chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,004
- 20,681
Tarime haijawahi kupoa!
Mbunge Waitara, akihojiwa na kituo Cha tv Cha Dar24 ametamba kwamba hawezi kubabaishwa na mwanafunzi wake kisiasa, John Heche, na kwamba atamchakaza kwenye uchaguzi wa 2025.
Waitara ametamba kwamba John Heche hana nyumba Tarime, na kwamba anaishi kwa mama yake, hivyo hana msaada wowote kwa wanatarime. Waitara ameeleza kwamba ni aibu kwa Mila za kikurya kwa kijana wa umri wa Heche kungangania kwenye nyumba ya mama badala ya kujitegemea kwa kujenga ya kwake.
Waitara ambaye alikuwa anaongea kwa uchungu mfanano wa wenye kijacho,amejiapiza kutokimbia Jimbo na kwenda ukonga na anadai Tarime ni nyumbani kwao.
Waitara alielezea kwamba Heche hajaacha maendeleo yoyote Jimboni, zaidi ya umasikini uliotopea
Mbunge Waitara, akihojiwa na kituo Cha tv Cha Dar24 ametamba kwamba hawezi kubabaishwa na mwanafunzi wake kisiasa, John Heche, na kwamba atamchakaza kwenye uchaguzi wa 2025.
Waitara ametamba kwamba John Heche hana nyumba Tarime, na kwamba anaishi kwa mama yake, hivyo hana msaada wowote kwa wanatarime. Waitara ameeleza kwamba ni aibu kwa Mila za kikurya kwa kijana wa umri wa Heche kungangania kwenye nyumba ya mama badala ya kujitegemea kwa kujenga ya kwake.
Waitara ambaye alikuwa anaongea kwa uchungu mfanano wa wenye kijacho,amejiapiza kutokimbia Jimbo na kwenda ukonga na anadai Tarime ni nyumbani kwao.
Waitara alielezea kwamba Heche hajaacha maendeleo yoyote Jimboni, zaidi ya umasikini uliotopea