Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Lowasa anawaza nini akimwangalia jamaa yake anavyouchapa usingizi?
safari_ni_safari, naona hiyo picha yenye red capet itoe, mzee anachapa usingizi live, kisha hadharani:frog:
Lowasa anawaza nini akimwangalia jamaa yake anavyouchapa usingizi?
Night club bwana zinasumbua ona usingizi kibao.
Khaaa! Jamani huy bwana anahitaji msaada. Wasaidizi wake kwanini wanamuacha adhalilike hivi? I attended one meeting where a high level visitor from US arrive in a morning and wanted to hold a meeting the same day. Jamaa baada ya kufanya ziara fupi, ukafika muda wa kukutana na wenyeji wake, yule mzungu akaanza kuonyesha kila dalili ya jetlag, jamaa walimuondoa na kwa kuwa walisha anticipate and they had plan B, jamaa mwingine akate over the meeting smoothly....Pole Mkulu
safari_ni_safari, naona hiyo picha yenye red capet itoe, mzee anachapa usingizi live, kisha hadharani:frog:
safari_ni_safari, naona hiyo picha yenye red capet itoe, mzee anachapa usingizi live, kisha hadharani:frog:
Sasa hii ni JET ya mheshimiwa ni ya aina gani? Inatokana na hizi JET za wageni au zile zetu za asili za ungo ambazo zinatembea usiku pekee?
..hapo akilala atatoswa Bil.185Mbona hapa hajalala?
Night club bwana zinasumbua ona usingizi kibao.
Mbona hapa hajalala?