Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,079
- 8,219
Wanashindwa kuelewa kuwa kwa jinsia yake tu tayari Rais ana mtaji wa huruma kutoka kwa 50% ya waTZ woteCDM msipokuwa makini mnaweza kuwa maadui wa hii nchi na kupopolewa na mawe kila mahali msipojirekebisha na kufanya siasa zilizokomaa sio huu utoto