mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,313
AiseeKwani wakipekuwa nyumbani ndio wanapata katiba humo tunayodai
Haina shida ndiyo upeo wa kufikiri wa UVCCM unapoishia kwamba upinzani ni uhalifu futeni upinzani mvipige mabovu ofisi zote za upinzaniWapekue vizuri wanaweza kukuta madawa ya kulevya na silaha
Akili zenu bhana upinzani sio uhalifu ni mawazo mbadala Elimu kubwa inahitajika kuelemisha TONDOGOSO KAMA WEWESafi kabisa! Pekua kote kote
Inaonekana hilo tendo huwa unafanyiwa sanaHAJALIWA Tigo??
Una akili za kijinga sana upinzani sio uhalifuKwa iyo ukiwa chadema huruhusiwi kupekuliwa?nyie kina nani?ovyo kabisa iki chama
Akili za wanachama wa CCM ndiyo maana tunahitaji katiba mpyaWamupekue na marinda kabisa
Upumbavu wao ni upi?Acha wapekuwe maana CDM ni wapumbavu
Hapa Sina la kusema kiongozi.Tatizo la Tanzania sio Katiba, ni umasikini, ukosefu wa ajila, maradhi, na mijitu mijinga miiingi...
***** apekuliwe tu tena apekuliwe vyema huyu alisema watake wasitakeBila ya shaka polisiccm wanaweza kabisa kumbambikia kesi mbaya sana ya uchochezi.
Hahahaha watapekuliwa na kupumuliwa Sana mwaka huu
Heche ni gaidi atakuwa na viripuzi hukoKwani wakipekuwa nyumbani ndio wanapata katiba humo tunayodai
Kama kuna watu wanaupenda na kuufurahia ubunge ni Heche, hadi ametoka kitambi! Halafu leo hao akina Heche wanalalamika wabunge hawalipi kodi wakati wenyewe wamekuwa wabunge zaidi ya miaka 10, hawajawahi kulipa hiyo kodi wala kulalamika bungeni kuwa why hawalipi kodi. Watu wanaowaamini hawa akina Heche huwa nawashangaa sanaHapa Sina la kusema kiongozi.
Sema wao wanatafuta Ile public attention or capital.
Tena huyo Heche Kuna mtu alimfia huko Nyanungu kata ya engwe akahaidi kuwa atamjengea mjane.
Ile kuzama tu mjengoni akasahau.mchanga ukasombwa na mafuriko pia tofali zimeshaoza
Shangilia ila siku zenu zaja Kama sio kufikaWapekue vizuri wanaweza kukuta madawa ya kulevya na silaha
Unanifundisha uwekezaji kama unanifahamu vile, mtaji wa CCM ni wajinga wa sampuli yako.Wacha polisi wafanye kazi yao, mengine yatajilikana mbele meanwhile umri unaenda wekeza nguvu zako katika sehem zenyewe mashiko! mwaka wa kumi sasa nasoma mabandiko yako