Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Wadau,hvi kati ya hao watu wawil hapo juu nani ni katili kuliko mwenzie?maana tumeshuhudia Bush alikua ana vurugu nyingi lakini hakuwahi kuua viongozi wakuu wanaoshukiwa kwa tuhuma mbalimbali,huyu ndugu yetu obama yeye hana maneno mengi ila actions zake tunazishuhudia wote.