Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 4,812
- 10,867
- Thread starter
- #101
Ukweli ni kwamba ; Hawa wapuuzi wamechukua NCHI kwa kurithi na kwa FITNA zao na VITIMBI walivyofanya dhidi ya JPM kwa kushirikiana na Wamagharibi.
Wameingia madarakani kwa kurithi wamekuta JPM alikuwa anafanya projects kubwa na hawajui Fedha alikuwa anatoa wapi huyu CHUMA. Kumbuka pia JPM aliachiwa nchi kutoka kwa mkwere ikiwa haina kitu HAZINA, Na safari yake ya kwanza alianzia hazina . Nchi ilikuwa haina hata senti, the aftermath ya utawala wa JK
Kwa aibu yao na hawajui the magic secret ya chuma kwa kusimamisha miradi mikubwa fedha zilikuwa zinatoka wapi, wameona njia pekee ya kupata fedha za kuendeleza miradi iliyoachwa ni kuwachukulia wananchi fedha zao .
Walianza kwenye mafuta, now wapo kwenye Miamala, na hakika wataendelea tu kwa sababu nchi imeshikwa na VIAZI na they do not know what else to do zaidi ya hili wanalofanya.
Nchi ina Bandari zaidi ya 3, nchi ina gesi, National Parks , madini, mazao, maziwa nk nk , kweli wanashindwa kukaa chini na wataalam na kubadili hizi resources into CASH na kupunguza ukali wa maisha kwa RAIA, badala yake wameona wafanye UJAMBAZI.
Ukienda kwenye mshahara wa mtumishi kuna PAYE, simu kuna KODI ya miamala, ukifungua kibiashara chako kuna Kodi ya kutosha, ukiweka petrol kuna kodi.... yaani ni ishara kwamba hawa watu ni MUFILISI, na kwa hakika CCM haiwezi kuleta mabadiliko katika nchi hii.
Over 60’years tunajadili upatikanaji wa maji safi, upatikanaji wa dawa muhimu, upatikanaji wa barabara , ujenzi wa vituo vya afya yaani kila rais anayeingia ni mwimbo huo, hivi nyie hamuoni kuwa CCM imefika UKINGONI?
Njia pekee ni KATIBA MPYA, ikiwa ni pamoja na kuitoa CCM madarakani kama kweli tunataka KUINUSURU nchi yetu, ni lazima CCM ITOKE .
Kutoka MOYONI kabisa, NINAMCHUKIA NA NITAIFUNZA FAMILIA YANGU KUMCHUKIA HUYU BIBI NA KUWA KATIKA UPANDE WA KILA ANAEMCHUKIA huyu Bibi na kila nikiona hotuba ya huyu Bibi anasimama na kuongea ninazima TV maana sitaki kusikia TAARABU zake.
Kwanza anaonekana ni MZITO sana wa kuelewa na maamuzi na pia masikio yake yanasikia kelele nyingi sana. Hivi mshauri wake ni yule Mzenji?

