielewi uyu kilaza....eti mange anafuta comments za wanaomcrash...hv unafutaje comment ya mtu insta ispokuwa yy aliyepost ndo mwenye access ya kufuta...hawa jamaa akili zao sjui zkoje
 
Hujui hata views you tube zinapatikanaje? Hata uingie mara 1000 na IP address hiyo hiyo ni view 1 tu, Jamaa ana point mnapigaga bao kwa watu kutoenda kupiga kura

Cocochanel mbona hujibu hoja za Super Handsome??? Au, au zinaukweli wowote hivi???!!!!! [emoji15] [emoji15] [emoji15]

From Sir Korojani

View attachment 577021 View attachment 577022
Sitaki kuingia kwenye mjadala wa kuwa "Kampeni ya Mange itazamwe kwa mapana na CCM",wala sitaki kusema "viewers" wa mitandaoni wanaweza kutafsiri kura za uchaguzi,sipo katika hizo team za vijana za Ali Kiba na Diamond,ila najaribu kuweka sawa hilo suala la Youtube na Viewers kwa uelewa wangu.

Labda hujajua kuwa VEVO ni to tofauti na YouTube..Alikiba wimbo wake upo VEVO,Diamond yupo YouTube

Huko akaunti ya Youtube subscription inaweza kuhesabiwa mara 200+kwa siku,huko VEVO hakuna robots accounts.

Kwa hiyo hoja ya kuwa Ali Kiba ana-Ghost Viewers si ya ukweli na haina mantiki.Kwenye VEVO hakuna Ghost viewers...huko Youtube unaweza kutazama zaidi ya mara 100 video moja na drops zote zinahesabiwa ...


Endeleeni kunifundisha jamani.. nimemaliza sijibu tena.

Does it count as a view if I hit replay, or do I have to refresh the page?

Either works, just don’t use automated tools or open the video in 50 different browser tabs.


Do the Vevo music videos on YouTube have their view count exaggerated?

Technically, yes. The reason vevo gets more views is not because a lot more people like it, it is because people who like the song continually come back to the video to listen to it, and it still counts views for people who do that.



Total views of a video are counted from across all of Vevo's platforms, including youtube, yahoo and other syndication partners.
 
Kwahiyo na wewe akiliyako inakudanganya kua ataongeza zaidi wapiga kura?walio fukuzwa kazi bila kupewa kiinua mgongo wale waliompgia kura 2015 bado watampigia tu?wanyonge ndio watotowao wanasoma shule za kata, baada ya kufukuza watoto wao na kuzima ndoto zao sababu ya ujauzito pia bado watampigia tu?wanao lala nje barabarani na kung'atwa na mbu kisa kuvunjiwa nyumba zao hata mahakama kustop kwa ajili ya kufanya uchunguzi na kubomoa kwa kejeli hao pia bado watampigia tu?2020 ndio kura zake zitaongezeka sana unatuaminisha ety?

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nae asikuchoshe huyo chizi.i
 
Back
Top Bottom