Mimi ni CCM kindakindaki na ni UVCCM nimeitumikia serikali kwa miaka mingi na nitaendelea kuitumikia ila ninakubali kwa moyo kunjufu kwamba CCM haitoweza kutuletea maendeleo na huyu Mama ni bomu kuwahi kutokea. Kifupi namfananisha na Rais wa Aljeria yule mwenye kiharusi( Brain Stroke). Yaani nchi inaongozwa na watu wengine kabisa, yeye anatumika kama taswira tu katika jamii, ndiyo huyu Mama.
Vijana wanamzidi nguvu na mbaya zaidi she is not smart yaani hana uwezo wa kuona mita 100 mbele kabla ya muda. Ni majanga ***** nchi hiyo sijui ililogwa na nan.
Njia mpya ni katiba bila kujali kama tunaupinzani thabiti.
Mimi naona ni bora tupigane vita vya wenyewe kwa wenyewe ilimradi ccm itoke.
Halafu WaTZ msiogope, nchi zote zilizoendelea , wametifuana kwanza wenyewe kwa wenyewe ndio wakaheshimiana yaani kila mtu anamuheshimu mwenzie, sio kiongozi sio tajiri sio masikini wanaheshimiana kwa sababu wakikumbuka damu walizomwaga baina yao , hawataki kurudia tena hilo kosa.
WaTZ hili ni lazima litokee ili muheshimiane na muwe na maendeleo. Tofauti na hapo CCM itawatia kidole milele. Kwani polisi ni wangapi? Na Raia ni wangapi?!Polisi hawafiki hata laki 7 . Amueni