HaaaaSafi sana Steve. Hongera kwa hadithi nzuri!
SteeeeveNi muda sasa, natumai mpo poa wazee. Nimewakumbuka kweli na basi nilipopata muda kidogo wa kuandika, nikaona niwasalimu kwa Riwaya hii nzima na ya kijasusi ya NYUMA YAKO.
Nikiri kwamba muda wangu ulikuwa finyu kufanya jambo kubwa sana na niliandamwa na 'mafurushi' ya majukumu hivyo kupelekea mwendo wa kasi kwenye uandishi na uwasilishaji, lakini juu ya yote hayo, hautafadhaika.
Karibu hapa .... utasoma na kufurahia kwa kila n'takachotuma kwa mujibu wa ratiba yangu. Kama utaona wakawia, hamu imezidi subra, utanifuata pembeni nikuuzie yote kamili. Ni safari ya MISIMU MINNE.
NOTE: Nilishawahi ituma humu lakini haikukoma mpaka mwisho wake. Hii ni mara ya pili na itaenda mpaka kikomo.
Kwani sikutuma baada ya kuumwa?Daaahh jamaa vp bado anaumwa au
Ulituma mkuuKwani sikutuma baada ya kuumwa?
Habari, leo tutaendelea tena nyakati za jioni.
Habari, leo tutaendelea tena nyakati za jioni.
Tupo pamojaHabari, leo tutaendelea tena nyakati za jioni.
Sawa.Habari, leo tutaendelea tena nyakati za jioni.