Nyuma ya Pazia - Mwigulu Nchemba

Nyuma ya Pazia - Mwigulu Nchemba

Mnataka mama aseme kitu gani wakati suala hili halijaletwa kwa wananchi kwa ghafla au kwa uamuzi wa mtu mmoja!

Ishu kama hizi ni lazima baraza la mawaziri au kamati za bunge zilitoa baraka
Bunge ni la serikali na sio la wananchi.
Wote walipita bila kupingwa
 
Matoto ya utapia mlo hao. Kila kitu ni canned food na supermarket products. Hawezi kuwa mwenye afya hata siku moja.

Amejaza sumu mwilini zinasubiri kulipuka. Matoto kama hayo unakuta at age of 25 tayari ana magonjwa ya kikubwa

Tumuombee mtoto wetu heri ila kapata baba KENGE na MPUMBAVU
Lenyewe linaona sifa eti pumbavu kabisa!
 
Mnataka mama aseme kitu gani wakati suala hili halijaletwa kwa wananchi kwa ghafla au kwa uamuzi wa mtu mmoja!

Ishu kama hizi ni lazima baraza la mawaziri au kamati za bunge zilitoa baraka
Hata la ipitieli nalo lilipita kwenye mawaziri
 
Mama anapenda uongozi lakin kwa stail hii anafel
Mwigulu hiki unachotufanyia hakina tofauti na Unyang'anyi
 
Matoto ya utapia mlo hao. Kila kitu ni canned food na supermarket products. Hawezi kuwa mwenye afya hata siku moja.

Amejaza sumu mwilini zinasubiri kulipuka. Matoto kama hayo unakuta at age of 25 tayari ana magonjwa ya kikubwa

Tumuombee mtoto wetu heri ila kapata baba KENGE na MPUMBAVU
Doh una kizazi kweli ndugu yangu? Mungu mkali angalia hayo maneno unayoyasema hasije kulidisha kwenye kizazi chako , Mpesa mpesa kwani lazima utumie? Kama hauna uwezo si uache
Mama inabidi arudi nyuma, ajitafakari kisha aje na namna ya kufanya maamuzi yake. Atumie uwezo wake kufanya maamuzi.

Akiendelea kufurahisha watu au kutegemea watu mwisho hautakua mzuri na atagombana na wengi.

Aliyemtangulia alijipambanua kwa kuwa na misimamo yake na kuisimamia, mibaya imetuumiza kama taifa, mizuri imetufunza na kutujenga, atakumbukwa kwa hilo la kusimamia maamuzi.

Huyu watampelekesha sana kwa manufaa yao binafsi.
na akiendelea kusikiliza kelele za wana mitandao atapotea pia , kila mwananchi atataka kitu chake

mama mwendo ni ule ule wakupende wasikupende hachana nao , Jk alitukanwa sana wakati wa uraisi wake na Kuitwa kila aina ya majina mabaya lakini enzi za JPM wakaanza kumuona Jk shujaa na wakaanza kumshambulia tena JPM

sasa hivi JPM anaoneka shujaa tena wanakuponda wewe husikate tamaa, fanya unaloona ni sawa kwa maendeleo ya Nchi Raisi ni mmoja hachana na maoya maoya wa mitandaoni
 
Doh una kizazi kweli ndugu yangu? Mungu mkali angalia hayo maneno unayoyasema hasije kulidisha kwenye kizazi chako , Mpesa mpesa kwani lazima utumie? Kama hauna uwezo si uache

na akiendelea kusikiliza kelele za wana mitandao atapotea pia , kila mwananchi atataka kitu chake

mama mwendo ni ule ule wakupende wasikupende hachana nao , Jk alitukanwa sana Akita shauli na Mila majina enzi za JPM wakaanza kumuona Jk shujaa

sasa hivi JPM anaoneka shujaa tena wanakuponda wewe husikate tamaa, fanya unaloona ni sawa kwa maendeleo ya Nchi Raisi ni mmoja hacha na maoya Kua wa mitandaoni

Hakuna mahali nimesema asikilize kelele za mitandaoni. Soma kwa utulivu nilichokiandika.
 
Mkuu fuatilia Ziara za Rais wa awamu ya 4 na anazofanya huyu wa Sasa angalia ni nchi zipi anazozipa kipaumbele ?? Utakuta ni zile zile.

Angalia Nchi ambazo Rais wa awamu ya 4 alikua na ukaribu nazo na huyu wa sasa. Utakuta ni zile zile.

Jaribu tu kufuatilia mahusiano ya Tanzania na nchi zifuatazo awamu ya nne na hii ya sasa.

Marekani, Kenya, Burundi, Uganda, Jumuia ya Ulaya, China ( yalikua mazuri awamu ya 4 na hata sasa).

Rwanda ( mabaya awamu ya 4 Kwa Sasa Sina hakika kama ni mazuri).

Sasa mwenyewe itakua umepata picha kidogo.
 
Mama anaingizwa chaka bila kujijua!

Haya Nchemba ndio mana Jpm alimueka mbali naye agenda yake ni uraisi tu ndio Jpm alisema afute yale mawe kule singida! Mama awe makini popularity yake inaaza kupotea kidogo kidogo
CC: Samia Suluhu Hassan
 
Mama aendelee kuupiga, mwigulu anamsaidia kuupiga mwingi. Mzee wa pro Samia una maoni gani[emoji23]
Eeh mara hii nimeshakuwa pro Samia? Hii kali.. Kisa? Nilimsifia alipofanya vema? Kazi ipo wallah!
 
Back
Top Bottom