John Heche yuko mubashara Star tv akichambua miswada ya sheria za Uchaguzi, azungumzia pia kurejea kwa Utekaji!

Kanda ya ziwa ilichukizwa mno na kitendo cha Chadema ikiongozwa na HECHE kushangilia kifo cha Magufuli.

Dk. Slaa aliwahi kukitaja kikosi cha utekaji na utesaji CHADEMA kinachoongozwa na BAVICHA na kusimamiwa na HECHE. HECHE anateka watu kwa dhamira ya Kuichafua serikali.

Aache kabisa huu ujinga.
Huyo jamaa ni Malaya kinoma noma. Akiwa kwenye runinga unaweza kusema mtu wa maana kumbe mse#nge mmoja tu
 
Sisi kama viongozi wa Dini tunachukizwa sana na siasa za zinazofanywa na watu wa aina ya heche, wanasiasa wa Chadema mjiangalie sana
 
Tatizo la John Heche ni mtu wa mentality ya negative thinking, hawezi ona zuri lolote katika jambo lolote!

Heche mpe shuka kubwa jeupe la 6×6 na weka doa jeusi ukubwa wa yai la kware na muulize Heche unaona nini katika shuka Hilo na atakujibu haraka hata bila kufikiria kwamba anaona doa jeusi!

He is not intelligent!

Pia anatumia nguvu sana kushawishi kukubalika kwa hoja zake!

Yeye si Mwanasheria hivyo uchambuzi wake wa miswada hiyo haina tofauti sana na uchambuzi wa Oscar wa Wasafi FM!

Mnaopenda kumsikiliza msikilizeni!
 
Tatizo la John Heche ni mtu wa mentality ya negative thinking, hawezi ona zuri lolote katika jambo lolote!
Heche mpe shuka kubwa jeupe la 6×6 na weka doa jeusi ukubwa wa yai la kware na muulize Heche unaona nini katika shuka Hilo na atakujibu haraka hata bila kufikiria kwamba anaona doa jeusi!

He is not intelligent!

Pia anatumia nguvu sana kushawishi kukubalika kwa hoja zake!

Yeye si Mwanasheria hivyo uchambuzi wake wa miswada hiyo haina tofauti sana na uchambuzi wa Oscar wa Wasafi FM!

Mnaopenda kumsikiliza msikilizeni!
 
Tatizo la John Heche ni mtu wa mentality ya negative thinking, hawezi ona zuri lolote katika jambo lolote!
Heche mpe shuka kubwa jeupe la 6×6 na weka doa jeusi ukubwa wa yai la kware na muulize Heche unaona nini katika shuka Hilo na atakujibu haraka hata bila kufikiria kwamba anaona doa jeusi!

He is not intelligent!

Pia anatumia nguvu sana kushawishi kukubalika kwa hoja zake!

Yeye si Mwanasheria hivyo uchambuzi wake wa miswada hiyo haina tofauti sana na uchambuzi wa Oscar wa Wasafi FM!

Mnaopenda kumsikiliza msikilizeni!
Huwa naona Uchawa ndio kiwango cha Chini kabisa cha uelewa. Ni Uzuzu fulani ambao haujali hata Elimu ya Mhusika( Whether you are Intelligent or Mediocre wote mko level moja).
 
John Heche mjumbe wa kamati kuu ya Chadema yuko mubashara Star tv akichambua miswada ya sheria za Uchaguzi

Karibu sana

Sijasikiliza alichoongea ila ninachojua Heche huwa na akili ndogo sana.
Ni mtu wa kumezeshwa maneno hana uwezo wa kuchambua mswada wa sheria.

Lazima atakuwa ameishambulia CCM kwa hoja za uongo uongo huku akiicha Chadema na kumuogopa Mbowe.
 
Ila sema ni vile uchaguzi ni vita,ila kama kungekua na fair ground kwenye chaguzi za bongo hawa jamaa wangekua washindi kila siku,ccm kumejaa vilaza wanaotumia mbeleko ya dola kubaki madarakani

Ingekuwa kweli haya unayosema, wananchi wangeshaitoa CCM. Ukiona hivyo jua wananchi bado wanaiunga mkono CCM.

Dola zote huwa zinaangushwa na wananchi wengi ana sio wapigakura wachache
 
Tatizo la John Heche ni mtu wa mentality ya negative thinking, hawezi ona zuri lolote katika jambo lolote!
Heche mpe shuka kubwa jeupe la 6×6 na weka doa jeusi ukubwa wa yai la kware na muulize Heche unaona nini katika shuka Hilo na atakujibu haraka hata bila kufikiria kwamba anaona doa jeusi!

He is not intelligent!

Pia anatumia nguvu sana kushawishi kukubalika kwa hoja zake!

Yeye si Mwanasheria hivyo uchambuzi wake wa miswada hiyo haina tofauti sana na uchambuzi wa Oscar wa Wasafi FM!

Mnaopenda kumsikiliza msikilizeni!
Ni mtu Mjinga tu ambaye hataliona hilo DOA kwenye Shuka nyeupe 🐼
 
Sisi kama viongozi wa Dini tunachukizwa sana na siasa za zinazofanywa na watu wa aina ya heche, wanasiasa wa Chadema mjiangalie sana
Muhammad ndio muasisi.
 

Attachments

  • 1704044183362.jpg
    1704044183362.jpg
    33.2 KB · Views: 2
  • 476140.jpg
    476140.jpg
    25.9 KB · Views: 2
Tatizo la John Heche ni mtu wa mentality ya negative thinking, hawezi ona zuri lolote katika jambo lolote!
Heche mpe shuka kubwa jeupe la 6×6 na weka doa jeusi ukubwa wa yai la kware na muulize Heche unaona nini katika shuka Hilo na atakujibu haraka hata bila kufikiria kwamba anaona doa jeusi!

He is not intelligent!

Pia anatumia nguvu sana kushawishi kukubalika kwa hoja zake!

Yeye si Mwanasheria hivyo uchambuzi wake wa miswada hiyo haina tofauti sana na uchambuzi wa Oscar wa Wasafi FM!

Mnaopenda kumsikiliza msikilizeni!
Unajamba Maputo Tu.
 
Back
Top Bottom