antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,643
- 120,172
Bila ya shaka polisiccm wanaweza kabisa kumbambikia kesi mbaya sana ya uchochezi.
Utawala wa KIDIKTETA ni shida sana!
Bila ya shaka polisiccm wanaweza kabisa kumbambikia kesi mbaya sana ya uchochezi.
Kama wewe unavyo hivyo vitu kwako unadhani na kwa wengine viko?Wapekue vizuri wanaweza kukuta madawa ya kulevya na silaha
Bila ya shaka polisiccm wanaweza kabisa kumbambikia kesi mbaya sana ya uchochezi.
Mmeanza kutiwa maji kunyolewa...🤣🤣🤣🤣Mama kama Jiwe, kama Sabaya!
Dih.HAJALIWA Tigo??
Mama anaupiga mwingi sana,sukuma gang hawana hamu kabisa.
Naona umekuja na Id nyingineHuyu alikuwa sehemu ya mfumo kipindi Cha Kayafa hivyo hana tofauti na Kayafa
Wewe ni Mku................Mama kama itakupendeza, mtoe Sabaya mrudishie ile wilaya yake na kama ikikupendeza mrudishe Makonda Dar es salaam...
Utoto utoto usio na maana kwa maslahi ya wajinga wachache ufike mwisho sasa, JK aliachia hawa watu wafanye siasa wakawa wajinga na kufanya mambo ya hovyo mpaka kumuita dhaifu...JPM akaja akawapiga pini mpaka tukawaonea huruma huku wenyewe walituambia wanataka Rais mwenye maamuzi, dictator na mkali...JPM ametwaliwa na mwenye mamlaka amekuja Mama mwanzoni amejaribu kuishi kwa busara na kuanza kuwasikiliza wameanza tena maujinga ya awamu ya nne kutaka kuipanda dola kichwani..hakuna namna..
Egypt ilitokea shida pale na wanasiasa wakabaki wanalumbana na ujinga mwingi usioisha kila siku...El-sisi akaamua kuwa mndava na kuweka pamba masikioni ili nchi ikae sawa...leo tunaona Egypt angalau ina utulivu, ELsisi angeanza kuwabembeleza leo hii egypt ingekuwa kwenye machafuko makubwa....Mama kuwa mndava kwa wajinga wajinga..
Tatizo la Tanzania sio Katiba, ni umasikini, ukosefu wa ajila, maradhi, na mijitu mijinga miiingi...
hahaha mbna hakuna alieanywa kilema ni upekuzi tu unafanyika of which hakuna kosa katika hilo ama mnataka wale red briged wawapekue?Kumbe tumebadilisha jinsia tu, mengine yote yana remain constant.
Mnapekua nyumba kuitafuta Katiba Mpya au?hahaha mbna hakuna alieanywa kilema ni upekuzi tu unafanyika of which hakuna kosa katika hilo ama mnataka wale red briged wawapekue?
Akili za baadhi ya watz ni takatakaWapekue vizuri wanaweza kukuta madawa ya kulevya na silaha
Mnapekua nyumba kuitafuta Katiba Mpya au?
Wewe ni Mku................
kwamba utakaa mlangoni uwazuie wasiingie au utarusha matekeAiseee Mimi wataniua wallah.