Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Sikuamini wimbo wa Alikiba kuweza fikisha views million mbili ndani ya masaa 70. This is hilarious kwakweli!

Lakini inabidi tuelewe kuwa hizi views zimeboostiwa na huyu Malikia wa mtandao wa kijamii, Mange Kimambi.

Campaign aliyoifanya sio ya kawaida. Naimani bila yeye angeishia kupata views wasiozidi 1m ndani ya masaa 70.

Kitu nilichogundua ni kuwa huyu Dada si wa kumpuuza. Watu wengi wanamfatilia na kucheza ngoma anayowapigia.

Hii kampain aliyomfanyia kiba ikitokea 2020 akawafanyia wapinzani, CCM tutapotezana.

Ushauri. Everybody has his price. CCM Fanyeni usajiri mapema. Mange si wa kupuuza. 2020 atakuwa na followers zaidi ya 3m.

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
Mzee Mamvi alikua maarufu kuliko huyo Mange, na bado ilishindikana kubadilisha upepo. Mange hana madhara kwa CCM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nikuulize Dai Ana followers 4M ameshindwaji kujipata promo mpaka Mange mwenye followers 1M amshinde ?!!! Huko instagram si mna timu zenu zenye followers Kama Wa Mange imeshindikana nini kufanya promo ????!!!!!! Na Kama sip shabiki kilikupeleka nini kutizama iyo video na walokua wanamtumia video mange nao sip mashabiki ?!!! Mbona nawe ujamtumia ?!!!! [emoji12][emoji23][emoji23] binafsi sio shabiki wa Dai dio maana sijaenda poteza muda wangu kutizama huko YouTube .....
Wengi including me, tumeiangalia baada ya kelele nyingi eti nyimbo nzuri! Kujionea mwenyewe nkashangaa sana. Walichokifanya ni sawa na wale wanaweka fake video anakwambia hichi unaingia unakuta kitu tofauti. Not fair at all angeiacha ngoma ijitangaze yenyewe; Na ngoma kuhit sio lazima uwe na followers wengi, Hapana. Mbona Muziki ya Darasa ilitikisa bila promo za kijinga kama hizi. Maombi ya Kiba ni kuona bifu linaendelea na Diamond siku likiisha na yeye mwisho wake kimuziki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajutia view yako? Ulishikiwa akili wakati unagoogle wimbo? Kweli zidumu fikra za Mwenyekiti!
 
Habarini za asubuhi wanajamvi... masaa sita ya nyongeza ya Mange kupromote nyimbo mbovu kabisa kuwahi kutolewa na KingKiba na kujikusanyia viewers wa kutosha yamekwisha; ningeomba wazee wa katuni watutengenezee katuni la KingKiba kupata hiyo habari.
Ubovu wa nyimbo hii ulihojiwa hata JF ni nyimbo haieleweki lkn Mange ameifanya ivunje rekod kwa kuangaliwa zaidi! Lkn tujiulize ni akina nan walioiangalia nyimbo husika?
Yes, binafsi najutia view yangu ivoongezea umaarufu nyimbo ya hovyo kama nnavojutia kura yangu ya mwaka 2015.... I wish withdraw my view.
Mange Mungu anakuona, hayo yanaitwa matumizi mabaya ya umaarufu, ni kweli ww ni maarufu sana hapa Tz, umewafanya hata wanasiasa wajifanye kupost iyo video ili uwasifie au hata wapate followers IG.
Mwisho lkn sio kwa umuhimu, hao viewer ni followers wa Mange na sio shabiki wa Kingkiba, kuprove hili ngoja baada ya promo ya huyu mdada je itaendelea ku_increase number followers at increasing rate? Apa tuelewane AT INCREASING RATE.
Mwisho kabisa sister unatuharibia Bongofleva, bora ungeacha kazi zipate fair competition; team zikompete fairly. Kama kisingizio ni WCB kuungana na kutoa nyimbo pia Kiba anateam yake wangetoa nyimbo. Nmechowapendea WCB wanajibu kwa kaz sio maneno IG km wanavofanya team ya kiba kama akina OmmyD. Sasa kusitishwa promo yako ndo mwisho wa hiyo nyimbo.
Viewers wa Diamond alisema hababaiki kwani ni robot; wa kununua. naomba nimuulize Kiba na team yake je na nyie mmenunua viewers?[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe inakuuma nini Mange kupromote nyimbo ya Ally Kiba au una wivu gani kwa Ally,acha upuuzi na wivu wakike wewe nawewe Fanya lako alafu muombe Mange akufanyie promo,msituletee habari za ki maku humu jamii forum
 
Mange huwa anapendwa na watu kama ww wasio na maana,,
Huku kwetu hata hatumjui kabisa.

Yeye anafahamika na watu wasio na shughuli maalum ambao kazi yao ni kulandalanda mitandaon kufuatilia umbea, lakn wale wenye shughuli maalum na wanaojielewa na walio kijijin hata hawawezi kumwelewa kwanza yeye ni hear say wakat magufuli tuko naye physically na tunaona matendo yake..
Mkuu Mgirik, I salute you. This is the best answer kwenye thread hii. MAGUFULI tupo nae phisicaly na tunamwelewa haswa. Sisi wanyonge ambao ndo wengi tunaifahamu impact ya huyu baba. Uonevu umepungua, uzalendo umerudi na tunajiamini kupita kipindi chochote Kile. 2020 ndo wataelewa. Mimi nipo nyuma ya MAGUFULI no matter what.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu mmoja anaweza kuangalia video youtube zaidi ya mara moja, kupiga kura ya uchaguzi mtu anapiga mara moja kuchagua mgombea mmoja. Waliorusha video kujifunza mwimbo wengi wameuangalia mara hata 1000 au zaidi..

Uongozi wa JPM ni habari nyingine... Magufuli 2020
Usisahau pia kuangalia namba ya walioangalia hizo videos ikiwa na waliorudia rudia wakiwemo.. nimechungulia baadhi naona average ni kama 21k eeh. Kuna za elfu kumi na pia.. sasa hao followers zaidi ya millioni kwanini hapati angalau views hata 500k... eeeeh na wale walipiga kampeni waangalie kideo mchana usiku kwa kurudia.. eeeh na mitaani haisikiki.. sasa uoni umepotea ha ha haa
Mngeshangilia kwamba Kiba angalau anapata pesa zaidi kwa masaa mafupi.. yaani mmemsaidia kama kampeni ya msaada wa kuingiza pesa.. uchaguzi ni habari ingine kabisaaa
lete lingine.. naishia hapo mengine nikiandika mtadakua ha ha haaa
Usisahau pia kuwa Mange bila kumuongelea RC Makonda anabuma.. ndio maan lazima amrushe kwani ndie alimpatia followers wengi kwasababu wanapenda kupata habari za kiongozi jembe.. ingawa bibie anazipindishaga... eeeeh.. nimechoka kuandika sitamalizaaaa..

Usisahau Mange anafuta comments zisizoendana na anayotaka yasomwe kumpa kiki kuwa posts zake zinakubalika anapopingwa.. na pia kujiumia ujumbe na kuuchambua akitaka kujipaisha..

Makonda oyeeeeee
Hujui hata views you tube zinapatikanaje? Hata uingie mara 1000 na IP address hiyo hiyo ni view 1 tu, Jamaa ana point mnapigaga bao kwa watu kutoenda kupiga kura
 
Mzee Mamvi alikua maarufu kuliko huyo Mange, na bado ilishindikana kubadilisha upepo. Mange hana madhara kwa CCM.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hana hata kidogo. Tena wakumbuke saivi chama kinarudishwa Kwa wananchi. Na ndani ya chama tuna kila aina ya watu. Wasomi, vijana, wazee, wamama, na vichaa zaidi ya Mange pia tunao. Tutapambana. Mange si chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni kichaa hebu nenda milembe kaendelee na dozi , kwahiyo kura Million 6 + Milioni 8 unapata kura milioni 20+!!!!!!

Ni Heri taifa liwe na miti inapendezesha nchi na kuleta upepo mwanana kuliko kuwa na mizee mitaahila kama .......


Kwa taarifa yako tangu uchaguzi Wa mwaka 2015 idadi ya wapiga kura imekuwa ikididimia mwaka hadi mwaka

Sent From My Nokia Ya Tochi
Ivi Idadi ya Wanaojiandikisha na wanaopiga Kura Huwa Ni Sawa!? Au Mimi ndo Sijakuelewa ulichoandika...
Nahisi Uyo Mkuu Apo Juu Yuko Sawa
 
Wengi including me, tumeiangalia baada ya kelele nyingi eti nyimbo nzuri! Kujionea mwenyewe nkashangaa sana. Walichokifanya ni sawa na wale wanaweka fake video anakwambia hichi unaingia unakuta kitu tofauti. Not fair at all angeiacha ngoma ijitangaze yenyewe; Na ngoma kuhit sio lazima uwe na followers wengi, Hapana. Mbona Muziki ya Darasa ilitikisa bila promo za kijinga kama hizi. Maombi ya Kiba ni kuona bifu linaendelea na Diamond siku likiisha na yeye mwisho wake kimuziki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anae anzisha bifu za kutukana wenzake ovyo ni nan?
 
Mtu mmoja anaweza kuangalia video youtube zaidi ya mara moja, kupiga kura ya uchaguzi mtu anapiga mara moja kuchagua mgombea mmoja. Waliorusha video kujifunza mwimbo wengi wameuangalia mara hata 1000 au zaidi..

Uongozi wa JPM ni habari nyingine... Magufuli 2020
Usisahau pia kuangalia namba ya walioangalia hizo videos ikiwa na waliorudia rudia wakiwemo.. nimechungulia baadhi naona average ni kama 21k eeh. Kuna za elfu kumi na pia.. sasa hao followers zaidi ya millioni kwanini hapati angalau views hata 500k... eeeeh na wale walipiga kampeni waangalie kideo mchana usiku kwa kurudia.. eeeh na mitaani haisikiki.. sasa uoni umepotea ha ha haa
Mngeshangilia kwamba Kiba angalau anapata pesa zaidi kwa masaa mafupi.. yaani mmemsaidia kama kampeni ya msaada wa kuingiza pesa.. uchaguzi ni habari ingine kabisaaa
lete lingine.. naishia hapo mengine nikiandika mtadakua ha ha haaa
Usisahau pia kuwa Mange bila kumuongelea RC Makonda anabuma.. ndio maan lazima amrushe kwani ndie alimpatia followers wengi kwasababu wanapenda kupata habari za kiongozi jembe.. ingawa bibie anazipindishaga... eeeeh.. nimechoka kuandika sitamalizaaaa..

Usisahau Mange anafuta comments zisizoendana na anayotaka yasomwe kumpa kiki kuwa posts zake zinakubalika anapopingwa.. na pia kujiumia ujumbe na kuuchambua akitaka kujipaisha..

Makonda oyeeeeee
Ohooo!! Maneno meengi kumbe huna lolote.
Tueleze kwanini Umefukuzwa Africa Swahili TV na hasira zako unafungua online TV?! nakupa siku tatu uje na Uzi wa declaration LA sivyo nakuanika kumtia hasara mosha zaidi ya Mil.400/


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mjinga pekee anayeweza kudharau nguvu ya mitandao ya kijamii dunia ya leo.Mwingine anabeza uku nayeye yuko uku jf kama member.Vip kuhusu magroup ya whatsap,fb,insta na social media zingine zinazoweza kuwafikia watu wengi kwa muda mfupi.athari za hii mitandano kisiasa na kijamii nikubwa zaidi na inafika kila pembe ya nchi kwa namna moja au nyingine sio sio kitu yakubeza.mtoa mada umelisema kimzaa ila ulilolisema ukipanua mawazo ukaangalia nyanza zote utaona ngivu ya hii mitandao ilivyokubwa kuliko ata mikutano ya hadhara,radio na Tv kwa pamoja.
 
Mkuu Mgirik, I salute you. This is the best answer kwenye thread hii. MAGUFULI tupo nae phisicaly na tunamwelewa haswa. Sisi wanyonge ambao ndo wengi tunaifahamu impact ya huyu baba. Uonevu umepungua, uzalendo umerudi na tunajiamini kupita kipindi chochote Kile. 2020 ndo wataelewa. Mimi nipo nyuma ya MAGUFULI no matter what.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nashangaa huyu dogo anatuletea habar za Malaya Wa mitandaon anafikir sisi tunawafahamu hao .... Acha Mzee apige kazi wengi tunamwelewa
 
image.jpeg
image.jpeg
Mtu mmoja anaweza kuangalia video youtube zaidi ya mara moja, kupiga kura ya uchaguzi mtu anapiga mara moja kuchagua mgombea mmoja. Waliorusha video kujifunza mwimbo wengi wameuangalia mara hata 1000 au zaidi..

Uongozi wa JPM ni habari nyingine... Magufuli 2020
Usisahau pia kuangalia namba ya walioangalia hizo videos ikiwa na waliorudia rudia wakiwemo.. nimechungulia baadhi naona average ni kama 21k eeh. Kuna za elfu kumi na pia.. sasa hao followers zaidi ya millioni kwanini hapati angalau views hata 500k... eeeeh na wale walipiga kampeni waangalie kideo mchana usiku kwa kurudia.. eeeh na mitaani haisikiki.. sasa uoni umepotea ha ha haa
Mngeshangilia kwamba Kiba angalau anapata pesa zaidi kwa masaa mafupi.. yaani mmemsaidia kama kampeni ya msaada wa kuingiza pesa.. uchaguzi ni habari ingine kabisaaa
lete lingine.. naishia hapo mengine nikiandika mtadakua ha ha haaa
Usisahau pia kuwa Mange bila kumuongelea RC Makonda anabuma.. ndio maan lazima amrushe kwani ndie alimpatia followers wengi kwasababu wanapenda kupata habari za kiongozi jembe.. ingawa bibie anazipindishaga... eeeeh.. nimechoka kuandika sitamalizaaaa..

Usisahau Mange anafuta comments zisizoendana na anayotaka yasomwe kumpa kiki kuwa posts zake zinakubalika anapopingwa.. na pia kujiumia ujumbe na kuuchambua akitaka kujipaisha..

Makonda oyeeeeee
Sitaki kuingia kwenye mjadala wa kuwa "Kampeni ya Mange itazamwe kwa mapana na CCM",wala sitaki kusema "viewers" wa mitandaoni wanaweza kutafsiri kura za uchaguzi,sipo katika hizo team za vijana za Ali Kiba na Diamond,ila najaribu kuweka sawa hilo suala la Youtube na Viewers kwa uelewa wangu.

Labda hujajua kuwa VEVO ni to tofauti na YouTube..Alikiba wimbo wake upo VEVO,Diamond yupo YouTube

Huko akaunti ya Youtube subscription inaweza kuhesabiwa mara 200+kwa siku,huko VEVO hakuna robots accounts.

Kwa hiyo hoja ya kuwa Ali Kiba ana-Ghost Viewers si ya ukweli na haina mantiki.Kwenye VEVO hakuna Ghost viewers...huko Youtube unaweza kutazama zaidi ya mara 100 video moja na drops zote zinahesabiwa ...
 
Back
Top Bottom