Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Hao DPP na wengne uliowataja uliwahi kuona wanashabikia ujinga Wa mange kimambi?
Ndio maana nmesema mange anajulikana na kupendwa na watu wasiojielewa..
Inaonekana hata wewe hujielewi maana wamfahamu sana na kumfatilia huyo Mange.
 
Hiv kumbe hamlali. Mi nlkuwa najarbu tu

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
....Eti every one has a price, wewe lofa kweli, yaani unahamasisha hao wenzako wamnunue Mange kama mlivyokuwa mnanunua madiwani wa Chadema, na pia Lipumba. Takukuru wangetakiwa waanze na nyinyi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe kwa akili yako unadhani wakulima zaidi ya milioni 20 wapiga kura waafahamu kama Mange Kimambi ni nani na wala hata hawajui kwamba kuna sisi wajinga member wa JF kutwa tunalumbana kijinga ktk social media
Kumbuka kila familia kwa sasa ina mtu walau anamiliki smart phone, and on top of that Mange alisaidia sana CCM 2015. Na hiki anachokifanya sasa kuiponda serikali hadi 2020 yaani CCM itakuwa hoi, believe me.
 
Weee babyboy katika ubora wako! Haya, huyu makonda wako kafikaje hapa? Au na hii post inakuwa counted ili unywe chai ya maziwa?
Leo ndio nimeamini kuwa akili zako ni chache kuliko za kiroboto. Na shida yenu ninyi mnaoishi kwa siasa za hadaa hamfanyi tafiti na kujua idadi ya wapiga kura wenu. Hao wazee huko vijijini hawafiki milioni kumi na kwa hali mnayowapeleka sidhani kama mtapata kura milioni moja jumlisha na za makinikia uchakachuzi.
Unahitaji kupumzika kuja humu jukwaani kama mzee wako alivyopumzika siasa!
Huyu siwakumjibu huyu...nahisi dishi lake lime dance leo
 
Mkuu na Lowassa alikuwa na followers wangapi 2015 tuanzie hapo!! Unafikiri uchaguzi wa TZ ni sawa na kuimba bongo flavor? Wapiga kura wa tz hata hawajui maswala ya mitandano wako busy na kazi. Flowers wa Mange wengi ni watoto wa vyuo wanaojifunza kutumia mitandao... hiyo ndo research yangu mkuu!
Ao watoto wa vyuo ndyo wapiga kura wa kesho. Ao ambao hawajui mambo ya mtandao ndyo wale twaweza walisema hawana elimu ( ni mazuzu) ndyo waliobaki kushabikia CCM.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
 
Wengi including me, tumeiangalia baada ya kelele nyingi eti nyimbo nzuri! Kujionea mwenyewe nkashangaa sana. Walichokifanya ni sawa na wale wanaweka fake video anakwambia hichi unaingia unakuta kitu tofauti. Not fair at all angeiacha ngoma ijitangaze yenyewe; Na ngoma kuhit sio lazima uwe na followers wengi, Hapana. Mbona Muziki ya Darasa ilitikisa bila promo za kijinga kama hizi. Maombi ya Kiba ni kuona bifu linaendelea na Diamond siku likiisha na yeye mwisho wake kimuziki.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa mbona hamkupoteza muda kutizama video ya boss wenu hovyoooo[emoji57][emoji57]
 
Wewe kwa akili yako unadhani wakulima zaidi ya milioni 20 wapiga kura waafahamu kama Mange Kimambi ni nani na wala hata hawajui kwamba kuna sisi wajinga member wa JF kutwa tunalumbana kijinga ktk social media
Mimi ni mkulima. Na ninamfaham Mange. Na ninaview page yake kila siku.

See how yo have empty brain.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
 
heradius12 labda mtandaoni,ila kura zetu ccm zipo mitaani na vijijini!
Siburi ifike 2020 mtatambua kuwa dunia ni dynamic na si static. Ao wa mitaani na vijijini ndyo hao wanaoanza kupata access na mitandao ya kijamii kwa kasi. Wale wazee ambao hawakwenda shule ndyo tunawazika kila siku.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
 
Ni mjinga pekee anayeweza kudharau nguvu ya mitandao ya kijamii dunia ya leo.Mwingine anabeza uku nayeye yuko uku jf kama member.Vip kuhusu magroup ya whatsap,fb,insta na social media zingine zinazoweza kuwafikia watu wengi kwa muda mfupi.athari za hii mitandano kisiasa na kijamii nikubwa zaidi na inafika kila pembe ya nchi kwa namna moja au nyingine sio sio kitu yakubeza.mtoa mada umelisema kimzaa ila ulilolisema ukipanua mawazo ukaangalia nyanza zote utaona ngivu ya hii mitandao ilivyokubwa kuliko ata mikutano ya hadhara,radio na Tv kwa pamoja.
Ni kweli kabisa, social media zina nguvu sana kwa sasa, halafu watu wamesahau kuwa 2015 Mange alisaidia sana CCM. Na haya anayoyafanya kidogo kidogo kufikia 2020 lazima yataleta msiba kwa CCM.Social media sio za kubeza kabisa, katika hii time ambapo kila familia ina mtu anamiliki smart phone.
 
Mmenyooka kisawa sawa ***** zenu nyie,sio mbaya lkn coz boss wenu alisema tweet muachiwe mashabiki so endeleeni kutweet kama shabiki mange alivyokuwa anafanya vichwa maji nyie
 
Siburi ifike 2020 mtatambua kuwa dunia ni dynamic na si static. Ao wa mitaani na vijijini ndyo hao wanaoanza kupata access na mitandao ya kijamii kwa kasi. Wale wazee ambao hawakwenda shule ndyo tunawazika kila siku.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
Mzeee waache wabweteke...time will tel...
Na this tym tutakaba mpaka vivuli..hamna ccm kuiba kura Walla kuleta mamluki kupiga Kula mara10 kumi...au la hasha tutakinukisha
 
Back
Top Bottom