Obama na mkewe wanavutia....hata kwenye majonzi...........

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
Barack-Obama-Tucson-Memor-006.jpg
 
safari_ni_safari, naona hiyo picha yenye red capet itoe, mzee anachapa usingizi live, kisha hadharani:frog:
 
Lowasa anawaza nini akimwangalia jamaa yake anavyouchapa usingizi?

Khaaa! Jamani huy bwana anahitaji msaada. Wasaidizi wake kwanini wanamuacha adhalilike hivi? I attended one meeting where a high level visitor from US arrive in a morning and wanted to hold a meeting the same day. Jamaa baada ya kufanya ziara fupi, ukafika muda wa kukutana na wenyeji wake, yule mzungu akaanza kuonyesha kila dalili ya jetlag, jamaa walimuondoa na kwa kuwa walisha anticipate and they had plan B, jamaa mwingine akate over the meeting smoothly....Pole Mkulu
 
Khaaa! Jamani huy bwana anahitaji msaada. Wasaidizi wake kwanini wanamuacha adhalilike hivi? I attended one meeting where a high level visitor from US arrive in a morning and wanted to hold a meeting the same day. Jamaa baada ya kufanya ziara fupi, ukafika muda wa kukutana na wenyeji wake, yule mzungu akaanza kuonyesha kila dalili ya jetlag, jamaa walimuondoa na kwa kuwa walisha anticipate and they had plan B, jamaa mwingine akate over the meeting smoothly....Pole Mkulu

Hivi inawezekana hii ni matatizo ya JETLAG kwa mheshimiwa? Sasa hii ni JET ya mheshimiwa ni ya aina gani? Inatokana na hizi JET za wageni au zile zetu za asili za ungo ambazo zinatembea usiku pekee?
 
Back
Top Bottom